Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,511
- 10,418
Msabato katika ubora.Yaani nchi zote ambazo bajeti ya kuendesha nchi asilimia kubwa tu zinategemea wafadhili na zina kopakopa na madeni kibao zitalazimishwa kuingia humo zitake zisitake na curreny itakuwa moja dunia nzima. Digital currency. Naona mmeanza kuelewa sasa. Hizi mada zipo humu JF watu wamebisha sana. Na utawala utakuwa mmoja dunia nzima. Hiyo ni indicator tu.