A3M
Member
- Jul 23, 2019
- 84
- 178
Habari wadau Great thinkers wa humu JF
Natamani mko poa na ambae hayuko vizuri Mungu atamsaidia atamrudisha katika hali yake ya kawaida.
Wadau nimekuwa nikifuatilia sana baadhi ya Madalali wanaojitangaza katika Social networks hasa Instagram na Facebook ambao wananadisha nyumba zinazouzwa Kama vile "Dalali mwanamke" na "Haki_Kazi_Kampani" kwa kweli nimekuwa natafakari Sana juu ya Bei naona ni bei rahisi sana au ni janjajanja ya mjini wanataka kupiga watu?
Natamani sana kununua maana mimi nipo Nje ya nchi ila nahofia kutapeliwa,Na kama wanatapeli je wanatapeli kwa njia gani?
Naomba msaada wenu wa ushauri na naomba mtembelee hizo Account mbili za Instagram mujionee wenyewe ambazo ni "Haki_Kazi_Kampani" na "Dalali Mwanamke"
Natanguliza shukrani wadau kwa atakaenipa ushirikiano mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani mko poa na ambae hayuko vizuri Mungu atamsaidia atamrudisha katika hali yake ya kawaida.
Wadau nimekuwa nikifuatilia sana baadhi ya Madalali wanaojitangaza katika Social networks hasa Instagram na Facebook ambao wananadisha nyumba zinazouzwa Kama vile "Dalali mwanamke" na "Haki_Kazi_Kampani" kwa kweli nimekuwa natafakari Sana juu ya Bei naona ni bei rahisi sana au ni janjajanja ya mjini wanataka kupiga watu?
Natamani sana kununua maana mimi nipo Nje ya nchi ila nahofia kutapeliwa,Na kama wanatapeli je wanatapeli kwa njia gani?
Naomba msaada wenu wa ushauri na naomba mtembelee hizo Account mbili za Instagram mujionee wenyewe ambazo ni "Haki_Kazi_Kampani" na "Dalali Mwanamke"
Natanguliza shukrani wadau kwa atakaenipa ushirikiano mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app