babe S
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 3,879
- 20,855
Habari zenu, nimekuwa nikipita hapa kama guest for long nimepata jambo linalonitatiza nikaona nililete hapa:
In short mimi ni mschana mwenye miaka 25 mpaka kufkia umri huu nimepitia mahusiano mengi ya kuumiza na kufurahisha ila sijawah kupata Mtu aliye ready Kuwa kwenye mahusiano bila sex nilidhan labda nikipata Mtu aliye tiar kunioa atakuwa tayari kusubiri hadi baada ya ndoa nimesubiri invain, nimepata kijana he says he wants to marry me ila naye anataka, imenfikisha mahali pa kuuliza je inaweza kana kupata uhusiano aw bila sex? Au ni give up?
In short mimi ni mschana mwenye miaka 25 mpaka kufkia umri huu nimepitia mahusiano mengi ya kuumiza na kufurahisha ila sijawah kupata Mtu aliye ready Kuwa kwenye mahusiano bila sex nilidhan labda nikipata Mtu aliye tiar kunioa atakuwa tayari kusubiri hadi baada ya ndoa nimesubiri invain, nimepata kijana he says he wants to marry me ila naye anataka, imenfikisha mahali pa kuuliza je inaweza kana kupata uhusiano aw bila sex? Au ni give up?