rovita
Member
- Jul 11, 2023
- 17
- 7
Hongera San muheshimiwa mkuu wa mkoa, kwa KASI nzuri ya kuondoa au kama syo kufuta kabisa biashara ya MADANGURO katika Jiji lenye STAREHE zote.
-Jiji la DSM ni Jiji la kipekee miongoni mwa majiji yote Tz, je utaweza kutokomeza biashara hzo??
-Tumeona wakuu wa mikoa wengi wamepita walikuja na KASI kama Yako mwisho wa siku zilikuja na MATOKEO ya muda mfupi, mwisho wa siku baada ya kutok biashara zikarudi, najiuliza maswali mengi nakosa Majibu,.
1. Je Swala hili linaweza je kufanikiwa bila kuweka Sheria(BY LAW) Kali dhidi ya MADANGURO DSM?Au ndo kikiza muda ......,.......
Thax mkuu wa mkoa
-Jiji la DSM ni Jiji la kipekee miongoni mwa majiji yote Tz, je utaweza kutokomeza biashara hzo??
-Tumeona wakuu wa mikoa wengi wamepita walikuja na KASI kama Yako mwisho wa siku zilikuja na MATOKEO ya muda mfupi, mwisho wa siku baada ya kutok biashara zikarudi, najiuliza maswali mengi nakosa Majibu,.
1. Je Swala hili linaweza je kufanikiwa bila kuweka Sheria(BY LAW) Kali dhidi ya MADANGURO DSM?Au ndo kikiza muda ......,.......
Thax mkuu wa mkoa