je hii ni halali?

je hii ni halali?

Mkopo achukue yeye

Jina uandikwe wewe

Mshahara akatwe yeye


Wanaume bwana

Mbona wewe ukinunua hata flash inaandikwa jina lako mkeo hahoji

Miaka yote uliyoishi na mkeo hujamwamini, hujamjua na unaiita hiyo ni ndoa???
 
Me sioni ubaya wa mkeo kuandika jina lake pengine aliona haina shida na ndio maana alikushirikisha suala la kununua pia, na isitoshe na yeye ana haki ya kumiliki acheni mambo ya ukandamizaji wa kijinsia. Kwani imeandikwa wapi mwanaume tu ndo mwenye haki ya kumiliki resorces?
Usimdanganye mwenzio kitamwakia baadae. Hapo mawili either mrudishie 50% halafu mbadilishe umiliki uwe wenu wote au msijenge hapo period. kuwa mbishi halafu utajuta bdae
 
Mkuu kitendo cha mwanamke/mke kuamua kuchukua mkopo benki, ningelikuwa ni mimi hilo unaloliita kijigari ningekiuza haraka mno ili kuongezea vijisenti kwenye hela ya kiwanja.

Kwa kufanya hivyo nina uhakika hata ushiriki wako katika ununuzi wa kiwanja ungelikuwa 100%.

Unajua kilichokutokea wewe ni kukosa kujiamini tokea mwanzo pale mkeo alipoamua kukopa hela(sina uhakika kama mlijadiliana) hadi alipotafuta na kununua kiwanja.

Yote haya ni kwa sababu ulionyesha ushirikiano hafifu ndio maana leo hii upo mbele yetu moyo wako ukiwa unatweta kwa wasiwasi.

Mwisho wa siku kuonesha wewe ni mwanaume mbinafsi kiasi gani, ni hapo mwishoni hayo maswali unayotuuliza.

Hivi mkuu ulipata kweli mafunzo ya namna ya kuishi na mke na kuwa mume responsible???

Hizo nyanga ulizouliza si ulipaswa kukaa chini na mkeo mzijadili, maana mkeo kahangaika kutafuta hela lakini wewe ni kama unaanza kuweka mapozi..
now u r talking brother. hawa watu wapo kwenye ndoa lkn inaonekana hawapangi kwa pamoja. suala la kununua kiwanja si dogo, lazima mshirikishane

sasa kama yeye alikaa akasubiria mke anunue plot kwa mkopo wake halafu aandike jina la mume ili iweje? wangeongea tokea mwanzo wangeelewana. otherwise kama ulivyosema, angeuza hicho kigari chake japo achangie huo ununuzi

mi nafikiri ni inferiority complex ndio inamsumbua

wale wanaomuona mwanamke hafai kuwa mke, je wao kama wanaume wangenunua kiwanja kwa hela yao wangeandika jina la mwanamke? if not, kwanini wanategemea mwanamke aandike jina la mume?
 
nema13 usiongee kishabiki,imagine mimi ni kaka yako then nyumba inaisha natimuliwa kwenye nyumba
pili angalia sheria ya ndoa inasemaje,mali yote iliyochumwa kwenye ndoa ni mali ya wote,pili anagalia utamaduni wa kiafrika mwanamume kulala kwenye nyumba yenye jina la mke inataka roho ngumu
ingeandikwa jina la wote au mtoto mi nisingekuja kuomba ushauri hapa

kama tatizo ni mila za kiafrika, mwanaume hawezi kulala kwenye nyumba inayomilikiwa na mwanamke, nenda kakope, mrudishie hela zake, badilisha jina la hati na gharama zote za ujenzi utoe wewe. otherwise na wewe tafuta kiwanja chako ujenge.
siku hizi it doesn't matter kama me au ke ndio mwenye uwezo. kinachotakiwa ni kuaminiana, kuongea na kupanga kwa pamoja. trust me, maisha yana vipindi tofauti, kuna wakati wewe utakuwa nazo nyingi, na kuna wakati yeye pia atakuwa nazo kuliko wewe. kama mke humuamini, kwa nini ulimuoa? kama huamini wanaotoka mlimani, kwa nini hukuoa kijijini kwenu?

