Je, hiki ni kiama cha ATM machine?

frado

Member
Nov 26, 2020
8
23
Unaweza usiamini hiki ninachoenda kukiandika lakini nina asilimia 1000 hili jambo litatokea katika ulimwengu huu wa kidigitali.

Nina uhakika kwa nchi kama Marekani na China ATM MACHINE hazitakuwa na matumizi tena miaka 5 tu ijayo.

Ni wazi kuwa Marekani na china wanajaribu kutoka katika ulimwengu wa pesa za makaratasi na kuingia katika pesa za kidigitali na tayari china imeshaanza majaribio ya pesa yake ya kidigitali inayojulikana kama DIGITAL YUAN katika miji zaidi ya minne.

Marekani pia kupitia mwenyekiti wa FED (Federal reserve ) ambao ni wasimamizi wa shughuli za fedha katika serikali ya Marekani ,Mr Jerome Powell aliweka wazi kuhusu ujio wa DIGITAL DOLLAR ambayo wanategemea kuizindua rasmi kabla ya China haijafanya hivyo na hivyo nategemea uwepo wa digital dollar kuanza kutumika mwaka 2021 ili kuwawahi china ambao wanategemea kufikia 2022 Digital yuan ianze kutumika katika mashindano ya #Olympic2022

uwepo wa digitalised fiat utapelekea watu wengi kuanza kufanya miamala yao ya kununua na kuuza bila cash yaani pesa ya makaratasi ambapo withdraws nyingi za cash hufanyika katika ATM MASHINES

Hii imeshaanza kufanyika china ambapo wananchi wanatakiwa kupakua app za #wechatpay na #alipay ili kuweza kutumia digital yuan,hivyo hivyo nchini Marekani ni wazi kuwa watu wote watatakiwa kufungua account kupitia app ya FED na kufungua account zinazoitwa FED ACCOUNTS ambazo zitatumika katika manunuzi yote kufikia 2021#BakihapaNIKUJUZEEMENGI
 
Kwa nchi zinazoendelea sawa. Ila Kwa nchi yetu bado sana. Ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano tu bado. Ofisi, idara na mashirika mengi ya serikali bado zinafanya mambo yake manually.
 
Kwa nchi zinazoendelea sawa. Ila Kwa nchi yetu bado sana. Ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano tu bado. Ofisi, idara na mashirika mengi ya serikali bado zinafanya mambo yake manually.
Mkuu mbona kama tayari tushafikia huko?Kama tuneweza kuungansha mfumo wa benki na mfumo wa simu kilichobaki na kupunguza au kuondoa transactional charges then inakuwa tayari kutumika kama Digital currency.Kisha wakati ukifika tunaweza kufanya maboresho zaidi.Ni muhimu sana kufanya hivi
 
Mkuu mbona kama tayari tushafikia huko?Kama tuneweza kuungansha mfumo wa benki na mfumo wa simu kilichobaki na kupunguza au kuondoa transactional charges then inakuwa tayari kutumika kama Digital currency.Kisha wakati ukifika tunaweza kufanya maboresho zaidi.Ni muhimu sana kufanya hivi
Upo sahihi asilimia kubwa ya watumiaji wa mifumo unayoongelea ni wasomi, watu wa mjini na kizazi kipya. Watanzania wengi waliopo kijijini hata akaunti ya benki hawajawahi kufungua.
 
Mtoa maada anamaanisha cash less.. Yaan upate huduma zote bila kutumia cash.. ..huku bado baadhi ya huduma chache na maeneo machache unaweza Fanya cashless lakini majority nchi yetu wanatumia cash......tutafika tu ndio Dunia inakoelekea
 
Mbona China tayari unaweza kuendesha maisha yako mwaka mzima bila kushika cash mkononi na unanunua chochote unachotaka?

Au sijaelewa mada?
 
