Je, Kikwete ni mdini?

Je, Kikwete ni mdini?

lets back to TOPIC tunaulizia Je Kikwetwe ni mdini? Masanilo acha usebenda lete fact dont twist the thread. Kama kweli unahoja lete hoja.
 
Imeandikwa... "Wakujue wewe Mungu wa kweli na wa pekee..." Leo Waislamu wanamuabudu Mungu wa kweli wa pekee na ndio uzima wa milele, sasa je mwenye waungu watatu na mwenye kuabudu Mungu mmoja yupi mwenye aya za shetani? Rudi na ujadili mada tafadhali ukitaka kwenda huko unakotaka hutofika unaweza kupiga ngumi screen yako hapo.
JIBU HOJA... ama ndio kuishiwa tayari
Nilikwambia MS huwezi kuficha tabia ila unaweza kuficha jina.
 
Sokomoko naona umeamua kwa makusudi kabisa kuwalisha waislamu wenzako upupu! Hiyo organizational structure inahusikaje na masuala ya udini? Naona unaunderestimate nafasi ya waziri! Umesahau juzi Magufuli kamtimua mtu kazi? Usitafute kulazimisha hoja hata kama ni kwa kusema uwongo, haitakusaidia kitu!


Hapo baraza la mitihani kuna waislamu wangapi? na wakristo wangapi? wanateuliwa na nani? je kama majority ni waroma kwanini kikwete asitumie miaka yake kumi kusimika watu wa dini yake? Chadema hawana hoja wameshalishwa kasumba kanisani hapa hata ulete facts vipi hawakuelewi.....
 
lets back to TOPIC tunaulizia Je Kikwetwe ni mdini? Masanilo acha usebenda lete fact dont twist the thread. Kama kweli unahoja lete hoja.
Usitake kukimbia udini umeuleta hapa wewe na JK wako you have to face it.
 
Nilikwambia MS huwezi kuficha tabia ila unaweza kuficha jina.

Yaani wewe na wenzako hakuna hata fact moja mliyoitoka inayohusu maudhui ya thread hii ila kutoka nje ya mada nyie ndio mnaoulizwa una miaka mingapi unaanza kujibu mama yangu alikutana na baba yangu mwaka so and soo jibu una miaka 40 full stop. Nyambaf!!!
 
Hapo baraza la mitihani kuna waislamu wangapi? na wakristo wangapi? wanateuliwa na nani? je kama majority ni waroma kwanini kikwete asitumie miaka yake kumi kusimika watu wa dini yake? Chadema hawana hoja wameshalishwa kasumba kanisani hapa hata ulete facts vipi hawakuelewi.....

Kwani chadema walitoa hoja lini? Si JK kwa kukimbia kivuli chake akadai kwamba eti kuna udini bila kufafanua? Aendelee kuzoa matapishi yake mwenyewe au ukitaka ukamsaidie!
 
lets back to TOPIC tunaulizia Je Kikwetwe ni mdini? Masanilo acha usebenda lete fact dont twist the thread. Kama kweli unahoja lete hoja.
Ndugu yangu SOKOMOKO!! HATALETA REJEA MANENO YANGU YA AWALI, HAWATALETA HOJA KWA SABABU HAWANA, SANA SANA WAKO WANAOIPITA HII MADA KAMA KICHAKA KINACHOWAKA, HAWA WALIOBAKI NDIO KAMA HIVI UNAONA HOJA ZAO, HAZIHUSIKI NA MADA NA MATUSI. HAJA YAO NI KUVURUGA MADA HII ILI IONEKANE HAINA TIJA, NAWAJUA SANA TABIA ZAO, HAWABADILIKI WALA HAWANA DALILI ZA KUBADILIKA. HAWAJUI LINAKUCHWA LINI WALA LINAZAMA LINI BALI WALICHOAMBIWA FULL STOP.

JE KIKWETE NI MDINI AU SI MDINI???
 
