Je, Kikwete ni mdini?


Have you ever read Plato's allegory of the cave? You are one of the prisoners in the cave!
 

kwa hiyo waliofanya hivyo walikuwa ni wadini?


Nipe mfano wa credible source moja tu. Vinginevyo hizo ni tetesi tu kama za yule mtu aliyesema ati Kikwete alipelekewa cheki na viongozi wa kanisa na wapo wanaoamini hilo.
 
A:Yes, iwapo CCM itamsimamisha Muislamu mwaka 2015 basi kuna hatari ya nchi kuvurugika, kwa sababu watu wataamini kwamba CCM ni chama cha dini fulani.

kwa hiyo hata kama hakuna mkristu anayekubalika au kufaa, muislamu akataliwe na CCM kwa sababu ya dini yake ili kumsimamisha Mkristu hata kama Muislamu huyo anakubalika na kufaa zaidi? Una maana hata vyama vingine vya upinzani navyo visimamishe wakristu tu - CUF isimamishe mkristu vile vile?

Lakini itakuwaje kama wataamua kumsimamisha mtu asiyeamini Mungu kabisa lakini anayekubali au mganga wa kienyeji mpagani lakini anayekubalika?
 
si uliona aliyevaa kibandiko mahakamani alivyoleta sokomoko! Sasa wewe ingia na viatu msikitini kama utasalimika.
nazani utakuwa umesahua-1999 polisi waliingia na viatu mwembachai-waliolalamika walilalamika kama ilivo kawaida yao
 
hata hujanuna. Jk ni mdini angalikuwa sio mdini leo hii angaliufunga ubalozi wa vatican nchini

umepata nyau nyau na ubalozi wa iran,libya,saudia.sudan.zote angefunga....
 

Kama CCM itaamua kumsimamisha mtu ambaye si Mkiristo, basi utaona chuki za kidini zinazidi, na malalamiko yatazidi kuhusu Udini. Baadaye itakuwa Cancer, ambayo matokeo yake utaona matatizo kama Rwanda, Sudan, Congo, nk.

Vyama vya upinzani vipo ktk stage ya Udini, fulani,. Ukiangalia statistic za Chadema, utaona kwamba Chadema ni chama chenye Wakristo wengi, na ukiangalia statistic za CUF utaona CUF ni chama chenye Waislam wengi zaidi.

Simply, hivi vyama vya Upinzani bado havina sura ya national demographic. Bado vinashinwa kuatract WTZ tofauti tofauti.

Unajua tatizo tupo katika Development, na ukiangalia historia utaona kila nchi imepitia hii stage kabla ya kuwa Secular 100%. Nchi nyingi za Africa zinasuffer hii stage kwa sababu kila group, kabila, dini linaona linaonewa na serikali kwa sababu bado tupo na umaskini.
Hii stage tutaipita kwa amani iwapo kama society itakuwa inapata mahitaji ya muhimu kama uchumi mzuri kwa kila mkoa, elimu ya haki kwa wote, na serikali kutoa kipaumbele kwa mikoa ambayo ipo nyuma kimaendeleo.
 
Kama CCM itaamua kumsimamisha mtu ambaye si Mkiristo, basi utaona chuki za kidini zinazidi, na malalamiko yatazidi kuhusu Udini. Baadaye itakuwa Cancer, ambayo matokeo yake utaona matatizo kama Rwanda, Sudan, Congo, nk.

CCM watajuaje mtu fulani ni Mkristu ili wamsimamishe?

Je akiwepo Muislamu anayefaa na kukubalika akataliwe kwa sababu ya dini yake ili kumpa nafasi Mkristu hata kama hakubali na hana uwezo?
 
CCM watajuaje mtu fulani ni Mkristu ili wamsimamishe?

Je akiwepo Muislamu anayefaa na kukubalika akataliwe kwa sababu ya dini yake ili kumpa nafasi Mkristu hata kama hakubali na hana uwezo?

I think ni logic kumjua MTZ yupo ktk dini gani. WTZ wangi wanajua kwamba Mwinyi ni muislamu, Nyerere mkristo, Mkapa Mkiristo, JK ni muislamu, ni common sense.

Hiyo ndiyo issue niliyosema mwanzo kwamba JK aliposhinda Dodoma, inasemekana aliambiwa asubiri baadaye kwa sababu itakuwa siyo fair kwa Wakristo iwapo JK(muislamu) awe rais baada ya Mwinyi (muislamu).

