Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Write your reply...Faida za kutumia formula yangu ya matunda (tibalishe)

1.kukufanya uwe na uume imara

2.kukufanya uwe na uume usiosinyaa ukeni kabla ya kuingiza na baada ya kuingiza

3.kukufanya uume usimame haraka na kudumu ukiwa imara

4.kufanya uchelewe kumwaga shahawa wakat wa tendo la ndoa utachukua dk 15_25

5.kukufanya uwe na shahawa nyingi na bora

6.kukufanya uwe na shahawa zinazookimbia kwa kas wakat wa kusex

7.kukufanya urudie tendo la ndoa zaid ya mara tatu bila kuchoka

8. Hukufanya uwe na hamu ya tendo kama zaman unaweza ukasex kila siku round mbili na hamu isiishe lakin haikufanyi ikusumbue kutaka mwanamke kila mda hapana unakua kawaida kabisa kama ulivyo mpaka utakapoamsha hisia zako mwenyewe ndio hamu inakuja kwa ufupi unakua dereva wa hisia zako.

9.kuimarisha mishipa iliharibiwa na punyeto

10kuimarisha misuli ilihoharibiwa na punyeto

11.kuzibua mishipa iliyoziba kwa mafuta yanayoganda mwilin

12.kupandisha uzalishaj wahomone kurudi katika hali ya kawaida.

13.kuchochea usamabazaji wa damu kwenda sehem mbali mbali za mwili

14.kuipa afya njema mishipa ya moyo (artery na vein)

15.kuondoa hatar ya kupata shinikizo la damu

16 kuondoa hatar ya kupata ugonjwa wa moyo

17 huindoa sumu mwilin na kukufanya ujisikie mwepesi
18. Huondoa kitambi na mafuta mwilin
19. Kukufanya uwe kuona vyema

20. Kukufanya uwe na kinga imara na ya hali ya juu kupambana na magonjwa WHATS APP 0712505049 GHARAMA Y FORMULA NI ELFU 20 MALIPP KWA NAMBA 0712505049
We jamaa unahangaika sana na dawa yako hiyo..insta ndo unatapa tapa balaa, kila post ya mtu maarufu hukosi na matangazo yako ya formula.
 
Wadau,

Nimeisoma kwa umakini mkubwa sana thread ya mdau mmoja aliyekata shauri na kuamua kwenda kupima HIV!

Kiukweli kabisa toka katika uvungu wa moyo wangu nampongeza sana na Mwenyezi Mungu amuokoe huyu ndugu! Lakini kati ya wachangiaji waliosimama kidedea kuchangia thread hii, mchangiaji mmoja nimemnukuu akisema, "hukujua kuwa kupata UKIMWI ni kazi ngumu sana.."

Na kwa bahati mbaya alipoombwa kutoa elimu na uzoefu wake na baadhi ya wadau, hakuonekana tena! Usemi huu umeibua tafakari na tafakuri nyingi katika halmashauri yangu ya kichwa, nikirejea na siku za mgongoni nikiwa darasani mwalimu pia aliwahi kusema maneno sawia na ya mchangiaji wa leo na toka ya hapo, swali hili limetoka katika tawala za kichwa changu kwamba, "Je, inawezekana mtu akalala (siyo kulala huku kwa kawaida, tafsida imezingatiwa) na mtu mwenye UKIMWI tena bila condom na asipate UKIMWI?".

Nisaidieni wadau.

Nawasilisha.

======
Kwa mwanaume inawezekana kama hatakuwa na michubuko na pia watatumia vilainishi au mwanamke ataandaliwa vya kutosha na kulainika ika kwa mwanamke ni ngumu sababu ya maumbile yake.
 
Mkuu,hapa inamaanisha fluids si kitu for AIDS career?
.
Screenshot_2018-10-19-18-19-09.jpeg
 
Mkuu,vipi kuhusu mbadilishano wa manii,maana si wote mtafika kileleni kwa maana ya wote kutoa semen
Mwalimu wako wa Biology alikoseaje katika hili? Mwanaume pekee hutoa semen, labda Kama huongelei ngono ya mwanamke na mwanaume
 
HIV ni retrovirus.Retrovirus huyu amebambikiziwa jina hili la HIV ili aonekane ana sifa za kusababisha AIDS kitu ambacho si kweli.HIV is a political and commercial/business name,watu wawili tu wamekaa na kuamua apewe jina hilo bila hata single scientific proof/paper published kuthibitisha ukweli huo.Hakuna ugonjwa unaoitwa AIDS unaosababishwa na HIV.Najua hili ni jambo geni kwa wengi,ila ndio ukweli.

Nakaribisha mtu yeyote mwenye mashaka au anayepinga hili na hasa madaktari ndio target yangu maana wao wamelishwa sumu hii wakiwa masomoni.HIV free generation ni ile tu inayojua ukweli ulivyo.

