Je Inakuaje, na Kinga lakini mtu kapata Mimba.

Je Inakuaje, na Kinga lakini mtu kapata Mimba.

Mr. Wise

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2012
Posts
7,733
Reaction score
6,470
Wana MMU Eeeeeeeeeeeeeeehhhhhh.
Ebu tujuzane jamaa yangu kalala na binti, binti alikua bikra siku ya tukio kinga ilitumia,,kinga yote ilitapakaa damu..Leo binti kapima kwa vipimo vile vya kawaida kaambiwa hana mimba, kapigwa picha kaambia anayo ina kama wiki 10 ila hawana uhakika na picha kaambiwa aende tena baada ya wiki 1, Je hii inawwezekana pamoja na kinga kutumika?????anataka amshauri binti wa watu aitoe..
Weka maoini yako hapa....Je yote hayo yanawezekana?
 
inawezekana kabisa........dawa ya penzi siku hizi ina chekecheke.....kama inachuja nafaka vile...........
Duh, na mpango wao wa kuitoa wataweza???
 
Wana MMU Eeeeeeeeeeeeeeehhhhhh.
Ebu tujuzane jamaa yangu kalala na binti, binti alikua bikra siku ya tukio kinga ilitumia,,kinga yote ilitapakaa damu..Leo binti kapima kwa vipimo vile vya kawaida kaambiwa hana mimba, kapigwa picha kaambia anayo ina kama wiki 10 ila hawana uhakika na picha aende tena baada ya wiki 1, Je hii inawwezekana pamoja na kinga kutumika?????anataka amshauri binti wa watu aitoe..
Weka maoini yako hapa....Je yote hayo yanawezekana?
Inategemea na quality ya condomu au ilipasuka!
 
Penye utamu hivyo vidude vinatimka hata usain bolt hafui dafu.
 
Anatoaje bikra na condom...hilo ni kosa la jinai.

Pili unless ulikuwa naye huko ndani dont be sure hayo ya condom na kwamba haikupasuka n all that sh*t...he is just covering his tracks n tryng to avoid majukumu.

Tatu maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge...alee mimba hiyo.
 
Anatoaje bikra na condom...hilo ni kosa la jinai.

Pili unless ulikuwa naye huko ndani dont be sure hayo ya condom na kwamba haikupasuka n all that sh*t...he is just covering his tracks n tryng to avoid majukumu.

Tatu maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge...alee mimba hiyo.
Aaaaaaahhh uyo binti sasa, Ye ana tatizo!!!wazazi wamekodoa macho anajiandaa kwenda chuo...wataua mtu
 
Yaani katoa bikra huku kavaa condom?? Mmmh... Ngeni kwangu hii..!

Raha ya ile kitu bwana uikong'oli bila condom..!
 
Yaani katoa bikra huku kavaa condom?? Mmmh... Ngeni kwangu hii..!

Raha ya ile kitu bwana uikong'oli bila condom..!

Mcng you dada mzuri...inaelekea unauzoefu ntaomba msaada

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Wana MMU Eeeeeeeeeeeeeeehhhhhh.
Ebu tujuzane jamaa yangu kalala na binti, binti alikua bikra siku ya tukio kinga ilitumia,,kinga yote ilitapakaa damu..Leo binti kapima kwa vipimo vile vya kawaida kaambiwa hana mimba, kapigwa picha kaambia anayo ina kama wiki 10 ila hawana uhakika na picha kaambiwa aende tena baada ya wiki 1, Je hii inawwezekana pamoja na kinga kutumika?????anataka amshauri binti wa watu aitoe..
Weka maoini yako hapa....Je yote hayo yanawezekana?

binti akiitoa hiyo mimba atakuwa amempoteza mtoto wake halisi wa kwanza. mara nyingi watoto wakwanza halisi kwa mama wanakuwaga na baraka nyingi including busara,hekima, akili na uwezo wa kuongoza wadogo zao. bora azae tu.
 
Ishu sio kutumia condom ukashangaa mimba....hapo ndo utapata ukweli kama uko peke yako au vp inawezekana we unajali lakini mwana mtandao mwenzako hajui hayo ye anakamua dry so hilo sio la kushangaza hapo umeingizwa town kaka subiria mtoto utapata jibu kamili...kika la kheri baba mtarajiwa NB: hata baba wa kambo ni baba eeh!
 
kwa mfano upo porini, ukawa unafukuzwa na chui, gafla ukaskia mlio wa bunduki, kugeuka nyuma unakuta chui kafa,,,, unahisi utakuwa wewe ndo ulomuua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom