FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Haya ni mazungumzo ya simu baina ya anaedaiwa kuwa ni Godbless Lema na Ole Sabaya, Je, hizi sauti ni authentic?
Kama ni za kweli, aisee tija ipo...Potezea.
Hazina tija yoyte
Huo sio ukristoSabaya chali jiwe chali in nabii lema prophet
KILA mtu uvuna apandachoHuo sio ukristo
Akosaye husamehewaKILA mtu uvuna apandacho
Ndio mimi nimehisi hivyo, huyo Sabaya alikuwa kwenye bata la Arusha alilosema @official_nai kwamba atalimiss?Mbona mmoja anaongea Kama alikua amelewa
Haya ni mazungumzo ya simu baina ya anaedaiwa kuwa ni Godbless Lema na Ole Sabaya, Je, hizi sauti ni authentic?
Hizo lema katengeneza ,ndio wale wale waliokunywa uji wa mgonjwaHaya ni mazungumzo ya simu baina ya anaedaiwa kuwa ni Godbless Lema na Ole Sabaya, Je, hizi sauti ni authentic?
Ukristo ni kuuwa wenzio na kusisitiza uombeweHuo sio ukristo
Haya ni mazungumzo ya simu baina ya anaedaiwa kuwa ni Godbless Lema na Ole Sabaya, Je, hizi sauti ni authentic?
Utavuna ulichopanda mkuu .Akosaye husamehewa
Kwamba kuwa usalama ni kuwa juu ya sheria?Kuna tetesi Sabaya ni usalama na ataachiwa