Nikiwa mdogo mwaka 1986 jirani yetu ambaye alikuwa anakaa kwenye nyumba za msajili njia ya Sanawari. Alikuwa mpole, mrefu na anaonekana tofauti sana kulinganisha na vijana wengine pale.
Mzee wangu ambaye alikuwa mmoja wa viongozi wakuu wa mkoa wa Arusha alialikwa kwenye harusi ya Kinana! Cha ajabu huyu kijana alikuwa kapata Ubunge na kuchaguliwa Naibu Waziri wa Ulinzi.
Mtaa mzima tulikula pilau karibu wiki nzima na Waziri wa Ulinzi wa wakati huo Salim Salim alikuja kwenye harusi ile ya mkeka na waligawa video tapes za harusi kila mahali. Kiukweli Kinana alikuwa anapedwa kama mfalme wa Arusha mjini miaka hiyo.
Baadae tukaanza kuona dry cleaners za wasomali na kuambiwa za Kinana!. Baadae Kinana akawa anajiona tofauti sana na wakazi wa kawaida nakumbuka vijiwe vya chai alikuwa hawezi kwenda tena.
Na ghafla Kinana akaanza kuwa mwongeaji zaidi🤔 sio yule mpole. Lakini Arusha ikaanza kubadilika kutoka kuwa mji wa Wamasai kuanza kuwa mji wa Wachagga. Miaka ya 90’s Arusha Mjini ukawa mji wa wafanyabiashara wahamiaji kutoka mji wa Moshi.
Wafanyabiashara wengi wa Kimasai ambao walikuwa wana support sana CCM na Kinana walihamia kwenye mashamba yao Arumeru, migodini na biashara nyingine baada ya wachagga kuleta ushindani mkubwa sana Arusha. Lakini wale wahindi wengi wa Arusha wenye pesa walibaki bila chama maana upepo ulikuwa unaenda upinzani.
Arusha walikuwa hawapendi serikali kwasababu ilikuwa haina mradi wowote pale mjini wa maana. Majengo yalikuwa na wauza mawe na wahindi na sio kampuni za Serikali au za pesa kama Dar.
Kinana naye akaja kama mfanyabiashara! Akafungua kampuni zake za utalii na uwindaji. Sawa kila majambazi wa kisomali wakishikwa kuna note inatoka juu zaidi Serikalini inasema waachiwe ni ndugu wa Kinana! Hii ni mpaka leo hii🤔. Gafla miaka ya 90’s Kinana akawa mfanyabiashara kuliko mwanasiasa na alipoteza watu wote waliokuwa wana msupport pale mjini.
Wakati huo kulikuwa na kikundi cha Wambulu wakiongozwa na tajiri wa magari Verani ambaye ndiye alikuwa mbebaji wa ngano za kampuni ya bia Tanzania nzima kutoka pale Karatu.
Wambulu wakakutana miaka hiyo na kumchagua kinara wao ambaye ndiye Sumaye awe mbunge ili nao wapate nguvu Arusha. Lakini baada ya kuona maji mazito sumaye alienda kugombea kwao na kubahatika kuwa Waziri! . Alivyokuja Mkapa na kumpa Sumaye Waziri Mkuu Sumaye akaja Arusha na kusema yeye ndiye king mpya wa Arusha na sio Kinana. Kitu cha kwanza sumaye alifanya kushindana ni kuwapa vitalu wambulu mbuguni baada ya miaka michache akatokea king of Tanzanite ambaye alikuwa na jina na Sunda! ambaye alikuwa kijana wa Sumaye.
Hili la Sumaye likamkimbiza kabisa Kinana na mpaka leo Kinana sio yule mzalendo ambaye alikuwa mbunge 1986.
Nasema haya na kumwonya Rais awe makini na Kinana ni mfanyabiashara hana mapenzi na mtu. Yeye anaona kama vile ana kazi na sio wito
Je, alisingiziwa hapa🤔?
