Nifah
Platinum Member
- Feb 12, 2014
- 34,417
- 82,372
Umeshindwa kumjib swali lake
Mimi nimeongezea nyama katika tetesi hizo za kenge.
Umeshindwa kumjib swali lake
We kenge kweliView attachment 245458
Je haya ni kweli kuhusu huyu kenge?
Akikuchapa na mkia, akikonda na wewe unakonda, akinenepa na wewe unanenepa, akifa na wewe unakufa je hizi stori ni za kweli au ndio zile zile tulizokulianazo utotoni?
Wataalamu mtusaidie
Sawa kabisa Mimi pia niliwah ckia hivyo .....yaan mpaka Leo namwogopa kenge hatarDah, mimi bibi yangu aliwahi kuniambia akikuchapa na mkia wake mguu unakatika.
Na huo ulimi wake akikukuta umelala anaupenyeza puani anafyonza ubongo wote! Hivyo basi, namuogopa kenge sana tu!
Hahahahahaa mkuu ukitaka nikose amani ugenini (hasa kijijini) niambie kuna kenge.Sawa kabisa Mimi pia niliwah ckia hivyo .....yaan mpaka Leo namwogopa kenge hatar
kwahiyo kwenu dar(katarina voice)Ni kweli aisee bibi ni wa pande hizo.Basi kila nilivyokua naenda likizo ndio akawa ananiambia hivyo!
Acha tu.
Leo wapi naongea pumba?Mkeo kakupkia pilau nn leo unaongea pumba
Kwa kufupi mnyama kenge hana madhara yoyote kwa mwanadamu(harmless). Lakini kikubwa alichonacho mnyama huyu ni uwezo wake wa vitisho na mikwara .Huyu mnyama ni master of intimidation, na hata Simba anaweza kutoka nduki akikutana na Kenge.
We utakua ndugu yangu aliepoteaga maana hata mimi bibi yangu alikua ananiambia hivo hivo sema akaongezea eti kama Kenge yuko nchi kavu mvua ikianza kunyesha anakimbilia mtoni au ziwaniDah, mimi bibi yangu aliwahi kuniambia akikuchapa na mkia wake mguu unakatika.
Na huo ulimi wake akikukuta umelala anaupenyeza puani anafyonza ubongo wote! Hivyo basi, namuogopa kenge sana tu!
Hahah.. Kama namuona simba anakimbia kwa aibuKwa kufupi mnyama kenge hana madhara yoyote kwa mwanadamu(harmless). Lakini kikubwa alichonacho mnyama huyu ni uwezo wake wa vitisho na mikwara .Huyu mnyama ni master of intimidation, na hata Simba anaweza kutoka nduki akikutana na Kenge.
[emoji23] vipi wewe ulifanya hivyo?Hizi ndo story zile kuna aina flan ya matunda yanaota kandokando ya mto so jamii nyingi huyachuma kisha kuyakausha na kutumia kama kifaa cha kusugulia mwili (dodoki )sasa waqt wa utoto tulikuwa tunaambiwa unaenda kulichanja moja ya tunda kisha nawe unajichanja mpini unanyunyizia ule utomvu.
Sasa kila lile tunda linavyokuwa nawe mgegedo unakuwa so inatakiwa uwe umeliwekea alama siku unapoona dushe limekuwa kubwa unaenda kulikata hilo tunda na mgegedo hautakuwa tena, zamani tulifungwa kamba sana.
kwahiyo akicheza BIKO akashinda na wewe una shinda?View attachment 245458
Je haya ni kweli kuhusu huyu kenge?
Akikuchapa na mkia, akikonda na wewe unakonda, akinenepa na wewe unanenepa, akifa na wewe unakufa je hizi stori ni za kweli au ndio zile zile tulizokulianazo utotoni?
Wataalamu mtusaidie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]naye anakukulaNa ukimla je