Hapo baraza la mitihani kuna waislamu wangapi? na wakristo wangapi? wanateuliwa na nani? je kama majority ni waroma kwanini kikwete asitumie miaka yake kumi kusimika watu wa dini yake? Chadema hawana hoja wameshalishwa kasumba kanisani hapa hata ulete facts vipi hawakuelewi.....
Usiingize itikadi hapa umeanzisha topic ya udini usiwasukumie Chadema wewe tetea udini wako, tafadhali MODS sokomoko mwenyewe kaomba thread yake isiondolewe, tuachieni kidogo hadi aombe tena thread kuondolewa. Udini kauanzisha mwenyewe.
 
Usitake kukimbia udini umeuleta hapa wewe na JK wako you have to face it.

We enedlea tu ila ujue huyo unaemtukana ni mstahamilivu lakini akikutaka ndani ya dakika 40 tu anakupata waulize wenzio wa ze utamu watakuambia jinsi gani jamaa ana mkono mrefu endelea kijana naona hutaki kuendelea kupost hapa JF.

Jibu hoja kwa facts facts facts facts facts facts facts facts facts facts facts facts I repeat facts facts facts facts facts facts facts facts facts facts facts facts mnapenda sana pumba ndio maana Zitto akiongea facts nyie mnataka aongee pumba kama wale majuha wenzenu wanaotoa pumba.
 
Usiingize itikadi hapa umeanzisha topic ya udini usiwasukumie Chadema wewe tetea udini wako, tafadhali MODS sokomoko mwenyewe kaomba thread yake isiondolewe, tuachieni kidogo hadi aombe tena thread kuondolewa. Udini kauanzisha mwenyewe.
Nanyi muwe tayari kwa yatakayofuata kwa maana mmaovu ya wakristo yanajulikana dunia nzima. tukianza na Rwanda siendi mbali... Mauaji ya kimbari kanisa lilihusika. Je pia mmesahau kibwetere??? hizo ndizo kazi rasmi za kanisa. sasa mmeanza na Tanzania tumewashtukia hatutapigana wala Kikwete si MDINI. hamna hoja wala sera.:teeth:
 
mwenye hoja kikwete ni mdini alete plz
 
We enedlea tu ila ujue huyo unaemtukana ni mstahamilivu lakini akikutaka ndani ya dakika 40 tu anakupata waulize wenzio wa ze utamu watakuambia jinsi gani jamaa ana mkono mrefu endelea kijana naona hutaki kuendelea kupost hapa JF.

Jibu hoja kwa facts facts facts facts facts facts facts facts facts facts facts facts I repeat facts facts facts facts facts facts facts facts facts facts facts facts mnapenda sana pumba ndio maana Zitto akiongea facts nyie mnataka aongee pumba kama wale majuha wenzenu wanaotoa pumba.

Fact ni kwamba jk ni mdini halafu anasingizia wengine wadini ili afiche udini wake, tabasamu lake lina hila ndani yake!
 
Wewe ndiye mdini ,mimi tangu baraza la mawaziri litangazwe sijawahi kuhesabu kuna waislam wangapi na wakristo wangapi ndio kwanza naona kwako.

Nimechukia :angry:,hivi kwa nini unapenda leta mambo ya udini ?? Na ni nani alisema kuwa JK ni mdini?? Au ni wewe mwenyewe umekaa ukawaza pumba na kuja kuandika upupu hapa JF.
Hivi unafikiri makanisa hujengwa na serikali ?? mbona makanisa ya wakatoliki yanajengwa na wakristu wenyewe.Hiyo habari ya ruzuku umeitoa wapi?

kwa nini watu wa dini moja tu siku zote wanalalamika kuwa wanaonewa? Kwa nini wa dini nyingine hawalalamiki?

Mbona watanzania wanaishi vizuri tu mtaani na hawabaguani kwa misingi ya kidini.

Usituletee masuala ya udini hapa.nyie unaohesabu wakristu wangapi na waislam wangapi ndio wadini wakubwa na ni wa kuogopwa kama ukoma.
 
xyz!

ndio hoja yangu!shenzi type!
 
Back
Top Bottom