The country's Natural Resources and Tourism Minister Khamis Kagasheki admitted to amaBhungane that politicians are involved in the ivory trade.
“This business involves rich people and politicians who have formed a very sophisticated network,” Kagasheki said.
His deputy, Lazaro Nyalandu, echoed this, saying that big names in the Cabinet and the army, as well as officials in wildlife conservation, the Tanzanian Port Authority, the immigration department and the police, are implicated.
Shein
A report read by the main opposition party, Chadema, in Parliament in June pointed a finger at a member of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party, wealthy businessperson Mohsin Abdallah Shein.
Shein was said to own 16 hunting blocks in game reserves. He allegedly uses these for poaching.
The hunting blocks are held by four companies – Royal Frontiers of Tanzania Limited, Game Frontiers of Tanzania Limited, Western Frontiers of Tanzania Limited and Northern Hunting and Enterprises Limited – which local media alleged belong either to him or his relatives.
This week, Shein described himself as “an innocent citizen of Tanzania” who is being targeted by business competitors.
“I've never been involved in illegal business, let alone elephant tusks,” he told the Mail & Guardian.
“I have a number of legal businesses and I don't see the point of it.”
Shein said that he owned Game Frontiers of Tanzania, but that the company operates “according to the law. These heavy allegations are full of lies.” He vehemently denied owning 16 hunting blocks.
Kinana
Another powerful figure under suspicion is the CCM secretary general, Abdulrahman Kinana.
In 2009, customs officers at the Vietnamese port of Haiphong found tusks weighing a massive 6.2 tonnes under bags of plastic waste on the freighter Sharaf.
The Sharaf Shipping Company, which owns the Sharaf, was registered in October 2003 in the name of Kinana and his wife.
Kinana insists he did not know about the hidden cargo. This week he said that both Interpol and the Convention on International Trade in Endangered Species had cleared him of any wrongdoing and that he was a victim of a politically motivated smear campaign.
Yaani eti huyu ndiye alikuwa awe next Salim salim. Hakunaga copy ya kipaji!
Mzee wangu ambaye alikuwa mmoja wa viongozi wakuu wa mkoa wa Arusha alialikwa kwenye harusi ya Kinana! Cha ajabu huyu kijana alikuwa kapata Ubunge na kuchaguliwa Naibu Waziri wa Ulinzi.
Mtaa mzima tulikula pilau karibu wiki nzima na Waziri wa Ulinzi wa wakati huo Salim Salim alikuja kwenye harusi ile ya mkeka na waligawa video tapes za harusi kila mahali. Kiukweli Kinana alikuwa anapedwa kama mfalme wa Arusha mjini miaka hiyo.
Baadae tukaanza kuona dry cleaners za wasomali na kuambiwa za Kinana!. Baadae Kinana akawa anajiona tofauti sana na wakazi wa kawaida nakumbuka vijiwe vya chai alikuwa hawezi kwenda tena.
Na ghafla Kinana akaanza kuwa mwongeaji zaidi🤔 sio yule mpole. Lakini Arusha ikaanza kubadilika kutoka kuwa mji wa Wamasai kuanza kuwa mji wa Wachagga. Miaka ya 90’s Arusha Mjini ukawa mji wa wafanyabiashara wahamiaji kutoka mji wa Moshi.
Wafanyabiashara wengi wa Kimasai ambao walikuwa wana support sana CCM na Kinana walihamia kwenye mashamba yao Arumeru, migodini na biashara nyingine baada ya wachagga kuleta ushindani mkubwa sana Arusha. Lakini wale wahindi wengi wa Arusha wenye pesa walibaki bila chama maana upepo ulikuwa unaenda upinzani.
Arusha walikuwa hawapendi serikali kwasababu ilikuwa haina mradi wowote pale mjini wa maana. Majengo yalikuwa na wauza mawe na wahindi na sio kampuni za Serikali au za pesa kama Dar.