Study CCM utaona kuna viongozi wanachaguliwa ili kuwa na balance ya power ktk dini. Kwa mfano, kwa nini Waziri Mkuu lazima awe Mkiristo? au IGP awe muislamu, mkuu wa majeshi wa Mkrisito? CCM wanajua issue ya Udini, ndiyo maana wanafanya hivi ili wawe na balance ya power.
 
I think ni logic kumjua MTZ yupo ktk dini gani. WTZ wangi wanajua kwamba Mwinyi ni muislamu, Nyerere mkristo, Mkapa Mkiristo, JK ni muislamu, ni common sense.

Common sense siyo common kihivyo; kwa mfano Mwinyi watu wanajua ni Muislamu kwa sababu wameona akienda kuswali, akijitambulisha hivyo n.k Nyerere watu wanajua ni Mkristu kwa sababu walimuona anaenda kanisani n.k vivyo hivyo kwa JK na Mkapa. Sasa kwa hawa Watanzania wengine tutawajuaje kuwa ni wakristu au waislamu?

a. Wakati wanaomba kazi tuwaulize kama ni Wakristu/Waislamu?

b. Tuwafuate msikitini au kanisani japo kwa mwezi mmoja?

c. Tuwaulize wakiri kanuni ya imani au shahda ili tujue wanachokiamini?

Tuweke utaratibu gani wa kumjua mtu ni muislamu au mkristu ili tuweze kufikia lile lengo la 50/50 uliloliashiria?
Hiyo ndiyo issue niliyosema mwanzo kwamba JK aliposhinda Dodoma, inasemekana aliambiwa asubiri baadaye kwa sababu itakuwa siyo fair kwa Wakristo iwapo JK(muislamu) awe rais baada ya Mwinyi (muislamu).

Study CCM utaona kuna viongozi wanachaguliwa ili kuwa na balance ya power ktk dini. Kwa mfano, kwa nini Waziri Mkuu lazima awe Mkiristo? au IGP awe muislamu, mkuu wa majeshi wa Mkrisito? CCM wanajua issue ya Udini, ndiyo maana wanafanya hivi ili wawe na balance ya power.[/QUOTE]
 
Hiyo ndiyo issue niliyosema mwanzo kwamba JK aliposhinda Dodoma, inasemekana aliambiwa asubiri baadaye kwa sababu itakuwa siyo fair kwa Wakristo iwapo JK(muislamu) awe rais baada ya Mwinyi (muislamu).

Unachosema ni kuwa muislamu mwenye uwezo na anayekubalika akataliwe kwa sababu ya dini yake ili apewe mkristu asiyekubalika na asiye na uwezo mwaka 2015? Kwamba dini ndiyo iwe sababu kuu ya kuamua nani asimamishwe na nani asisimamishwe. Nimekuelewa.



Sijui kama umesoma nafasi zote ulizozisema zote zimewahi kushikwa na wakristu na waislamu;

Lakini vipi kuhusu Wahindu na wapagani wao hawana haki ya kuongoza nchi yao?
 


Dini ambazo ni majority ni Waislamu na Wakristo, Wahindi na Wapagani ni minority. Kwa hiyo wapewe nafasi chache kutokana na population yao.
Hile ya common sense nilifupisha kwa sababu nilijua utanielewa.

Kazi za serikali zitolewe kwa kuzingatia vigezo vyote, elimu, uzoefu, na dini yako. Huwezi kuwapa kazi watu wa dini moja halafu ukasema, kwamba watu wa dini fulani hawana mtu anaequalify. Kwa mfano nchi zilizoendelea wanauliza una Race gani wakati unaapply form yoyote ili wacontroll haki kwa kila race.
Hata Marekani wana vigezo ambavyo wanatumia kucontroll visa za watu wanaokwenda Marekani kwa misingi ya haki kwa kila nchi, race nk. Sasa kama wangekuwa wanaangalia vigezo vya kualification tu peke yake basi kuna watu wa nchi nyingine ambazo zipo nyuma kimaendeleo wangeisikia Marekani kwenye bomba tu.

Sasa kama wenzetu wanatumia hivi vigezo kwa kutaka kuleta haki, kwanini TZ, na Africa hatufanyi? Vita vya kila siku kwa sababu hatuwapi haki watu fulani, kwa kuogopa kuitwa Wadini, Wabaguzi, nk. Angalia vita vya Sudan, Rwanda, na Congo, utaona ni lazima tubadilike kabla ya Cancer kubwa zaidi TZ.
 
