LebronWade
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,615
- 1,510
izo ndo inferiority complex sasa! Kwanini mwanaume akiwa titled kwenye mali mwanamke awe huru kukitumia na mwanamke akiwa titled wanaume mnahisi mwanamke ana tamaa?? Vitu tumepewa tumiliki wote sio jinsia moja bana
Wee Nema13 kama mwanaume mwenye 2 balls mwanamke anunue kiwanja na wewe ung'ang'anie jina lako pia liwepo ilhali mwanamke hataki from the first place....and in case u dont know in african values mwanaume ndio hujenga nyumba ya familia yake,sasa wewe tega tega mwanamke amiliki njia za uchumi then uje uombe ushauri hapa.....hamna cha inferiority complex wala nini,ni wewe unashindwa ku-take lead...mara ngapi unaambiwa mali ya mwanamke ni ya mwanamke,ya mwanaume ni ya familia?hii ni FACT,get ur a.ss up and work,hatuwezi kwepa hii reality!