Je kuna haja ya wanawake waajiriwa kupewa mapumziko wakiwa kwenye siku zao?

mie siungi mkono hoja....coz kwa walio wengi maumivu huja kama unakuwa umejilazalaza....mwanamke kujikaza Zinduna

Kuna wale ambao wana uvimbe (cysts) na wakati wa p wanakuwa wanapoteza damu nyingi na wana maumivu balaa. Kwa wenye condition kama hizi haya maumivu ni real na hayavumiliki hata ujikaze vipi. Kwa hawa huu ni ugonjwa ambao hata atampa ed. The sad thing is huwezi kuwa unaenda hospitali kila unapoingia kwenye p kuomba ed wakati u r already in pain (wengine hutapika na kuharisha), unajua dawa zako unazotumia. U just need to rest. Kwa employer mwelewa unaweza kumpigia ukamwambia unaumwa. Ila wengi utasemwa after 3 monthsof employment. I guess kama mtu hayajakukuta ni ngumu kuelewa
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na mabadiliko mnayoyapitia mkiwa ktk siku zenu,ikiwa ni pamoja na mood changes.Lakini kuhusu hili la kuwa na visirani katika siku zenu,mbona hivyo visirani vyenu hamuwafanyii maboss wenu ofisini?,bali mnaishia kuwaharibia siku zao Wateja,wafanyakazi wengine, na hata waume zenu majumbani?
Embu acheni tabia zenu. Mnapenda ku exaggerate mambo. Badilikeni.
 
Na ndiyo maana nawashangaa wanaume wanaowalalamikia wanawake wanaotoa huduma kwa wateja pale wanapopewa maneno mbofu mbofu, yaani hawaelewi tu sababu....!

Tupewe tu likizo tujipumzikie zetu mambo yakishaharibika.

Kwa hiyo ulitaka wateja wafurahie kauli mbofu mbofu na huduma mbaya walizozipata. Acheni kuharibu kazi za watu.
Sasa nimeelewa. Kuna bar moja hapa dar,nilisikia jamaa kaweka maweita wote wanaume. Kumbe huenda sababu ni mambo haya haya.
 
mie siungi mkono hoja....coz kwa walio wengi maumivu huja kama unakuwa umejilazalaza....mwanamke kujikaza Zinduna

nadhani tumbo ninalo umwa mie lingekuwa linakupa wewe ungelia mtaa mzima uje kukupa pole.
Tumbo linauma usikie tu. Mie hata kula huwa sili kabisa siku mbili za mwanzo. Nashinda siku nzima hata maji sitii mdomoni jioni ndo ntajitahid ninywe chai basi hadi kesho tena jioni.
Hutamani chochote kile, halafu mtu anakusemesha, huwa nachukia sana na sichelewi kureact ukifanya kivyo sivyo
 
Last edited by a moderator:
Ulichokisema kinaweza kuwa sahihi lakini sio kwa wachumi

Kila mwezi huyu atakuwa ana siku mbili za kupumzika kwa mwaka ana siku 24,na kama atajifungua huo mwaka siku za kupumzika zitakuwa 114,hiyo ni karibu miezi mi 4 ambayo mwanamke huyo hatafanya kazi kabisa

Hii inamaana kuwa atalipwa mshahara wa miezi hiyo bure,yaani bila kufanya kazi,kwa sehemu anayofanya kazi hii ni hasara kwasababu hajatumikia ujira wake

Lakini ni hasara kwa taifa kwakuwa hatakuwa amelitumikia ipasavyo

Hebu fikiri ni wanawake wangapi wapo kwenye ajira sasa hivi na jaribu kufikiria tu ni hasara kiasi gani taifa litapata kutokana na hii kitu

Na hili litawapanguvu sana wale wanaopinga wanawake kufanya kazi!

akiwa mhamzito sasa si anakuwa hana period so hizo siku hazimuhusu
 
Ulilazimishwa kugegeda.
Kumbuka kwa mwanamke kuwa kwenye siku zake ni kanuni ya maumbile na kugegeda ni swala la kuamua kwamba ugegede au uache...
Kama huna ubavu wa kugegeda basi usilazimishe lala zako mzungu wa nne.

We zinduna unamdanganya mwenzio aache kugegeda auwe mji?


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
kwangu mm naona haina haja kwani utendaji wa kazi utapungua kwenye sehemu nyingi za kazi k
kwa mfano chukulia hapo ofisini wako wanawake zaidi ya3 halafu wote wawe kwenye ile issue
unafikiri itakuwaje hapo ofisini si utendaji wa kazi utapungua hivyo naona haina ulazima labda
huyo mwanamke awe anaumwa sana ndipo inaweza kuomba id ya mapumziko
 
Soma tena mada kisha urudie pia nilichoandika!

labda turudie wote kusoma.
Akiwa mjamzito kwani bado atakuwa nachukua siku mbili za period? Atachukua siku 6 tu kwa mwaka kwa maana ya miezi mitatu ya na miezi 9 hatakuwa na period so atakuwa na mapumziko ya miezi mitatu ya uzazi na siku 6 za period na siyo 114 as ulizoweka weww, thats my point.
 
kwa kweli kuna haja aisee yan kuna wanawake wengine hupata maumivu makali kweli jaman mmmh ni balaaa hata akiwa ofisini hawezi kuwa comfotable
 
Back
Top Bottom