Je, Kikwete ni mdini?


Nonsense
Waliopo JF hawawezi kukuelewa kukuelewa na hoja zako.
Unaamaanisha nini: kwamba sasa hivi Wakristo si CCM na kwamba Waislamu hawakusema huyo ni chaguo la Mungu?

Na kumbuka Nyerere alisema kiongozi wa nchi lazima awe na dini, "kama mtu hana dini basi kwa msaafu au biblia tutamwapisha"

please usitujengee hiyo hoja wala usitutenganishe kwa udini, hatuna hilo na wala kwa sasa halitowezekana
 
Kaka sokomoko usikatishwe tamaa na Drugs victim na sex hawa wamekosea ilibidi waende kwenye tovut za kushauriwa ili wakae sawa maana wanaonekana ni wamechanganyikiwa.Ngoja uchaguz ujao ccm itakapomuweka mkatolik sijui watakua chama gani na nani atakuwa chaguo la mungu kati ya Dr.SILAHA na huyu mkatoliki?WE NGOJA UTADHIHIRIKA UDINI WAO!
 
Very unhealthy discussion..hizi dini tuliletewa tu jamaniiiii, mbona tunaumizana kwa maneno ya kashfa na kuudhi wakati wote ni Waafrika??
 

Tusubiri tuone ila sidhani kama tatizo ni udini tatizo ni ile hali iliyozoeleka kutumia nyumba za ibada kupitisha biashara kwa kukwepa kodi. Wamebanwa wamekasirika wakaamua kujenga chuki ya udini.
 

KWELI WEYE WAITWA SOKOMOKO ,MAMBO YAKO YA KISOKOMOMKOMKOMKOM O00....Kama waisilimu walikuwa na shule nyingi (sijui ngapi)Wkristo walikuwa na ngapi.....mawazo yako yanatofautiana sana na elimu yako SOKOMOKO uNATUTIA AIBU
 
Naona mods wameifurahia sana hii mada.
Ningeanzisha mimi, hii mada ingefungiliwa mbali sana
 

Tafsiri yake ndo hii

hata kwenye vyuo vikuu wanafunzi wakiristo wakisomeshwa na walimu waislam hununa sana. lkn huwa hawana budi tu
 
Sokomoko na Yaya na hii hapa vipi?

Halmashauri Kuu (3 out 0f 4)

Jakaya Mrisho Kikwete
Pius Msekwa
Aman Abeid Karume
Yusuph Rajabu Makamba



WAJUMBE WA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA (CC) YA CHAMA CHA MAPINDUZI (26-1 out of 38)

1. Ndugu Kakaya Mrisho Kikwete - Mwenyekiti
2.
Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara)
3. Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)
4. Ndugu Yussuf R. Makamba - Katibu Mkuu
5. Capt. (mst) George Huruma Mkuchika - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6.
Ndugu Salehe Ramadhan Ferouz - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7.
Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8. Ndugu Edward Ngoyai Lowassa - Mjumbe
9.
Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10.
Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11. Ndugu Benjamin Willium Mkapa- Mjumbe
12.
Mzee Rashid Mfaume Kawawa – (RIP) Mjumbe
13.
Dr. Salmin Amour - Mjumbe
14. Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe
15. Capt. (mst) John ZefaniaChiligati - Mjumbe
16. Ndugu Amos GabrielMakala - Mjumbe

17. Ndugu Bernard KamiliusMembe - Mjumbe
18. Ndugu Kidawa HamidSaleh - Mjumbe

19 Ndugu Samwel Sitta - Mjumbe
20.
Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
21.
Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
22.
Ndugu Rostum Aziz - Mjumbe
23.Dr. Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
24. Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe
25. Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe
26. Dr. Maua Abeid Daftari - Mjumbe
27. Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
28
. Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
29.
Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
30 .
Dr. Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
31 .
Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
32 . Ndugu Anne Semamba Makinda- Mjumbe

33. Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo - Mjumbe
34 .
Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
35. Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe
36 Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
37 Ndugu Ali Ameir Mohamed - Mjumbe

38. Ndugu Yussuf Moh'd Yussuf - Mjumbe


Source: Website Rasmi ya Chama Cha Mapinduzi - CCM
 

Hapo mkuu ni kwamba kuna wawakilishi wa ASP yaani Zanzibar na wa TANU yaani Bara.
Tukimtoa Mzee Kawawa tunabaki na wajumbe 37. Kati ya hao 16 ni wazanzibar na 21 ni wabara.

