Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,470
Wana MMU Eeeeeeeeeeeeeeehhhhhh.
Ebu tujuzane jamaa yangu kalala na binti, binti alikua bikra siku ya tukio kinga ilitumia,,kinga yote ilitapakaa damu..Leo binti kapima kwa vipimo vile vya kawaida kaambiwa hana mimba, kapigwa picha kaambia anayo ina kama wiki 10 ila hawana uhakika na picha kaambiwa aende tena baada ya wiki 1, Je hii inawwezekana pamoja na kinga kutumika?????anataka amshauri binti wa watu aitoe..
Weka maoini yako hapa....Je yote hayo yanawezekana?
Ebu tujuzane jamaa yangu kalala na binti, binti alikua bikra siku ya tukio kinga ilitumia,,kinga yote ilitapakaa damu..Leo binti kapima kwa vipimo vile vya kawaida kaambiwa hana mimba, kapigwa picha kaambia anayo ina kama wiki 10 ila hawana uhakika na picha kaambiwa aende tena baada ya wiki 1, Je hii inawwezekana pamoja na kinga kutumika?????anataka amshauri binti wa watu aitoe..
Weka maoini yako hapa....Je yote hayo yanawezekana?