nyie wanaume mnatakiwa muelewe kwamba nyakati hizi wanawake wana uwezo wa kipesa kama nyie, wana opportunities nyingi za kutengeneza pesa/ kupata ajira nzuri kama nyie. shule wote tunaenda na degree wote tunapata, sometimes kwa grades nzuri kuliko zenu.

so kuna mawili, tafuteni wake ambao hawana uwezo wa kipesa kabisa ili wawe wanawategemea kwa kila kitu na nyie muwe na amani ya moyo, au jifunzeni kuishi na wake zenu wanaoweza kuingiza kipato kama nyie
 
Mkopo achukue yeye

Jina uandikwe wewe

Mshahara akatwe yeye


Wanaume bwana

Mbona wewe ukinunua hata flash inaandikwa jina lako mkeo hahoji

Miaka yote uliyoishi na mkeo hujamwamini, hujamjua na unaiita hiyo ni ndoa???

eti mwanaume kumiliki ki2 sio shida ila mwanamke kumiliki inakuwa gumzo! Huo unyanyasaji wa kijinsia bana wote tuna haki za kumiliki
 
Wee Nema13 kama mwanaume mwenye 2 balls mwanamke anunue kiwanja na wewe ung'ang'anie jina lako pia liwepo ilhali mwanamke hataki from the first place....and in case u dont know in african values mwanaume ndio hujenga nyumba ya familia yake,sasa wewe tega tega mwanamke amiliki njia za uchumi then uje uombe ushauri hapa.....hamna cha inferiority complex wala nini,ni wewe unashindwa ku-take lead...mara ngapi unaambiwa mali ya mwanamke ni ya mwanamke,ya mwanaume ni ya familia?hii ni FACT,get ur a.ss up and work,hatuwezi kwepa hii reality!
suala la umiliki wa mali me naona ni makubaliano yenu kulingana na mnavyoaminiana bana! Tayari mna watoto doubts za nini hata kama mtaachana watoto c wataitumia iyo nyumba?
 
nshakwambia anatoka kwenye mlima mrefu wale watu ni kama homa za vipindi hawatabiriki ,uaminifu wako unaweza kukuponza coz ni wazuri kwa timing

hapa naona unaishi nae ila mguu mmoja nje mwingine ndani! Hauna uhakika kama ndo mwenza wa kuzikana, kazi ipo
 
kama tatizo ni mila za kiafrika, mwanaume hawezi kulala kwenye nyumba inayomilikiwa na mwanamke, nenda kakope, mrudishie hela zake, badilisha jina la hati na gharama zote za ujenzi utoe wewe. otherwise na wewe tafuta kiwanja chako ujenge.
siku hizi it doesn't matter kama me au ke ndio mwenye uwezo. kinachotakiwa ni kuaminiana, kuongea na kupanga kwa pamoja. trust me, maisha yana vipindi tofauti, kuna wakati wewe utakuwa nazo nyingi, na kuna wakati yeye pia atakuwa nazo kuliko wewe. kama mke humuamini, kwa nini ulimuoa? kama huamini wanaotoka mlimani, kwa nini hukuoa kijijini kwenu?

nyie wanaume mnatakiwa muelewe kwamba nyakati hizi wanawake wana uwezo wa kipesa kama nyie, wana opportunities nyingi za kutengeneza pesa/ kupata ajira nzuri kama nyie. shule wote tunaenda na degree wote tunapata, sometimes kwa grades nzuri kuliko zenu.

