Je, hili limewahi kukutokea?

Wanaume hatuna hizo, kwamba Me akuweke then aanze kutangaza nimemuweka Evelyn, haipo hiyo...tunaochukua risk ni sisi vidume, coz we know nyie watu hamna makoromeo.
Eroni, wapo mbona wengi tu humu. Mimi mwenyewe nilijichanganya sitokaa nikarudia yasije yakanikuta na mimi. Kiufupi humu kuna watu bado hawajielewi.
 
Eroni, wapo mbona wengi tu humu. Mimi mwenyewe nilijichanganya sitokaa nikarudia yasije yakanikuta na mimi. Kiufupi humu kuna watu bado hawajielewi.
Mmmh, hii kali sasa. Mwamba mkawekana akaanza kutangaza kwa watu kuwa nilimuweka Kelsea kweli? Bado siamini, najua wadada mkiumizwa huwa mnakuwa wadhaifu hadi kuanza kusema ovyo, ila sio vidume.
 
Mmmh, hii kali sasa. Mwamba mkawekana akaanza kutangaza kwa watu kuwa nilimuweka Kelsea kweli? Bado siamini, najua wadada mkiumizwa huwa mnakuwa wadhaifu hadi kuanza kusema ovyo, ila sio vidume.

Kwa wadada si kawaida yaan mtu anikule nije nianze kumnanga humu ila hii tabia wanaume wasiojielewa mara nyingi ndio wanayo. Labda upate bahati mtu anaejielewa vinginevyo jiandae kwa lolote.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Jeiefu wote madume kaka amini nakwambia

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…