Je, katika Biblia Takatifu kuna kifungu kinachoelezea ulazima wa Bibi Harusi kuvaa shela?

Joao de Matos

JF-Expert Member
Jun 16, 2022
334
267
Za ijumaa wana JF,

Suala ya uvaaji shela limenilete changamoto kweli baada ya kutafuta Sana katika mtandaoni. Shela Ni like vazi analojifunika Bibi harusi siku akifunga ndoa.

Katika Biblia tunaona mfano mmoja Rebeka alivaa shela alipo kutana na Isaka. Ila sijapata fungu lililosema Ni agizo kutoka kwa MUNGU, au Nabii au Mtume alisema hiwe hivyo.

Changomoto yangu Ni kwamba hili shela katika Biblia imeelezwa kuwa kwa wakristo Ni Lazima kuvaa siku ya ndoa?, na maana yake hasa Ni Nini.

Lakini pia nahitaji fungu kutoka kwenye Biblia inayoeleza kuwa ilikuwa Ni agizo kufanya hivyo. Maana nimefuatilia Sana Kuna Baadhi ya sehemu mitandoni wanasema sio lazima wengine Ni Lazima Sasa napata shida kidogo.

Karibuni wakuu.
 
Nimeshuhudia ndoa nyingi sana zikifungwa bila hayo madude maana kuyapata lazima gharama itumike so asiyekuwa na uwezo siyo lazima avae,shela ni ishara ya furaha na ni vazi la heshima kwa anayeolewa likimaanisha ni msafi na hii nadhani ni special kwa wale wanaoolewa wakiwa bado sealed (wengi wanaolivaa kizazi hiki wanalibaka ilibidi wavae hata vitenge tu kwenye harusi zao)

Obviously wewe ni msabato acheni ku-complicate mambo vitu vingine ni tamaduni tu zipo duniani siyo lazima viandikwe ktk Bible that's why siyo sheria,au kwako wewe kuvaa shela ni dhambi?

Kama ni dhambi tuambie imeandikwa wapi ktk biblia kwamba kuvaa shela ni dhambi?
 
Kama wewe ni lofa ruksa nguo yeyote hata gunia mvalishe bibi harusi. Ila bibi harusi atakuelewa vizuri kuwa hicho ulichomvalisha ni official information hata mbele ya public na kanisa zima kama mashahidi kuwa anaolewa na lofa wa kutupwa ajiandae maisha magumu mbeleni
 
Za ijumaa wana JF,

Suala ya uvaaji shela limenilete changamoto kweli baada ya kutafuta Sana katika mtandaoni.
Shela Ni like vazi analojifunika Bibi harusi siku akifunga ndoa.
Kwani kwenye biblia kuna agizo la bibi harusi au bwana harusi kuvaa nguo au kufunika miili yao kwa vipande vya nguo ?

Ukimaliza hapo nipe fungu la biblia kuwa maharusi waingie kufunga ndoa wakiwa wamevaa viaatu
 
Nimeshuhudia ndoa nyingi sana zikifungwa bila hayo madude maana kuyapata lazima gharama itumike so asiyekuwa na uwezo siyo lazima avae,shela ni ishara ya furaha na ni vazi la heshima kwa anayeolewa likimaanisha ni msafi na hii nadhani ni special kwa wale wanaoolewa wakiwa bado sealed (wengi wanaolivaa kizazi hiki wanalibaka ilibidi wavae hata vitenge tu kwenye harusi zao)

Obviously wewe ni msabato acheni ku-complicate mambo vitu vingine ni tamaduni tu zipo duniani siyo lazima viandikwe ktk Bible that's why siyo sheria,au kwako wewe kuvaa shela ni dhambi?

Kama ni dhambi tuambie imeandikwa wapi ktk biblia kwamba kuvaa shela ni dhambi?
Sijasema Ni dhambi , naomba usome vizuri mkuu. Nimeuliza Biblia inasemaje kuhusu kuvaa shela, Kuna fungu lolote linaloelezea Kama Ni agizo, maana mkuu sijafanikiwa kusoma Biblia yote.
 
Nimeshuhudia ndoa nyingi sana zikifungwa bila hayo madude maana kuyapata lazima gharama itumike so asiyekuwa na uwezo siyo lazima avae,shela ni ishara ya furaha na ni vazi la heshima kwa anayeolewa likimaanisha ni msafi na hii nadhani ni special kwa wale wanaoolewa wakiwa bado sealed (wengi wanaolivaa kizazi hiki wanalibaka ilibidi wavae hata vitenge tu kwenye harusi zao)

Obviously wewe ni msabato acheni ku-complicate mambo vitu vingine ni tamaduni tu zipo duniani siyo lazima viandikwe ktk Bible that's why siyo sheria,au kwako wewe kuvaa shela ni dhambi?

Kama ni dhambi tuambie imeandikwa wapi ktk biblia kwamba kuvaa shela ni dhambi?
Ninafahamu Kuna mapokeo katika Kanisa, mapokeo kutoka kwa Utamanduni ya jamii flani, na mapokeo mengine Ni kutokana na kutunga na watu.
Ila Kama haihusiani na Imani na haina madhala kwenye Imani Basi waweza kufuata au mkaacha ila Kama ina leta madhala kwenye Imani Ni vyema kuacha, maana mapokeo mingine yanapinga kutokana na maagizo ya Biblia. Ila naomba turudi kwenye mada.
 
