Daud omar
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,458
- 977
Duh hii office hapa staff tupo 40, wanaume ni 10 tu
sipati picha hii BRN itakavokuwa negative
Ahahaha sasa itakuwa SRN
Duh hii office hapa staff tupo 40, wanaume ni 10 tu
sipati picha hii BRN itakavokuwa negative
Da Zinduna, mie sijui ni bahati au ugonjwa yaan huwa siumwi na sina dalili nisipokuwa makini tu naharibu pozi la siku!
Sasa sifahamu kama niko sawa au la...
Unafikiri mababu walikuwa wajinga kuwa na wake wawili au watatu?
Wapewe off na wanaume tupewe ruksa ya ku stay away from them tuepuke visirani
Inawezekana maana haingii akilini mtu ambae una ubongo wa kufikiri ushindwe kukaa hata wiki mja tu bila kukutana kimwili!
Sidhani kama ni sawa kwa sababu.
1. Kuna wanawake wengi ambao hawapati shida hii, (si wanawake wote wenye kusumbuliwa na maumivu wakati wa hedhi.)
2. Kuna dawa nyingi zinazoweza kutumiwa endapo mwanamke anapokuwa katika siku zake za hedhi..ba kumfanya aendelee na takribani shughuli zake za kila siku.
3. Si wanawake wote wenye mizunguko sawa, nikimaanisha kuwa baadhi huweza kuingia hedhi mara moja, mara mbili na wengine hata mara tatu, hivyo wapo watakao-claim siku zaidi.
4. Hypothetically, speaking..endapo tukikubali, hii itajumuisha viongozi wa serikali, ..na endapo kwa mfano viongozi wakuu wa nchi watakuwa ni wakike na coincidentally, wako katika siku zao nchi itakuwa katika wakati mgumu.
5. Itakuwa ni upenyo wa watu kufanya shughuli binafsi(pengine zisizo na tija) kwani si rahisi kutambua endapo mwanamke yuko katika siku zake, mf. akikudanganya, utahakikishaje? kwa kumchungulia?
6. Kwanini ziwe siku mbili, wapo wenye kuwa hedhi kwa siku nyingi kuliko wengine, je hawa watapaswa waongezewe siku zaidi.
Na hicho kisirani mnakuwaga nacho kwelikweli....Kama mimi siku za mwanzoni na my wife nilikuwa najua kabisa "Kugombana bila sababu days" are coming soon. Hata ikafikia muda hizo days zikifika hatujuani mpaka zikipita. Sasa hivi nimezoea ila kuna Visirani next levo inabidi tu kujihami.
NAUNGA MKONO HOJA ndugu mleta UZI
.
Point ya mwisho pia ni privacy, haya mambo ni ya siri, ni wanawake wangapi watakuwa comfortable na hili swala, I mean usipomwona Zinduna jumatatu na jumanne means yupo kwenye periods, it might be awkward kwa wengine.
Tuyaache tu kama yalivyo, ila tu kuwe na urahisi na uelewa kwamba wenzetu wakiwa katika hicho kipindi wakisema wanaenda kupumzika, tuwaelewe.
Na ndiyo maana nawashangaa wanaume wanaowalalamikia wanawake wanaotoa huduma kwa wateja pale wanapopewa maneno mbofu mbofu, yaani hawaelewi tu sababu....!
Tupewe tu likizo tujipumzikie zetu mambo yakishaharibika.
Hapo hata mimi pananipa shida....na kuna mijanaume mingine hainaga adabu...kesho ukienda job itaanza kukutania
Unafikiri mababu walikuwa wajinga kuwa na wake wawili au watatu?