Simple
JF-Expert Member
- Feb 6, 2009
- 249
- 121
Nasikia tetesi mitaa ya sinza,,kwamba marehemu alikuwa anakula mzigo bafuni ghafla ndo simu ya Lulu ikaita chumbani,,baada ya lulu kustop kwenda kuikimbilia simu yake,,marehemu the great naye akamuungia kumfuata,,bahati mbaya akateleza akitokea bafuni na kuanguka,,,,wapo wanaodai wakati daktari anafika marehemu alikuwa mtupu..
Haya basi tuwaachie mapolisi wetu wa kibongo waendeshe hii movie.
RIP The Great
Haya basi tuwaachie mapolisi wetu wa kibongo waendeshe hii movie.
RIP The Great