Je hata humu watu waandamane?

Je hata humu watu waandamane?

Mohamedi, huna mamlaka yoyote ya kunichagulia maneno ya kuandika humu, kwa sababu ya uchochezi wako. Kwenye DVD zako nyingi za kichochezi umewaita watu wasiofungamana na imani yako kuwa ni makafiri! vipi kuita uchochezi wako kuwa ni upuuzi liwe neno baya? Saidi, hakika huitakii mema nchi hii. Tuache tufe kwa njaa na maradhi lakini sio kwa majambia ya kiarabu na bunduki za wazungu.
Kwa sababu hujui maana ya neno KAFIRI... tafuta kamusi kwanza.. tatizo mnakurupuka mno!! Nini maana ya uchochezi.. Akisema Mohammed Said ni uchochezi lakini maneno kinyume na hayo yakisemwa na Wachungaji na makasisi si uchochezi kwa upande wa Mohammed Said? Hivi kumbe waarabu mpaka leo wanatumia majambia!!!?
 
thread za udini zinachoshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....

Kuna kiwanda cha wachina kwa miaka 5 wamekuwa wakiiba umeme wa tanesco, watumishi mishahara duni wanalipwa sh 5300 hamjadili kuja na solution aaaargh.......
Si tunasubiri tumchague Padre ataleta solution!!
 
Hivi kwanini upo duniani wakati allah wenu amewapa njia rahisi tu.... Jitoe muhanga tuuu mabikra wanakusubiri ukawabikiri....
Kauli kama hizi ipo siku mtatafuta pa kujificha kama sio kujiuwa wenyewe kwa kuhofia....
 
Kuna watu hata wa humu JF wana maslahi na mgongano wa kidini wa Watanzania.
Mmojawapo ni huyu Mohammed Shossi.
Ukweli haukimbiwi bali kabiliana nao,tatizo lenu mkiambiwa ukweli basi mtasikia udini sijui wakorofi. Kama nyinyi mnaruhusu kudhulumiwa haki zenu usiforce kila mtu awaige kwa uzembe wenu. Alichoandika Mohammedi Said alikuwa sahih na kama GreatThinker ulitakiwa uje na facts kusema NO sio kweli kwa point hii na ile, lakin sio kumshawishi Mods aifute topic kwa maslah mnayojua wenyewe. Mohamed shoshi yupo sahih kumlaumu Mod. You can fool some people sometimes but can't fool all the people all the time-Bob. Time will tell
 
Last edited by a moderator:
Ahsante Sheikh Mohammed,

Ukweli katika madhila wanayofanyiwa Waislam unatisha sana.
Sioni mtu katika JF ambae anaweza kusimama kujibu hayo niloandika.

Benjamin Mkapa alitaka ushahidi wa dhulma kwa Waislam.
Prof. Njozi akaandika kitabu kizima "Mwembecha Killings..."

Serikali haikuweza kustahamili.
Ikakipiga marufuku kitabu.

Huu ndiyo mwendo wa mfumokristo.
Sasa wanatumia jeshi la polisi kupambana na Waislam.

Mimi naamini Insha Allah ipo siku watatuita katika meza ya mazungumzo.
Mohammed Said,Shoshi na wengine mnaotumia muda mwingi kuwaelimisha wasiotaka achaneni nao na kama kuna uwezekano basi hizo kejeli wanazoleta ni za kureply kama wanavyotaka wao. Haitatokea hata siku moja wakaja kuwasikiliza points zenu japokuwa ni ukweli usiopinga zaid ya kuleta kejeli ili watoke nje ya mada na kupoteza ukweli wa mada. Chunguza mada zote zenye ukweli humu JF lazima wavimbe na hasira na matusi tele,maana yake ni ukweli mtupu na kama sio ivyo wangepinga kwa point. Nawakumbusha Mohammed said na shoshi na akina ritz wote kuwa Allah alisema kny surrat Baqarah..''Mabubu,viziwi,vipofu kwayo hawatarejea".
 
Usemayo ni kweli kabisa lakini mimi binafsi naamini kuwa tuna wajibu
wa kuwaelimisha hawa ndugu zetu.