Sokomoko umesahau na sofia simba nae ni mkristo...the percentage goes to???????
 
Mnaifanya hii forum kuwa forum ya chedema kumbe unafiki mtupu, mnatak iwe forum ya kikrosto shiiiiiit gadem...kama kweli manaakili na hoja mjibuni sokomoko
 
Mnaifanya hii forum kuwa forum ya chadema kumbe unafiki mtupu, mnataka iwe forum ya wakristo shiiiiiit gadem...kama kweli mnaakili na hoja mjibuni sokomoko

UPPUZI MTUPU
 

nimekupata vizuri sasa tukija kwenye hili la dini ni lazima tuangalie madhehebu ya dini ili kuyawakilisha vizuri au mtu akiwa ni mkristu basi ni mkristu tu; kwa mfano, tuhakikishe Wakatoliki, Walutheri na Wapentekoste nao wanakuwa represented vizuri kama vile Sunni, Shia, Answar?
 
Will see ikiwa OIC imewekwa kina mtu analijadili na nisuala linalohusu uislam aliepost hakufungiwa basi siku za JF zinahesabika mjue kuna watu wengi wanaifatilia na kujua ukweli na sitatofautisha JF na Ze utamu.

ukweli ni kuwa anapendelea wakiristo.
kwani muhula wake wa kwanza wakiristo walilalamika sana wapewe nafasi serikalini na alimteua mkiristo mmoja kwenye nafasi ya ubunge.
na huyo aliyeteuliwa alisema kuwa nafasi yake bungeni ni ya jamii sawasawa na kuwawakilisha wakiristo. kwani dini lake hilo pia ni la jamii na wakaomba nafasi nyingi zaidi.

mbona hakuchagua mbunge muislam. lakini viongozi hao hao wa kiislam wana walazimisha viongozi wa dini ya kuislam wawatangazie waislam kuwa wao wasijishuhulishe na siasa.
wakati hakuna muislam anayejishuhulisha na siasa ikiwa kuna waislam ambao jk anawachagua basi hao ni waislam majina tu lakini hawana imani na dini ispokuwa na matumbo yao.
na pia waislam hao kutoa rushwa kwa viongozi wa dini kufumbia maovu yoyote na kunyamaza kimya.
uislam uaneleza wazi kama kutakuwa kuna ubaya basi ukatazwe na uondolewe na kama hauwezekani basi na uchukiwe.
kutokana na maneno hayo ni kuonyesha wazi kuwa mambo mabaya wanayofanya viongozi wa serekali na ccm yake ni machukizo ya kuchikiwa na waislam na viongozi wake walio waislam.
kikwete udini wake upo kwa ukiristo kwani yeye ni mwenye kauli ya mwisho hakuna hata moja alilolifanya la upendeleo kwa waislam ila kwa wakiristo na wakiristo kuwa na kauli ndani ya bunge na serikali wao ni watu waliowekwa kwa maslahi yao si ya uislam wala ya waislam

nafikiria wenye macho wanaona.
wanapokwenda misikitini viongozi hao wa serikali au wa ccm huwaamrisha viongozi wa dini za kiislam kuwa wasijitie kwenye siasa yaani wayafungie macho mambo yanayofanywa na wanasiasa na serikali yake hata kama watafanya mabaya. na viongozi wa kiislam hawaombi vyeo kwenye ccm wala serikali isipokuwa wao hukataza mabaya tu, na kuwaonya waislam.
hii inakuja sawasawa na historia ya yesu kwani misikitini kulikuwamo watu ambao wanafata viongozi wa nchi na kuwakufurushiwa waislam ndio ccm na serikali yake kwa sasa inawakufurushisha waislam na kuwakataza wasizungumzie mabaya wao waswali tu.

lakini wakiristo wao kila siku kelele tuongozeeni vyeo serikalini na kwenye ccm na mabungeni na hizi habari zipo wazi na jk anafanya hivyo.
udini wa jk na waislam wenzakee ni kwa wakiristo na kuwafumba waislam wasizungumzie mabaya ili wapotee wende njia mbaya ya kupotea
huu ndio ukweli.
tukumbukeni enzi za ali hasani mwinyi. alipokuwa anangia urais aliingia na imani zabiti ya kiislam lakini baadaye naye alielekea muelekeo wa rafiki zake na hatimayake tuliiona.
nafikiria umeridhika sasa jibu unalolitaka ni tofauti hili ndio sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…