Je, kuna kiwango maalum cha damu ndani ya mwili?

Je, kuna kiwango maalum cha damu ndani ya mwili?

Abdull hameed

Senior Member
Joined
Jan 29, 2025
Posts
112
Reaction score
213
Habari zenu wana jamiiforums

Nimeleta mada apo juu katika kujiskia vibaya na kuumwa na kichwa nilienda hosptal katika vipimo doctor alinambia nina damu nyingi ambayo ni 17.4 akanishauri niichangie ipungue hadi 13.0 ili mwili wangu niache kujiskia vibaya na kuumwa kichwa je hakuna madhara yoyote katika uwo uchangiaji damu la pili hakuna dawa ya kutumia damu ikapungua hadi ukachangie?
 
Back
Top Bottom