Kinana naye akaja kama mfanyabiashara! Akafungua kampuni zake za utalii na uwindaji. Sawa kila majambazi wa kisomali wakishikwa kuna note inatoka juu zaidi Serikalini inasema waachiwe ni ndugu wa Kinana! Hii ni mpaka leo hii🤔. Gafla miaka ya 90’s Kinana akawa mfanyabiashara kuliko mwanasiasa na alipoteza watu wote waliokuwa wana msupport pale mjini.
Wakati huo kulikuwa na kikundi cha Wambulu wakiongozwa na tajiri wa magari Verani ambaye ndiye alikuwa mbebaji wa ngano za kampuni ya bia Tanzania nzima kutoka pale Karatu.
Wambulu wakakutana miaka hiyo na kumchagua kinara wao ambaye ndiye Sumaye awe mbunge ili nao wapate nguvu Arusha. Lakini baada ya kuona maji mazito sumaye alienda kugombea kwao na kubahatika kuwa Waziri! . Alivyokuja Mkapa na kumpa Sumaye Waziri Mkuu Sumaye akaja Arusha na kusema yeye ndiye king mpya wa Arusha na sio Kinana. Kitu cha kwanza sumaye alifanya kushindana ni kuwapa vitalu wambulu mbuguni baada ya miaka michache akatokea king of Tanzanite ambaye alikuwa na jina na Sunda! ambaye alikuwa kijana wa Sumaye.
Hili la Sumaye likamkimbiza kabisa Kinana na mpaka leo Kinana sio yule mzalendo ambaye alikuwa mbunge 1986.
Nasema haya na kumwonya Rais awe makini na Kinana ni mfanyabiashara hana mapenzi na mtu. Yeye anaona kama vile ana kazi na sio wito
Je, alisingiziwa hapa🤔?
The country's Natural Resources and Tourism Minister Khamis Kagasheki admitted to amaBhungane that politicians are involved in the ivory trade.
“This business involves rich people and politicians who have formed a very sophisticated network,” Kagasheki said.
His deputy, Lazaro Nyalandu, echoed this, saying that big names in the Cabinet and the army, as well as officials in wildlife conservation, the Tanzanian Port Authority, the immigration department and the police, are implicated.
- See also Tanzania's elephant killing fields
Shein
A report read by the main opposition party, Chadema, in Parliament in June pointed a finger at a member of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party, wealthy businessperson Mohsin Abdallah Shein.
Shein was said to own 16 hunting blocks in game reserves. He allegedly uses these for poaching.
The hunting blocks are held by four companies – Royal Frontiers of Tanzania Limited, Game Frontiers of Tanzania Limited, Western Frontiers of Tanzania Limited and Northern Hunting and Enterprises Limited – which local media alleged belong either to him or his relatives.
This week, Shein described himself as “an innocent citizen of Tanzania” who is being targeted by business competitors.
“I've never been involved in illegal business, let alone elephant tusks,” he told the Mail & Guardian.
“I have a number of legal businesses and I don't see the point of it.”
Shein said that he owned Game Frontiers of Tanzania, but that the company operates “according to the law. These heavy allegations are full of lies.” He vehemently denied owning 16 hunting blocks.
Kinana
Another powerful figure under suspicion is the CCM secretary general, Abdulrahman Kinana.
In 2009, customs officers at the Vietnamese port of Haiphong found tusks weighing a massive 6.2 tonnes under bags of plastic waste on the freighter Sharaf.
The Sharaf Shipping Company, which owns the Sharaf, was registered in October 2003 in the name of Kinana and his wife.
Kinana insists he did not know about the hidden cargo. This week he said that both Interpol and the Convention on International Trade in Endangered Species had cleared him of any wrongdoing and that he was a victim of a politically motivated smear campaign.
Yaani eti huyu ndiye alikuwa awe next Salim salim. Hakunaga copy ya kipaji!