Yes Dunia inaenda kasi sana na hii inaweza kuja kuondoa mtaani ajira nyingi sana.
Alisema JackMal
 
Na hii no project ya Dunia nzima, hata Ulaya wako kwenye huo mpango, euro wana develop, Uingereza ana develop, nchi kama Japan, Russia zote wako chimbo.
 
Yaani nchi zote ambazo bajeti ya kuendesha nchi asilimia kubwa tu zinategemea wafadhili na zina kopakopa na madeni kibao zitalazimishwa kuingia humo zitake zisitake na curreny itakuwa moja dunia nzima. Digital currency. Naona mmeanza kuelewa sasa. Hizi mada zipo humu JF watu wamebisha sana. Na utawala utakuwa mmoja dunia nzima. Hiyo ni indicator tu.
 
Yaani nchi zote ambazo bajeti ya kuendesha nchi asilimia kubwa tu zinategemea wafadhili na zina kopakopa na madeni kibao zitalazimishwa kuingia humo zitake zisitake na curreny itakuwa moja dunia nzima. Digital currency. Naona mmeanza kuelewa sasa. Hizi mada zipo humu jf watu wamebisha sana. Na utawala utakuwa mmoja dunia nzima. Hiyo no indicator tu.
Kama nakuelewa vileeee
 
Watu wa NWO conspiracies.

Yaani nchi zote ambazo bajeti ya kuendesha nchi asilimia kubwa tu zinategemea wafadhili na zina kopakopa na madeni kibao zitalazimishwa kuingia humo zitake zisitake na curreny itakuwa moja dunia nzima. Digital currency. Naona mmeanza kuelewa sasa. Hizi mada zipo humu jf watu wamebisha sana. Na utawala utakuwa mmoja dunia nzima. Hiyo no indicator tu.
 
Unaweza usiamini hiki ninachoenda kukiandika lakini nina asilimia 1000 hili jambo litatokea katika ulimwengu huu wa kidigitali.

Nina uhakika kwa nchi kama Marekani na China ATM MACHINE hazitakuwa na matumizi tena miaka 5 tu ijayo.

Ni wazi kuwa Marekani na china wanajaribu kutoka katika ulimwengu wa pesa za makaratasi na kuingia katika pesa za kidigitali na tayari china imeshaanza majaribio ya pesa yake ya kidigitali inayojulikana kama DIGITAL YUAN katika miji zaidi ya minne.

Marekani pia kupitia mwenyekiti wa FED (Federal reserve ) ambao ni wasimamizi wa shughuli za fedha katika serikali ya Marekani ,Mr Jerome Powell aliweka wazi kuhusu ujio wa DIGITAL DOLLAR ambayo wanategemea kuizindua rasmi kabla ya China haijafanya hivyo na hivyo nategemea uwepo wa digital dollar kuanza kutumika mwaka 2021 ili kuwawahi china ambao wanategemea kufikia 2022 Digital yuan ianze kutumika katika mashindano ya #Olympic2022

uwepo wa digitalised fiat utapelekea watu wengi kuanza kufanya miamala yao ya kununua na kuuza bila cash yaani pesa ya makaratasi ambapo withdraws nyingi za cash hufanyika katika ATM MASHINES

Hii imeshaanza kufanyika china ambapo wananchi wanatakiwa kupakua app za #wechatpay na #alipay ili kuweza kutumia digital yuan,hivyo hivyo nchini Marekani ni wazi kuwa watu wote watatakiwa kufungua account kupitia app ya FED na kufungua account zinazoitwa FED ACCOUNTS ambazo zitatumika katika manunuzi yote kufikia 2021#BakihapaNIKUJUZEEMENGI
Huku kwetu internet ikizimwa tena si tutakufa njaa...
 
