venine
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 1,458
- 1,571
Ww mbona mkeo mstaarabu sana,mke wa kaka angu alinunua kiwanja kwa hela ya bro akaandika ni chake mama ake,bro alipojua huo mchezo,nusu amuufosaro.ila pole sana bro,wanawake wengne n pasua kichwa
wakati mwingine mnawaonea wanawake. mwanamke kachukua mkopo bank (hajamuomba pesa), kanunua kiwanja, kaandika jina lake, sasa upasua kichwa wake unatokea wapi?
tukiwaomba pesa mnalalamika, tunachukua mikopo wenyewe bado ni lawama pia, mbona hamna jema jamani. mleta mada ashukuru mkewe kawa na akili ya kuanza ujenzi, maana inaonekana yeye alikuwa bado anakula raha za mjini