Katika kufanya hivyo huenda tukaiepusha nchi yetu na hili janga ambalo
si muda mrefu litakumba jamii yetu.
 
Ninanusa harufu ya mtu kutiwa ndani muda si mrefu.
Mchochezi mwenye kujiita msomi.

Msipokuwa makini na hizi harakati zenu, hamtakipata mnachopata.
Hakika nawaambia, mtaishia rumande, baadae mtapewa mashamba ya mawese Kigoma, hamtasikika tena.

.....msikutupuke.

Hutaki unaacha.
Tangu lini mwanaharakati/mpambanaji akaogopa rumande? Vipi Mandela,Malcom X,Douglas etc hawakukaa jela? Na je hawakufikia goal yao kuepukana na dhulma zilizowakumba? Eti nawe GreatThinker haya nenda kapake rangi kucha ukacheze disco Bills kwa...
 
Usemayo ni kweli kabisa lakini mimi binafsi naamini kuwa tuna wajibu
wa kuwaelimisha hawa ndugu zetu.

Katika kufanya hivyo huenda tukaiepusha nchi yetu na hili janga ambalo
si muda mrefu litakumba jamii yetu.
Mohammed Said, before humu JF nilikuwa naamini was sehem ya wasomi na kitu chochote kitajadiliwa kwa facts na kama dhuluma kila mpenda maendelea atakemea,lakin cha ajabu bila ya kumung'unya maneno Sheikh wangu humu kuna ugonjwa wa Islamophobia. Tafuta posts zoote zinahohusu uislam basi utaona matusi yake na kama wangekuwa karibu nawewe basi wangekutaftia kesi kama sio hadithi. Ndio mana nakushauri usitumie nguvu kubwa sana wanajua unachosema ukweli ila wanajaribu kukutoa kwenye track. Allah akukubali kwa juhudi zako inshallah.
 
Tatizo si Mohamed Said ndugu, tatizo ni mfumo wa serikali usiotaka kukosolewa na si Mohammed Said anaetuma POLISI kwenda KUPIGA MABOMU MSIKITINI.. na matendo haya yaliokwisha fanyika yameweka kidonda kwenye kovu ambalo lilielekea kusahaulika...

Na mengineyo yatakayofuata SITOYASHANGAA kwa sababu badala ya kuzima moto watu wanahangaikia moshi...
na kusukumia matatizo yasikokuwa wakinyoosheana vidole vya macho. Matatizo yalipo panajulikana na chanzo chake kinajulikana. Ila kwa sababu ya upofu wa nafsi na mapenzi tukijumlisha na udini uliobobea wa watawala wa nchi hii na wenye kudhani wao ndio wenye haki ya kula mkate wa uhuru huku "wahuni wakiwa hawastahili" zamani waliitwa "waswahili" Heri kusema kuliko kunyamaza..

Watu wamechoma makanisa wakitokea msikitini, watu wameua askari huko visiwani, wamechoma makanisa kwa sababu ambayo ingeweza kumalizwa bila vurugu. Sasa askari mnataka wakae kimyaaaaa? Nyi mlikuwa mnataka wafanye nini? Nani kaanza matatizo?
Hii si sumu iliyowekwa/pandikizwa kwa muda mrefu
 
Mohamed said embu katafute cd za Adam Hajji halafu ujibizane nae
 
Nileleza kuwa waliochoma makanisa ni wahalifu waliopata upenyo katika kadhia ile.

Hapa ndio tunaposhindwa kujadiliana na nyinyi kwa kuwa mna unafiki mwingi na akili zenye kukatisha tamaa. Waliochoma makanisa si waislamu, lkn waislam wanatoka misikitini na kuandamana kuwa waislamu wenzao wameonewa. Hivi kuna ujinga na makero makubwa zaidi ya haya?
 
Hivi wewe siku zote upo hapa JF hujajua wengi wa Pro-Chadema ndiyo wanaongoza kukejeli na kudhihaki Uislam na Waislam?Halafu wanasema Chama Chao sio cha kidini,sasa kama chama chenu ni cha kitaifa mbona mna wadhihaki na kuwa kejeli Waislam hapa JF?