Mkuu mbona kama tayari tushafikia huko?Kama tuneweza kuungansha mfumo wa benki na mfumo wa simu kilichobaki na kupunguza au kuondoa transactional charges then inakuwa tayari kutumika kama Digital currency.Kisha wakati ukifika tunaweza kufanya maboresho zaidi.Ni muhimu sana kufanya hivi
Marekani na ulaya walikataa mifumo ya m-pesa kuingia nchini mwao kulinda ATM zaona mabenki yao ukweli ni kwamba Afrika mashariki ATM sio nyingi kivile kutokana m-pesa.Makampuni ya simu yameshindwa kahamasisha manunuzi ya online na kuweka charge kubwa sana kuhamisha pesa.Mifumo yetu ya m- pesa ni mizuri sana bila hata ya kuiga ya ulaya ikiboreshwa kidogo tu tunaweza kuhamia digital transaction.

Tatizo la waafrika tunapenda kujidharau sana yani mpaka wazungu wafanye ndio tuige.Waafrika tumewaacha azungu ktk suala la online money system ila hatujiamini.Wenzetu wazungu walisambaza mabenki kila kona sisi tuna m-pesa shop ambayo ni hatua kubwa kuliko ulaya.

Ni suala LA maamuzi tu teknolojia tayari inafanya kazi.Tupo ktk digital world na tunauzoefu wa kutosha sio lazima tuunde crypto currence haina maana yoyote hii teknilojia ya m-pesa ni kubwa sasana ila tunaichukulua poa.
 
Yaani nchi zote ambazo bajeti ya kuendesha nchi asilimia kubwa tu zinategemea wafadhili na zina kopakopa na madeni kibao zitalazimishwa kuingia humo zitake zisitake na curreny itakuwa moja dunia nzima. Digital currency. Naona mmeanza kuelewa sasa. Hizi mada zipo humu jf watu wamebisha sana. Na utawala utakuwa mmoja dunia nzima. Hiyo ni indicator tu.
Kwani wazee wetu wslijua kutakuwana taiga linaitwa Tanzania. Sasa wewe unaetaka Tz tu iendelee kuwepo ni mazoea ndio yanakusumbua. Hayo mnayoyaamini ni uzushi mtupu. Acha dunia iwe mmoja na nchi jirani itakuwa mars.
 
Marekani na ulaya walikataa mifumo ya m-pesa kuingia nchini mwao kulinda ATM zaona mabenki yao ukweli ni kwamba Afrika mashariki ATM sio nyingi kivile kutokana m-pesa.Makampuni ya simu yameshindwa kahamasisha manunuzi ya online na kuweka charge kubwa sana kuhamisha pesa.Mifumo yetu ya m- pesa ni mizuri sana bila hata ya kuiga ya ulaya ikiboreshwa kidogo tu tunaweza kuhamia digital transaction.

Tatizo la waafrika tunapenda kujidharau sana yani mpaka wazungu wafanye ndio tuige.Waafrika tumewaacha azungu ktk suala la online money system ila hatujiamini.Wenzetu wazungu walisambaza mabenki kila kona sisi tuna m-pesa shop ambayo ni hatua kubwa kuliko ulaya.

Ni suala LA maamuzi tu teknolojia tayari inafanya kazi.Tupo ktk digital world na tunauzoefu wa kutosha sio lazima tuunde crypto currence haina maana yoyote hii teknilojia ya m-pesa ni kubwa sasana ila tunaichukulua poa.
Mpesa iliflop India hivyo siyo kwamba inawork kote.
 
Africa itakwamishwa na waliopokwenye taasisi za cash zinazowezwa kuhamia digital na kupunguza wafanyakazi hapo mpaka apatikane kiongozi wa sacrifice ajira za watu sasa hizo kelele za hao watakao pitia hayo maamuzi ili wengine wasogee ndo kimbembe, mfano ona huduma ya luku Sasa hivi watu wanavyopeta tofauti na zamani, njoo uone wakwamishaji Kama idara ya maji walivyoshindwa kuweka mifumo Kama luku hata kusambaza maji wanajivuta tu.
 
Back
Top Bottom