Je, haya ni kweli kuhusu Kenge?

Je, haya ni kweli kuhusu Kenge?

kenge mtamu nyie acha kabisa duu nyie mshamla kenge kweli?samaki mwenyewe chamtoto nyama yake sio mchezo
 
Hizi ndo story zile kuna aina flan ya matunda yanaota kandokando ya mto so jamii nyingi huyachuma kisha kuyakausha na kutumia kama kifaa cha kusugulia mwili (dodoki )sasa waqt wa utoto tulikuwa tunaambiwa unaenda kulichanja moja ya tunda kisha nawe unajichanja mpini unanyunyizia ule utomvu.
Sasa kila lile tunda linavyokuwa nawe mgegedo unakuwa so inatakiwa uwe umeliwekea alama siku unapoona dushe limekuwa kubwa unaenda kulikata hilo tunda na mgegedo hautakuwa tena, zamani tulifungwa kamba sana.
 
Bila shaka umekulia mbeya nakumbuka kipind nachunga ng'ombe nimeambiwa sana
 
ujinga nao ni kipaji
Heh heh heee ,na ujinga ndio sifa yetu kubwa Watanzania,si ajabu mafisadi tunawasifia na kutaka wawe maraisi wetu,wengine wanatuandikia katiba na kutuwekea vipengere vyao ,lakini bado tumetopea kwenye ujinga wa kama huyu anayesema kenge akikonda naye aliyepigwa na mkia wake hukonda hapa unategemea nini kwa watu wa aina hii,wengine tunajua wamekwiba mabilioni kwa njia za kifisadi ,tunajua ni malaghai lakini wapi tunatoa mapovu ili waingie Magogoni.
 
Akikuchapa na mkia wake kama wewe ni ME unakuwa ha.n.ithi

Issis hawatakaribia sehemu kuna kenge manake bonasi la mabikra litakuwa mzaha.
 
Dah, mimi bibi yangu aliwahi kuniambia akikuchapa na mkia wake mguu unakatika.
Na huo ulimi wake akikukuta umelala anaupenyeza puani anafyonza ubongo wote! Hivyo basi, namuogopa kenge sana tu!

Ha ha ha ha ha imebidi nicheke mwenyewe niliwahi daganywa hivi hivi ka wewe eti akikuchapa unakatika au akufyozwa ubongo nilikua cjawahi mwona nikajiuliza ana msumeno siku nilipoenda sehemu ya zoo nakuuliza nikaambiwa siyo zamani tulikua tunadaganywa Sana.
 
Dah, mimi bibi yangu aliwahi kuniambia akikuchapa na mkia wake mguu unakatika.
Na huo ulimi wake akikukuta umelala anaupenyeza puani anafyonza ubongo wote! Hivyo basi, namuogopa kenge sana tu!
Wapi ulisikia kafanya hivyo. hizo ni hadithi za kufanya watoto walembo kama wewe msicheze maeneo ya msituni walipo kenge
 
Haina ukweli hzo stor walizitumia bibi na babu zetu ili kutujenga adabu baina ya watu na watu, wanyama na binadamu.....
Kwamfano hapo kwenye ukilala atakunyonya ubongo ilikuwa elim tosha ya kukufanya uwe makin ktk ulalaji na pia kukujenga hofu ili uwe makin kwa wanyama...
 
Ha ha ha ha ha imebidi nicheke mwenyewe niliwahi daganywa hivi hivi ka wewe eti akikuchapa unakatika au akufyozwa ubongo nilikua cjawahi mwona nikajiuliza ana msumeno siku nilipoenda sehemu ya zoo nakuuliza nikaambiwa siyo zamani tulikua tunadaganywa Sana.

Hahahaaa,acha tu.Sasa kuna kipindi tulikua tunakaa kimara uwani kukawa na container basi chini yake kukawa na kenge kibao!
Nilikua siachi mlango wazi nikiogopa kenge asiingie uvunguni akaufyonza ubongo wangu usiku!
 
Wapi ulisikia kafanya hivyo. hizo ni hadithi za kufanya watoto walembo kama wewe msicheze maeneo ya msituni walipo kenge

Acha tu bibi yangu kanitisha sana.Na kuna vitisho kuhusu nyoka pia ni hatari!
 
Huyo kiumbe nimtamu jaman ispokuwa upatikanaji wake kwa mjini ni tabu kidogo,.

Kumbe ni kitoweo kwako? Nimewahi kusikia hata nyama ya mamba ni tamu sana.Ila sidhani kama nitaweza kuila aisee. ...
Kama uko serious mbona kimara wako tele tu? Wenzio tulikua tunawaua na kuwatupa!
 
Acha tu bibi yangu kanitisha sana.Na kuna vitisho kuhusu nyoka pia ni hatari!

Kuhusu nyoka ni kweli, Chezea mbali. ila asili yao ni wapole WANALAZIMIKA KUJIAMI. nYOKA ANA HISIA KALI, UKIMUONA utashtuka na yeye atahisi unataka kumzuru, ndio maana utakuta watoto wachanga wanaweza wasing'atwe na nyoka unapowaacha nje karibu akitokea nyoka mana wao huwa hawana body reaction wanapoona nyoka. Achana na Chatu yeye zake ni kumeza atakameza katoto akikakuta.
 
Hahahaaa,acha tu.Sasa kuna kipindi tulikua tunakaa kimara uwani kukawa na container basi chini yake kukawa na kenge kibao!
Nilikua siachi mlango wazi nikiogopa kenge asiingie uvunguni akaufyonza ubongo wangu usiku!

Ha ha ha ha ha ha mi mpaka leo namwogopa hasa kwenye kufyozwa ubongo na ule ulimi mrefu.
 
Back
Top Bottom