Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
- Thread starter
- #101
Nahis hivo ila nitaishije Mimi iwapo itatokea hivo
HAKIKA SITAISAHAU JF
kwan nilimpatia humu
HAKIKA SITAISAHAU JF
kwan nilimpatia humu
Kumbe ni mwana jf tuanze kufanya research sasa tutaipata tu
Teh teh..Haya mpendwa..Ukihitaji msaada utanishtuaLikishindwa si nachukua jingine jamani mpendwa hilo nalo ni la kuwaza?
Kuna jamaa yangu alifanyiwa kitu kama hicho na demu wake.Hali hiyo hutokea wakati unaenda kugegeda unakuta tayari ashaweka dawa kwenye papuchi kwahiyo mpaka yeye apende kukutoa hali hiyo.
Maana siku ya kutolewa hali hiyo jamaa alisema Dem alipaka dawa kwenye papuchi halafu ndo akampa mchezo. Baada ya hapo akaenda kuchepuka ikafanya kazi na kwingine kama kawaida.
Wa tiptop jana ulivyoshndwa kumtia ulimpa 15000 je ungemtia ungempa ngapi?
Naomba namba zake....
Teh teh..Haya mpendwa..Ukihitaji msaada utanishtua
Teh Teh najua kila mwanamke ana wish mwanaume wake angekuwa hivyo...
Mmh sipend kuzitoa hapa jukwaan isitoshe nilimpatia humu humu jf
Teh teh..Mpendwa kwanza ahadi yetu ya maombi bado haijatimia..Nashangaa unanizungushaKama kawaida huachagi fursa ikupite mpendwa ha ha ha
sasa kama yuko hupa jf akiona hii thread ndio ataiongeza nguvu zaid maana anajua kumbe inafanya kaz! kaz kwako
Jaman huyo kakufunga tiyal mkuu ila kaa nae ujalibu zungumza nae uone atasemaje yy binafsi