so kuna mawili, tafuteni wake ambao hawana uwezo wa kipesa kabisa ili wawe wanawategemea kwa kila kitu na nyie muwe na amani ya moyo, au jifunzeni kuishi na wake zenu wanaoweza kuingiza kipato kama nyie

bora unisaidie hilo! Zamani mwanamke alikuwa hana choices, rights, access na vingine vingi coz walikuwa hawajapata fursa za kutoka! Now that they have lazima aoneshe anaweza na ndio maana ame2mia akili yake kukopa ili ajenge, na hata hivyo amemshirikisha mwenzie! Sasa eti ugumu unakuja kuandika jina mwanamke hawezi kuwa katika umiliki, wanaume ifike point mbadilike mali zilizopo hazikutolewa kwa ajili ya jinsia (me) tu ni kwa jinsia zote. Imagine dada yako ndo kajitoa ivo usikie shemeji yako analalamika juu ya hilo. Utajiskiaje kuona dada yako hana haki ya umiliki na wakati jasho wanavuja wote kutafuta?
 
Usimdanganye mwenzio kitamwakia baadae. Hapo mawili either mrudishie 50% halafu mbadilishe umiliki uwe wenu wote au msijenge hapo period. kuwa mbishi halafu utajuta bdae

kwa maana hiyo mwanamke yeye kaumbiwa shida tu ndo mwenye kustahili kutimliwa na kubaki bila chochote? Hata mlalamike saivi wote 2napambana kuvitafta bana
 
Kwakwelihapa sio siri busara inahitajika sana ili uchukue maamuzimazuri.Bora umwambie kwa uwazi mashaka na wasiwasi wako
 
mh....ameandika jina lake just in case.........
 
Miaka 5 yote hamjaaminiana? Kwanza inawezekana yeye anakuamini, wewe tu humuamini. Angalia maana siku si nyingi utaanza kuwaza kama hao watoto wawili ni wako...
Hahahahahahahahaha duh hii nayo kali. Mimi nimejiuliza mwanaume miaka 5 hukuwa na wazo la kiwanja sasa kinanunuliwa kwa mkopo unaanza kupiga kelele sijui tushauri nini hapo. Inawezekana kabisa mmama amejua huyu mbaba hatakaa anunue kiwanja ni heri yeye akope pesa na kununua. Mkuu mtoa mada unachoweza kufanya ni omba kulipa deni ie huo mkopo na uombe hicho kiwanja kiandikwe majina yenu au majina ya watoto na huo ndio ukichwa wa mwanaume.
 
Hii familia haina mawasiliano mazuri na ndo maana kila mtu anafanya maamuzi bila kumshirikisha mwenzake rekebisha mawasiliano yako na mkeo
 
Mkopo achukue yeye

Jina uandikwe wewe

Mshahara akatwe yeye


Wanaume bwana

Mbona wewe ukinunua hata flash inaandikwa jina lako mkeo hahoji

Miaka yote uliyoishi na mkeo hujamwamini, hujamjua na unaiita hiyo ni ndoa???

malzia kwa kusema majangaaa mbona majangaaaa!
 
Kuna Ugomvi hapo, haiwezekan mkeo achukue mkopo bila wewe kujua, au kahongwa huko kazini? akupe docs zote uone kama ni mkopo halali au ye ndo kakopesha papuchi.

halafu mtakuwa wachaga nuie!
 
Bora iwe na majina mawili na kama utachangia mkopo kurudisha. Swali ni kwamba kwanini akukujulisha? Anataka akucontrol baadae?
Utamkuta na kosa ukimuuliza anakuambia tuachane na uondoke....hapo ndipo utaona uchungu wa hiyo nyumba...utatamani uchome moto....mapemaaa rekebisha.


Sent from my SM-N900 using Tapatalk
 
Kuna Ugomvi hapo, haiwezekan mkeo achukue mkopo bila wewe kujua, au kahongwa huko kazini? akupe docs zote uone kama ni mkopo halali au ye ndo kakopesha papuchi.

halafu mtakuwa wachaga nuie!
nilijua kama atachukua mkopo wote tumeajiliwa ilikuwa ni kiwanja cha bei poa tukakualiana achukue mkopo kinunuliwe fasta na mimi mwaka huu nichukue tuanze ujenzi tatizo ni jina lake kuapia kwenye document instedy majina yetu wote au watoto nini dhamira yake au bahati mbaya mimi sijui
 
Back
Top Bottom