maonomakuu
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 2,516
- 1,198
Nchi inaenda tu kwa one man show, Bunge halionyeshwi maana wako bize na one man show. Haya yanafanyika kwa sababu ya kisiasa kaka Pasco wala siyo mapenzi ya dhati kutoka mioyoni.Tusubiri it is matter of time wataelewa kuwa wanafanya Comedy