Wapo wanawake wenye moyo kama huyo, japo huwezi jua mtu anafikiria nini kichwani kwake, ila wapo anatoa kwa mapenzi ya dhati, na wala hawezi kuleta magumashi hapo baadae. Isipokuwa sasa, kumbuka wewe ni mwanaume na mume ndie mtafutaji, unapaswa kujibiidisha ukiwa muombaji kupita maelezo utamboa, kusaidiana kupo ila usiwe tegemezi na kujiachia. Kuna wanaume wengine wakiona hivyo basi natake advantage ya kujinufaisha.
Jibiidishe ili usiwe mwombaji kupita kiasi, pia nakushauri wakati mwingine ukiwa na shida jaribu kuomba hata kwa wanaume wenzio ili uepushe kumuomba mara kwa mara mpenzi wako, mbona simple even mimi mwenyewe tu, nikijiona naomba kwa mtu mara kwa mara, kuna hatua simuombi na natafuta msaada mahala pengine, yani naona aibu, so wewe binafsi hujisikii aibu fulani hivi.