Je, kuna dawa ya kuozesha visiki vya miti?

Je, kuna dawa ya kuozesha visiki vya miti?

Weka chumvi ya kutosha juu ya kisiki kilichobaki wewe mwenyewe utashangaa
Itachukua muda Gani kuona matunda ya hiyo chumvi juu ya kisiki.

Na kila kisiki unaweka kijikiko kikubwa vingapi??
 
Itachukua muda Gani kuona matunda ya hiyo chumvi juu ya kisiki.

Na kila kisiki unaweka kijikiko kikubwa vingapi??
wewe weka chumvi ndiyo suluhisho, sasa hivyo vijiko vingapi vya nini?

Fanya makisio ya kusambaza pale juu ya kisiki na hii itasaidia kukausha mizizi.

Muda unategemea ukubwa wa mti. Mimi miti yangu yote niliyokata nimeweka chumvi imekufa lakini nilikwa sihesabu siku
 
wewe weka chumvi ndiyo suluhisho, sasa hivyo vijiko vingapi vya nini?

Fanya makisio ya kusambaza pale juu ya kisiki na hii itasaidia kukausha mizizi.

Muda unategemea ukubwa wa mti. Mimi miti yangu yote niliyokata nimeweka chumvi imekufa lakini nilikwa sihesabu siku
Asante sana Ndugu
 
Itachukua muda Gani kuona matunda ya hiyo chumvi juu ya kisiki.

Na kila kisiki unaweka kijikiko kikubwa vingapi??
For every Im diameter kisiki , weka kilo moja; so for a half meter diameter kisiki, half a kilo; in that ratio and so on...
 
Force up ni kiboko ya visiki msimu mmoja tuu ukipiga teke kinang'oka🤣🤣🤣🤣🤣
 
Waone wachoma mkaa, watavichimba na Pesa watakupatia:
Visiki ni Mali
 
Fanya hivi, chukua maji yawekee chumvi then loweka misumari ya 5" au 6" kwa usiku mzima, kesho yake gonga msumari mmoja kwenye kila kisiki vitakauka na kuoza kwa muda mfupi sana.
Hii code naibeba mkuu,,naona kuna watu wamedhamiria kunipiga shambani kwngu
 
Weka chumvi ya kutosha juu ya kisiki kilichobaki wewe mwenyewe utashangaa
Hii ndiyo njia niliyotumiana inafanya kazi baada ya miezi kama mitatu. Visiki vyote vilikauka vikawa rahisi kun’goka na kuwa kuni
 
Hii ndiyo njia niliyotumiana inafanya kazi baada ya miezi kama mitatu. Visiki vyote vilikauka vikawa rahisi kun’goka na kuwa kuni
Vipimo vipoje? Kiasi gani kwa kila kisiki? Chumvi peke yake au unaweka na maji
 
Unamiliki simu kubwa na kizuri kabsa bando unalo ndo maana umeandika uzi humu, why usitumie nguvu iyo kuingia google na youtube nadhani uko ungepata majbu mazuri sana

Sizan km kisiki kingekua na dawa ya kukiozesha sizan km kuna mtu angelipanpesa watu waje kuondoa sizan km mashuleni wangekitumia kisiki kama adhabu kwa mwanafunzi

Kisiki akina dawa ukitaka kukitoa tumia moto au watu wachimbe wakiondoe bas so kwa jibu rahis dawa ya kuondoa kisiki ni pesa tafta pesa wape watu wakiondoe asante
 
Back
Top Bottom