manning
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 5,070
- 11,897
Za asubuhi wakuu,
Kwa wataalam wa mambo ya asili kama mshana jr, Jichawi , mzizimkuu1 na wengineo naomba kueleweshwa kama kuna uhusiano wowote kati ya jogoo kuwika mapema kama saa moja, saa mbili au saa tatu usiku na mikosi na mabalaa.
Imani hii nimeikuta karibu Tanzania nzima na jogoo akiwika nyakati hizo haki yake ni kuchinjwa.
Je kuchinjwa kunaondoa balaa au mikosi hiyo ?
Kwa wataalam wa mambo ya asili kama mshana jr, Jichawi , mzizimkuu1 na wengineo naomba kueleweshwa kama kuna uhusiano wowote kati ya jogoo kuwika mapema kama saa moja, saa mbili au saa tatu usiku na mikosi na mabalaa.
Imani hii nimeikuta karibu Tanzania nzima na jogoo akiwika nyakati hizo haki yake ni kuchinjwa.
Je kuchinjwa kunaondoa balaa au mikosi hiyo ?