Sio kweli liko tofauti na mavazi mengine
Ulishakutana na watu kwenye madaladala au mosokoni wamevaa shela za harusi?

Lile ni vazi maalumu kwa special occasion ya ndoa .Sio sawa na mavazi mengine
Kwahio shela na gauni la kitenge sio vazi sawa sawa!
 
Sio kweli liko tofauti na mavazi mengine
Ulishakutana na watu kwenye madaladala au mosokoni wamevaa shela za harusi?

Lile ni vazi maalumu kwa special occasion ya ndoa .Sio sawa na mavazi mengine
Mkuu kwangu Mimi nilivyofuatilia nimeona kuwa like gauni la Bibi harusi jeupe ulikuwa Utamanduni wa watu wa maghalibi, ikimaanisha binti Ni msafi hajaguswa na mwanaume yani ni bikra. Ila ikasambaa kote dunia ila kwani Ni ile shela, anayojifunikwa kichwani binti, na ndo maana nimelezea mfano mmoja hapo wa isaka alipokutana na rabekka , rebekka alichukuwa shela akajifunika.
Ila ndo hio NAULIZA andiko liliagiza kufanya hivyo mkuu.
 
Za ijumaa wana JF,

Suala ya uvaaji shela limenilete changamoto kweli baada ya kutafuta Sana katika mtandaoni.
Shela Ni like vazi analojifunika Bibi harusi siku akifunga ndoa.

Katika Biblia tunaona mfano mmoja Rebeka alivaa shela alipo kutana na Isaka. Ila sijapata fungu lililosema Ni agizo kutoka kwa MUNGU, au Nabii au Mtume alisema hiwe hivyo.

Changomoto yangu Ni kwamba hili shela katika Biblia imeelezwa kuwa kwa wakristo Ni Lazima kuvaa siku ya ndoa?, na maana yake hasa Ni Nini.

Lakini pia nahitaji fungu kutoka kwenye Biblia inayoeleza kuwa ilikuwa Ni agizo kufanya hivyo. Maana nimefuatilia Sana Kuna Baadhi ya sehemu mitandoni wanasema sio lazima wengine Ni Lazima Sasa napata shida kidogo.

Karibuni wakuu.
Screenshot_20220722-100225.jpg
 
Mkuu kwangu Mimi nilivyofuatilia nimeona kuwa like gauni la Bibi harusi jeupe ulikuwa Utamanduni wa watu wa maghalibi, ikimaanisha binti Ni msafi hajaguswa na mwanaume yani ni bikra. Ila ikasambaa kote dunia ila kwani Ni ile shela, anayojifunikwa kichwani binti, na ndo maana nimelezea mfano mmoja hapo wa isaka alipokutana na rabekka , rebekka alichukuwa shela akajifunika.
Ila ndo hio NAULIZA andiko liliagiza kufanya hivyo mkuu.
Rekebisha haukuwa utamaduni wa nchi za Magharibi ulikuwa utamaduni wa Agano la kale kwenye Biblia ambao Agano jipya tumeamua kuendelea nao.Viko vingi vya agano la kale ambavyo kanisa wameamua kuendelea navyo mojawapo ni huo utamaduni wa kuvaa shela bibi Harusi.Hatajaurithi huo utamaduni nchi za Magharibi. Tumeurithi toka Agano la kale
 
Rekebisha haukuwa utamaduni wa nchi za Magharibi ulikuwa utamaduni wa Agano la kale kwenye Biblia ambao Agano jipya tumeamua kuendelea nao.Viko vingi vya agano la kale ambavyo kanisa wameamua kuendelea navyo mojawapo ni huo utamaduni wa kuvaa shela bibi Harusi.Hatajaurithi huo utamaduni nchi za Magharibi. Tumeurithi toka Agano la kale
Mkuu hio kutokana na Mimi kufuatilia kuhusu gauni la Bibi harusi, na sio shela maana shela najua limeandikwa hata katika agano la kale kitabu Cha Mwanzo 24:65.
Na sio gauni lile , nafikili umenielewa mkuu.
 
Kuna utofauti kati ya ukristo na Uislam. Uislam ni utamaduni wa kiarabu wenye imani za kidini na Ukristo ni dini isiyo na utamaduni wowote.
Kwenye uislam mambo yote kama ndoa,mazishi,kukojoa,kula,kunywa,marafiki wa kuwa nao,nguo za kuvaa yanapangwa na dini.
Kwenye ukristo dini inahusisha mambo ya kiibaada kama kusali,kufunga,sadaka nk.
Mambo ya harusi iweje,mazishi yafanyikeje,kukojoa ukojoeje, kwenye ukristo hayapo.

Hivyo ukiona wakristo wanafanya kitu chochote kisichohusisha ibaada (kama kusali,kuabudu,kuimba nk.) Basi ujue wanafanya kwa kufuata mihemko binafsi, mila za kikabila au kitanzania,utandawazi, kujiongeza au fashion.
ila kwa waislam kila kitu mpaka staili ya kunywa maji ni dini.

Kwahyo unapouliza swali lisilo la kiibaada kwenye biblia huwezi kukuta, Maswali ya hivyo ni vizuri ukiuliza waislam.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom