Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,115
Ajabu hiyo hapo!!!
Ila walimu wa Biology wachache best,kuna wanaofundishwa na form 6 leavers ambao wanafundisha vile walivyoelewa wao!
Hahahaa...hivi hata kwa akili ya kawaida mtu huwezi kujiuliza?..ina maana anamaanisha wanaopata mimba huwa wanafanya mapenzi kipindi cha hedhi.....ptuuuu..