Kiongozi wa serikali ya Canada Justin Trudeau aomba msamaha
Kiongozi wa Canada aomba msamaha kwa madhila yaliyowatokea raia miaka ya nyuma ambao walidhaniwa siyo wazalendo kama wengine.
Je hapa kwetu Tanzania tukiwa wawazi na kuwa wa kweli ili kurekebisha mambo yetu, jambo hili la kuomba msamaha kutokana na matendo ya serikali kuwaona baadhi ya waTanzania wenzetu siyo wazalendo, walifungiliwa mashtaka ya kutunga, waliporwa haki ya kuchaguliwa, biashara zao kufilisiwa kwa ufupi waliumiza.
Haya yakifanyika naamini yatakuwa ni mwanzo mzuri kuelekea kufanya mabadiliko chanya kama taifa na kuachana na maovu yaliyopita ?
David Lametti, Minister of Justice and Attorney General of Canada, reflects on the historic apology made by Prime Minister Justin Trudeau on May 27th for the internment of hundreds of Italian-Canadians.
Minister Lametti took part in TLN Media Group’s just completed special documentary “Internment [Il Confino]” commemorating the little known chapter in Canadian history that has left a deep scar on the Italian-Canadian community
Kiongozi wa Canada aomba msamaha kwa madhila yaliyowatokea raia miaka ya nyuma ambao walidhaniwa siyo wazalendo kama wengine.
Je hapa kwetu Tanzania tukiwa wawazi na kuwa wa kweli ili kurekebisha mambo yetu, jambo hili la kuomba msamaha kutokana na matendo ya serikali kuwaona baadhi ya waTanzania wenzetu siyo wazalendo, walifungiliwa mashtaka ya kutunga, waliporwa haki ya kuchaguliwa, biashara zao kufilisiwa kwa ufupi waliumiza.
Haya yakifanyika naamini yatakuwa ni mwanzo mzuri kuelekea kufanya mabadiliko chanya kama taifa na kuachana na maovu yaliyopita ?
28 May 2021
Canada's Minister of Justice & Attorney General On PM's Apology to Italian-Canadians
David Lametti, Minister of Justice and Attorney General of Canada, reflects on the historic apology made by Prime Minister Justin Trudeau on May 27th for the internment of hundreds of Italian-Canadians.
Minister Lametti took part in TLN Media Group’s just completed special documentary “Internment [Il Confino]” commemorating the little known chapter in Canadian history that has left a deep scar on the Italian-Canadian community