Kaizer asante kwa kuniita. Mleta mada atutake radhi wadada wa kichaga lolz!
Kwa style hii anaonyesha wazi hana imani na mkewe, but nachofikiri ni vyema wao kuzungumza kabla huo ujenzi haujaanza, sio kuhusiana na kiwanja tu bali kuhusiana na mali za familia zitakazonunuliwa na yeyote kati yao yatumike majina yao yote au iweje! To me, dada yangu huyo kama alijua nyumba ni ya familia alipaswa aandike majina yote. Huo ndio mtazamo wangu.
Baadhi ya wanaume ni watu wa kujishuku sana usipokuwa makini na vitu hivi jamaa anaanza kujishtukia.