Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Kutokana na medereva wengi kutokujua haki zao wawapo barabarani je ni haki kwa trafiki kunyofoa number plate, kukunyang'anya ufunguo au kum'beba ndani ya gari yako hadi kituoni? Ningeomba msaada wa sheria za barabarani na nadhani zitawasaidia wanaJF wengine wasiojua haki zao