Ninaleta kwenu hoja hii, nimekuwa nikijiuliza je, upo uhusiano wowote kwa mtu mwenye uwezo wa kuzungumza lugha zaidi ya moja kwa ufasaha na uwezo wa kiakili, yaani kwamba anadhihirisha anauwezo mkubwa wa kiakili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.