Zingatia yoooooote uliyoelezwa na wenzangu hapo juu, ikishindika nawewe mtambulishe kwa marafiki zako wooooooote wa nyuma.
Kwani tatizo liko wapi, au wewe hauna marafiki wa nyuma? maana amemwaga ugali nawewe mwaga mboga. Vinginevyo vumilia tu dada, ni mtoto akikua ataacha.
Kwani tatizo liko wapi, au wewe hauna marafiki wa nyuma? maana amemwaga ugali nawewe mwaga mboga. Vinginevyo vumilia tu dada, ni mtoto akikua ataacha.