Je, huyu mwanamke ameniroga?

Je, huyu mwanamke ameniroga?

Tukupe msaada ili uchepuke dogo? Kama na yeye hachepuki ni bora anakuokoa na Magonjwa kibao , Au Mwambie akufungue dogo... oh by the way, baadhi ya wanawake wa Kinyiramba na kinyaturu wanapenda sana miziziology.
 
Tukupe msaada ili uchepuke dogo? Kama na yeye hachepuki ni bora anakuokoa na Magonjwa kibao , Au Mwambie akufungue dogo... oh by the way, baadhi ya wanawake wa Kinyiramba na kinyaturu wanapenda sana miziziology.

Dah yeye hachepuki nuda mwingi anashinda geto ....shida kwangu

Nasikia wanapenda miziziology
 
Nitatia aibu tu

Hahaha i wish
But i dont do hizo sp
Nilikua nachangamsha jukwaa
Ila inaelekea watu wanafaidi hayo madushe mpaka anakuendea kwa mtaalam?
What so special?kwende ndude hzo?
Au UNA ELA?
 
Hahahaaaa evelyn anataka apate dawa amfanyie hivohivo jamaa yake dyudyu lisisimame akichepuka,noma.
 
Huo mchezo upo sana.,hasa kwa wanawake wa makabila flan...,Nenda taratibu Aroon.,na ukithubutu kumuacha jongoo hatapanda mtungi milele..,be careful nae huyo mdada
 
Nimemuonyesha wife post yako, Na yeye anaomba namba za huyo jimama wako.
 
Si umuulize kwanini nikichepuka haisimami?
 
Hahaha i wish
But i dont do hizo sp
Nilikua nachangamsha jukwaa
Ila inaelekea watu wanafaidi hayo madushe mpaka anakuendea kwa mtaalam?
What so special?kwende ndude hzo?
Au UNA ELA?

Hapana asilimia kubwa yy ananilisha kwan bado nipo chuo
 
Huo mchezo upo sana.,hasa kwa wanawake wa makabila flan...,Nenda taratibu Aroon.,na ukithubutu kumuacha jongoo hatapanda mtungi milele..,be careful nae huyo mdada

Nahis hivo ila nitaishije Mimi iwapo itatokea hivo

HAKIKA SITAISAHAU JF

kwan nilimpatia humu
 
Akifa itakuwaje..nadhani itakuwa ndo mwisho wako wa ku_do...hebu jaribu na nyeto tuone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom