favourismyname
JF-Expert Member
- Jul 17, 2022
- 403
- 355
Nimeshuhudia ndoa nyingi sana zikifungwa bila hayo madude maana kuyapata lazima gharama itumike so asiyekuwa na uwezo siyo lazima avae,shela ni ishara ya furaha na ni vazi la heshima kwa anayeolewa likimaanisha ni msafi na hii nadhani ni special kwa wale wanaoolewa wakiwa bado sealed (wengi wanaolivaa kizazi hiki wanalibaka ilibidi wavae hata vitenge tu kwenye harusi zao)
Obviously wewe ni msabato acheni ku-complicate mambo vitu vingine ni tamaduni tu zipo duniani siyo lazima viandikwe ktk Bible that's why siyo sheria,au kwako wewe kuvaa shela ni dhambi?
Kama ni dhambi tuambie imeandikwa wapi ktk biblia kwamba kuvaa shela ni dhambi?