The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,264
ujinga nao ni kipaji
Umenena mkuu. Kama ulikuwepo vile.. Hivi wewe ni wa mkoa gani vile. I guess ww wa pande za kaskaziDah, mimi bibi yangu aliwahi kuniambia akikuchapa na mkia wake mguu unakatika.
Na huo ulimi wake akikukuta umelala anaupenyeza puani anafyonza ubongo wote! Hivyo basi, namuogopa kenge sana tu!
Dah, mimi bibi yangu aliwahi kuniambia akikuchapa na mkia wake mguu unakatika.
Na huo ulimi wake akikukuta umelala anaupenyeza puani anafyonza ubongo wote! Hivyo basi, namuogopa kenge sana tu!
Ni kweli aisee bibi ni wa pande hizo.Basi kila nilivyokua naenda likizo ndio akawa ananiambia hivyo!Umenena mkuu. Kama ulikuwepo vile.. Hivi wewe ni wa mkoa gani vile. I guess ww wa pande za kaskazi
Na ukimla je
hahahaahhah haki ya nani nimecheka mpaka nimeulizwa
hahahaahhah haki ya nani nimecheka mpaka nimeulizwa