Na ndio maana contradictions haziishi kuhusu ugonjwa huu feki.Karibuni kwenye mjadala ambao utakuondoa kwenye utumwa wa kifikra.
KONGOLE KAMANDA ....HATA KAMA NI YA SIKU NYINGI!
 
Inawezekana japo nafasi ya kutokupata inakuwa ni ndogo sana, kwanza kutokuandaana vya kutosha na kinachofanya nafasi ya kutokupata maambukizi iwe ndogo zaidi ni namna tunavyofanya mapenzi, unaweza kumkuta mwanaume ametoka kukutana na mtu na anajisifia kabisa jinsi alivyomsugua (utafikiri ni kukomoana) sasa hapo ndiyo risk ya maambukizi inakuwa kubwa!!!
 
Yess kupata ukimwi ni kazi ngumu sana, sio kama tunavyofikiri, hata condom yenyewe inazuia ukimwi kwa 64% tu. Na si kwamba wadudu wa HIV hawapiti kwenye condom, yaan inamatundu makubwa tundu moja linapitisha hata wadudu hamsini kwa maramoja. Condom inakukinga usipate friction tu ili pasiwepo mchubuko.so mdudu akigusa ngozi isiyo na mchubuko hana madhara. Kwa mwanau.e kupata ukimwi ni ngumu sana ila kwa mwanamke I cant asure you, wale kila tendo lazima achubuke. Mwandae vizuri mpenzi wako, piga show kawaida tu sio masaa sita
 
Ndio maana nikasema jambo hili ni pana sana na nina mambo mengi sana kuelezea watu.Ukweli ni kwamba,Zuma ni muongo kupindukia,aliongea hivyo ili kurudisha imani ya watu ambayo imeshapotea kuhusiana na ugonjwa huu.Thabo Mbeki alishawafunua wananchi wake kuhusu ukweli wa ugonjwa huu kwamba ni feki na aliwaambia kwamba yeye haamini kama unasababishwa na HIV na akawapa sababu,hivyo watu wengi walimuelewa na takwimu za matumizi ya ARVs zilishuka sana na watu wa SA hadi leo hawaogopi kabisa ukimwi kwa kuwa wameshaelimika na wanajua kwamba ni feki,bado sisi vichwa ngumu kuelewa.Na hii ndio sababuiliyomfanya Thabo Mbeki apigwe chini kabla ya kumaliza muda wake wa uongozi na kumweka Zuma ili arudishe hali nzuri ya soko la ARVs.



Kabla ya kutoa uthibitisho wangu,ninyi wenyewe wana JF mnatoa uthibitisho.Hakuna chanjo ya ukimwi.Hata mimi naweza kutembea na mtu anayetumia ARVs bila kinga mara nyingi na naweza pia kujikata na kujiwekea damu ya mtu huyo na siwezi kupata ukimwi/VVU.By nature,ugonjwa huu haupo,ila jamaa wametumia akili nyingi tu kudanganya watu,wametumia uongo wa kisayansi ili watu waamini kama kweli ugonjwa huu wa HIV/AIDS upo kitu ambacho si kweli.Watu wanajua kwamba AIDS inasababishwa na HIV hivyo mtu hupewa ARVs,kumbe ARVs baada ya muda fulani ndio husababisha AIDS,hili watu wamefumbwa,hawalijui.Na kama mtu yeyote anaumwa na hatumii ARVs basi lazima atakuwa na tatizo la msingi linamsumbua na akipewa dawa husika anapona kabisa na haitajia kula ARVs maisha yake yote hata kama ameonekana ana HIV,kwa kuwa nilishasema mwanzo kwamba HIV hana madhara na zaidi ya hapo vipimo hivi ni feki na nitaeleza kwa nini ni feki baadaye.



