Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,359
- Thread starter
-
- #541
Wah mbona sijaonaga eti hiyo post nilikuwa wapiMmmh kuna kapumbavu humu kalishatoa list ya watu kaliowakula na kuna day kaliweka picha hapana asee this place...mnaoweza mpewe tuzo na mizinga 21
Unique itakua ulikua mitipwili unalima maharageWah mbona sijaonaga eti hiyo post nilikuwa wapi
Eroni, wapo mbona wengi tu humu. Mimi mwenyewe nilijichanganya sitokaa nikarudia yasije yakanikuta na mimi. Kiufupi humu kuna watu bado hawajielewi.Wanaume hatuna hizo, kwamba Me akuweke then aanze kutangaza nimemuweka Evelyn, haipo hiyo...tunaochukua risk ni sisi vidume, coz we know nyie watu hamna makoromeo.
Acha utani wako ilikuwa lini mwana nipe post alivyoandika basi tuoneUnique itakua ulikua mitipwili unalima maharage
Ya zamani wait nitakuja pm kukupa umbea, sio sahivi lakini ......na usinisumbue kuuliza niache kwanza ninywe biaAcha utani wako ilikuwa lini mwana nipe post alivyoandika basi tuone
Mmmh, hii kali sasa. Mwamba mkawekana akaanza kutangaza kwa watu kuwa nilimuweka Kelsea kweli? Bado siamini, najua wadada mkiumizwa huwa mnakuwa wadhaifu hadi kuanza kusema ovyo, ila sio vidume.Eroni, wapo mbona wengi tu humu. Mimi mwenyewe nilijichanganya sitokaa nikarudia yasije yakanikuta na mimi. Kiufupi humu kuna watu bado hawajielewi.
Hahah, kweli hako ni kapumbavu, haisaidii wala kuongeza urijali kuanza kusema fulani na fulani tulikuwa tunawekana.Mmmh kuna kapumbavu humu kalishatoa list ya watu kaliowakula na kuna day kaliweka picha hapana asee this place...mnaoweza mpewe tuzo na mizinga 21
Mmmh, hii kali sasa. Mwamba mkawekana akaanza kutangaza kwa watu kuwa nilimuweka Kelsea kweli? Bado siamini, najua wadada mkiumizwa huwa mnakuwa wadhaifu hadi kuanza kusema ovyo, ila sio vidume.
Acha uoga mwamba [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Haya bana katika kosa sitakaa kuthutubu hadi pumzi yangu ya mwisho ni kulana na mtu jf, coz najua tu kuna siku mbususu yangu itakua mada....sipo tayari kwa hilo [emoji23][emoji23]
Ni kitambo kidogo, kuna jamaa mmoja alichafua hali ya hewa mbaya zaidi akaanika hadi picha chafu.Wah mbona sijaonaga eti hiyo post nilikuwa wapi
🤣🤣🤣🤣 You see!!! Yani kisimmi cha mwamba kiwe topic??? HapanaNi kitambo kidogo, kuna jamaa mmoja alichafua hali ya hewa mbaya zaidi akaanika hadi picha chafu.
Mhusika alitoweka jf hatujawahi muona tena
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka mwaka 2016 kuna mdau mmoja wa JF nilikuwa napenda sana uchangiaji wake kiasi cha kumfuata privately. Tukawa tunachat dhamira ikiwa ni kuja kutongozana hii yote kwa taswira tu niliomjengea kichwani mwangu kama pisikali fulani maana hatukuwa tumeshea picha. Ila kwa story zake alikuwa ni corporate lady umri wa makamo. Na michango yake yote ilikuwa anatoa kama binti.
Siku moja kulikuwa na tafrija Bank ya Diamond Trust wateja walialikwa tawi la Masaki. Kuna msela tulikuwa sehemu moja tunapiga stori kama wawakilishi wa kampuni zetu za ajira. Ikiwa tunachezea simu zetu huku tukiongea ghafla akanionyesha article JF huku akisema subiri a log in ili acomment. Si ndio kuona yule demu wangu wa inbox ndio msela kupitia log in details maana hakuficha.
Sikusema chochote ila baada ya hapo nilimblock kabisa. ID yake nikiangalia sasa hivi ilikuwa active mara ya mwisho 2018.
Nimetaja jina la eneo tulikokutana ili mwamba kama yupo humu kwa ID nyingine ajue kuwa nilimshtukia kuwa ni dume na hata mpaka leo sijui alikuwa na nia gani. Maana wasifu wake wa kazi aliotumia nikiwa na chat nae unashabihiana na ule wa uhalisia katika udume wake na hili nilijua tulipokuwa tunapiga story bank.
Toka siku hiyo nachukulia ma member wote humu kuwa ni madume kama mimi tu.
Uongoo wadada warembo wapo[emoji23][emoji23][emoji23]
Jeiefu wote madume kaka amini nakwambia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haujamove on na maisha?waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.
Leo ,lini??Haujamove on na maisha?
Why bado unamkumbuka?
KiujumlaLeo ,lini??
Simkumbuki mtu nakumbuka tu Leo ni ijumanneKiujumla
Masharti gani?Kumbukumbu huku tulipendwa sana ila masharti nilishindwa ila kweli nilimpenda alinipenda kweli