Bongo Contents
Member
- Jan 17, 2024
- 47
- 71
Habarini ndugu zanguni
Mimi hua napenda kuishi kwenye apartments kama zile za Upanga ila ndio million moja point ya papo hapo kulipia miezi kadhaa kwangu ni mtihani.
Hivyo nilikua nauliza kwa wanao zifahamu lodge au hotel kali za 15,000 mpaka 20,000 kwa siku. Wanisanue, Angalau ziwepo haya haya mazingira yaliyochangamka kibiashara Dar es Salaam.
Asanteni
Mimi hua napenda kuishi kwenye apartments kama zile za Upanga ila ndio million moja point ya papo hapo kulipia miezi kadhaa kwangu ni mtihani.
Hivyo nilikua nauliza kwa wanao zifahamu lodge au hotel kali za 15,000 mpaka 20,000 kwa siku. Wanisanue, Angalau ziwepo haya haya mazingira yaliyochangamka kibiashara Dar es Salaam.
Asanteni