HIV/AIDS ni feki kwa kuwa AIDS haisababishwi na HIV na HIV hana uwezo wa kusababisha AIDS na ndio maana kuna mikanganyiko mingi sana sasa,mara watu hukwambia "ni vigumu sana kupata HIV kwa kufanya ngono",ukweli ni kwamba HIV haambukizwi kwa njia ya ngono.Wengine husema "kuna watu wana HIV lakini hawadhuriki" watu hawa huitwa carrier,huu ni uongo pia,kila mtu hawezi kudhurika na HIV,hata wewe pia.Walichofanya hawa jamaa wamefanya utafiti ni contradiction gani inajitokeza kwenye uongo huu waliotulisha halafu wakatafutia majibu yake ili kuendelea kuwapa watu imani kwamba kweli VVU/Ukimwi upo na unaua ilihali kinachoua ni ARVs.
Vipimo vyake ni feki kwa sababu havipimi HIV mwenyewe kwa muonekano kama ilivyo kwenye baadhi ya magonjwa kama vile malaria,TB au Typhoid.Walikataa kutuia electronic microscope kwa kuwa wenyewe wanajua kwamba HIV ni feki,haonekani.Na ndio maana hadi leo hii muulize daktari yeyote ambaye unamwamini wewe ni kichwa kama kashawahi kumuona HIV hata kwa kutumia vyombo vyao katika maisha yake yote ya udaktari,atakwambia hajawahi kumwona,sasa kama hajawahi then nini tunachokiamini basi?Ile picha ya HIV kwenye vitabu vyao waliipata wapi?Vipimo hivi hupima kinga ya mwili dhidi ya protini fulani ambazo zinaaminika zinatoka kwa HIV lakini sio specific kwa HIV pekee,kuna mambo mengine ndani ya mwili huweza kuzalisha protini hizo na mtu akaonekana ana HIV kwa kutumia vipimo hivi(kumbuka bado kwamba HIV hasababishi ukimwi).Mojawapo ya mambo hayo ni magonjwa mbalimbali kama vile TB,hali ya mimba kwa wanawake pia husababisha kuzalishwa/kutolewa kwa protini hizo.Haya ninayoongea kamwambie daktari yeyote yule mwelewa hatapinga.



Mkuu mangatara,maneno yako yanaendelea kuthibitisha mkanganyiko nilioueleza hapo juu.Imebaki imani tu kwenye ugonjwa huu kama zilivyo imani nyingine,lakini uhalisia haupo hapo.Tatizo hapa linakuja kwa sababu maneno haya kwamba ukimwi ni hatari yamerudiwa mara nyingi sana kwenye vichwa vya watu na hatimaye yakageuka kuwa imani ambayo imechanganyika na woga.Na hili ndio lengo lao,yaani uogope.Lakini hamna sayansi hapa kwenye ugonjwa huu.Sayansi ya kweli inapingana na kila nyanja ya ugonjwa huu feki.Hakuna kirusi kilichotengenezwa maabara hapa,hizi ni propaganda ili kukuaminisha kwamba kweli kirusi kinachosababisha ukimwi kipo wakati ukweli ni kwamba hakipo.

Maneno haya sikusema mimi,bali nimejifunza kutoka kwa madaktari wazoefu duniani wenye akili zao timamu na wengine wana nobel prizes kwa kugundua vitu mbalimbali na wamefanya tafiti za kutosha kuhusu jambo hili,hivyo jambo hili si la kubeza,ni ukweli mtupu,lakini kitu kipya kinapoingia kwenye bongo za watu huwa ni vigumu sana kupokewa na ubongo.Mimi mwenyewe nimefanya tafiti zangu binafsi kuthibitisha wanachosema madaktari hawa na nimegundua kwamba wanachosema ni kweli kwa 100%.Nina evidence za respects zote.Thabo Mbeki sio chizi,ana akili zake timamu alipopinga suala hili,hivi watu hawastuki bado?Museveni naye analijua hili,yaani raia wengi wa nchi za Afrika wamefanywa kama ng'ombe na viongozi wao.Ni viongozi werevu na wenye huruma tu na wananchi wao ndio wamethubutu kusema ukweli huu,na hao pia wamewekewa vikwazo kwa kugusa maslahi ya watu wakubwa.Hebu tuamke ndugu zangu.Kama huelewi au huamini ninachosema basi fanya tafiti mwenyewe na nina uhakika utarudi tena hapa kuni PM.Na ndio maana kapeni nyingi za mambo haya ziko Afrika zaidi kwa kuwa ndiko kuna soko kubwa na wateja wake hawana akili za kuhoji,wanajikusanyia tu mapato.Inatia huruma na hasira sana.HIV/AIDS ni biashara ya ARVs tu na si vinginevyo.

Kwa kuanzia fuatilieni link hapo chini mumsikilize Dr(sasa hivi ni Prof) Peter Duesberg;Huyu mzee hakuna wa kumfananisha naye kwenye field hii ya virusi duniani,na amepata hasara kubwa sana baada ya kusema maneno haya kwenye public.Alishindwa kuvumilia kuona watu wanakufa bila hatia.



Mkuu Leo umenipa somo jipya,lakini kwa nini mkuu wanaoambiwa wamegundulika kuwa na HIV wasipotumia ARVs huwahi mapema kudhoofu na kufariki kuliko wanaotumia ARVs?
 
This is not quite practical. HIV both I&II finds a home in hosts WBC.

Je unajua baada ya virus kuingia ndani ya mwili wa binadamu. At very first stage within 72 hours ni kuishi kwenye lymphatic nodes?

Hapo ndipo PEP hufanya kazi za kuzuia HIV kwenda kwenye WBC. Mwisho wa siku virus wankufa na kuwa dormant kabisa.

Tambua na ijulikane. Virus wa ukimwi amekuwa laboratory engineered to live and produce replica in white blood cell..
 
Back
Top Bottom