Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 572
- 1,249
Nimemsikiliza huyu first lady wa sierra Leone na kumfuatilia kwa ukaribu kwa kweli Africa bado tuna vichwa nadhani kwa upande wangu ni first lady bora kabisa .
Ukimsikiliza unaona kabisa ana uwezo wa kumshauri Rais .
Ukimsikiliza unaona kabisa ana uwezo wa kumshauri Rais .