Given that.
Zanzibarians 16 members = 43.25% na kama tujuavyo "wazanzibari" halisi waislamu ni asilimia 99. Ndio maana wote ni waislam.

Bara 21 members Muslims 7 = 33.3333%
Christian 14 = 66.6666%.

Nadhani utakuwa umeridhika na mchanganuo hupo juu.

Ili kuweza kuweka uwiano sawa ni mikakati ya kuingiza wakristo kwa wingi zanzibar yaani unguja na pemba kisha kuwaweka kwenye nafasi mbalimbali za uongozi in next 20 years hao waislam watabakia wawili watatu tu!
 


Mimi binafsi nisingependa kuongelea habari za udini. Ila najua kuwa Kikwete ni mdini. Naomba usitumie idadi kama njia ya kulinganisha. Jaribu kuangalia wizari muhimu zote ziko kwa wakina nani kama vile Afya, Fedha, Elimu, Ulinzi, mambo ya Ndani, Science na Technolpogia, Ochukuzi.

Tuna vielelezo vya ndani kabisa, ambavyo si busara kuvisema maana kadri tunavyozidi kuliongelea ndivyo linavyozidi kuathiri watz.
 

Wewe ndiyo kilaza hasa! Kwa hiyo, watu kuwa viongozi huwa wanachaguliwa kwa vile ni wengi au kwa kuwa na sifa za kuongoza?
 

Utajuaje haikuwa prejudice ya huyo mtunzi?
 
Watu wengine hawana akili sawa swa

Ailyewaambia hilo baraza ni huyo MTALII ni nani?

Hivo kwani mnadhani moyoni amependa achague vile?

Inaonekena watu wengine hamsomi alama za nyakati.

Rais ni mwingine, JeyK ni waziri wa mambo ya nje, Membe waziri kivuli
 
Naamini katika maisha ya kawaida ya mwanadamu hakuna jambo ambalo ni upuuzi mtupu, katika ujinga binadamu hujifuza, na katika uelevu humo pia hujifunza .kuhusu dini naamini kwamba ni ustaarabu ambao uliibuka mahali fulani kulingana na mazingira , ukienda mbali zaidi watafaiti wa maswala ya mambo ya kale dini imeelezwa kuwa chanzo chake ni hofu ya mwanadamu ,ingawa tunajua kuwa mwanadamu anahofu nyingi zisizopunmgua 901 .mwanadamu huyu tangu kuanza kujitambua kutokana na mchakato wa mabadiliko yake alikuwa anaogopa radi ,wanyama wakubwa hivyo akatafuta namna ya kuegamia kwa kujilinda na hatari hizo .sasa kuibuka kwa maendeleo ya ustarabu kwa dini hizi huko mashariki ya kati na kuingineko ,kila dini ilianza kujihisi kuwa bora kuliko dini nyingine acheni maalumbano dini hizi mbili sio asili yenu nidini kutoka mashariki ya kati .habari nya kulalamika tu hisaidii fanyeni juhudi za kujikwamua katika nyanja zote sio kulalamikiana fulani anapendelewa hapana tutaibomoa nchi yetu nzuri amabayo hatuwezi kwenda kuinunu katika duka lolote hapa ulimwenguni Tanzania ama tanganyika itabaki kuwa tanganyika na watu wake wanaoishi kindugu .
 


Sokomoko naona uzee unaanza kukunyemelea,nakumbuka kipindi cha ukoloni shule nyingi zilikuwa za dini hilo halina ubishi lakini baada ya wakoloni kuondoka ulitaka wachukue waislamu na wakristo kutoka wapi wakati nchi haina kitu ndio maana wenye akili kama nyerere akazichukua na kuzifanya kuwa watu wote wewe ulitaka waarabu na wazungu waondoke nazo au wazibomoe, mbona unakuwa kama huna akili za kutosha.

By the way Ukristu na Uislamu ni nini kwa akili yako? Sisi sote tunamjua mungu ni moja haijalishi we dini gani huo ni utamaduni tu wa watu kama wamasai wanavyojifunika shuka, kikubwa umwamini mungu yupo na fuata maandiko yake inatosha.

Lakini tukianza kulumbana wewe dini gani, tutatoka hapo na kuuliza wewe kabila gani, tukitoka hapo tuuliza wewe ukoo gani mwisho the what.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…