Tena sio ajabu wengi wa wanao fanya hivyo utakuta wengine ni wakubwa wa chadema waliojificha majina yao!Nyie wafuasi na wapenzi wa chadema acheni kukejeli na kuwadhihaki waislam hivi mnajua Mohammed Said ,Mohammed Shossi hata mimi mwenyewe tutikwa nje ya JF tutapeleka ujumbe gani kwa waislam wenzetu wasio kuwa na access ya JF?

Hao Waislam wakiambiwa wengi wa wafuasi wa Chadema wana chuki na Uislam tutawajibu naam!Tuna likuta hilo JF tena sana !Ni vizuri wengi wa Waislaam wajulishwe kuhusu JF wapate taswira ya wapenzi na washabiki wa Chadema walivyo na chuki na Uislaam!
Kabla sijajiunga JF nilikuwa mnazi mkubwa sna wa CDM kuliko yeyote mtaani kwangu lakin vitendo vya wanaCDM wengi wakiwemo hata wenye vinyadhifa kama sijui Marytina kama sijakosea hata kumkumbuka sitaki jina lake alivyotoa kejeli kwa waislam mapema mwaka jana basi nikawa mwenye hasira nae pamoja na wanaJF wengi ninaochangia nao mada za mabadiliko za harakati za CDM,nitakuwa mnafki nikisema yale mapenzi ya mwanzo bado yapo kwa CDM,ni bora nkaangalia upepo kwengine na family yangu. Kwangu mimi Dini kwanza ndio siasa baadae,nikifa sitaulizwa au kuswaliwa na kiongozi wa chama bali na viongozi wa dini yangu na ntaulizwa yanayohusu dini yangu huko niendako finish. So kwa namna yeyote ukianza kuleta kejeli kwenye dini yangu basi ushatangaza uhasama namimi. So ndiriki kukubaliana nawewe Pro-chadema wengi sio wote ni Anti-Islam na hii lazima itawacost 2015 wote mtakuwa mashahidi kwa hili. JF pro CDM wengi ni wadini mnooo simung'unyi maneno hata kidogo.
 
Ahsante Sheikh Mohammed,

Ukweli katika madhila wanayofanyiwa Waislam unatisha sana.
Sioni mtu katika JF ambae anaweza kusimama kujibu hayo niloandika.

Benjamin Mkapa alitaka ushahidi wa dhulma kwa Waislam.
Prof. Njozi akaandika kitabu kizima "Mwembecha Killings..."

Serikali haikuweza kustahamili.
Ikakipiga marufuku kitabu.

Huu ndiyo mwendo wa mfumokristo.
Sasa wanatumia jeshi la polisi kupambana na Waislam.

Mimi naamini Insha Allah ipo siku watatuita katika meza ya mazungumzo.

Mfumo kristu ukiongozwa na askofu Kikwete, askofu msaidizi gharibu Bilali, mchungaji kiongozi Chande na Chande yaani jaji mkuu na ndugu yake usalama wa taifa, mchungaji saidi mwema, na hapa dar mchungaji mdogo said meck na mchungaji kova ndoo wanawatesa waislam. Acheni kuota anzeni kufikiri na muwe mnabadilika kutokana na mazingira. Tanzania sasa viongozi wake ni waislam ila SIONI kama wanawasaidia waislam zaidi ya kuharibu nchi kwa kupachika wengine kwenye nafasi wasio na sifa. Mpaka nitakapoona muslimu university ina maprofesa wengi, hospital kwenye maeneo ya waislam na shule ndiyo nitaamini kuwa sasa wameanza udini sio uhuni wa siku hizi huu.
 
Nani walichoma makanisa ya mbagala na kuiba sadaka na kuchana chana biblia na kuchoma altare za kanisa?
Kuna muumin wa dini ya kiislam aliyethibitishwa msikitin au mtaani kwao alikamatwa kwa kuchoma kanisa? Au mateja/wahuni wa mbagala walipata upenyo huo. Kama uliona picha zao basi utakubaliana namie wale ni wahuni tu Muislam hawezi kuchoma kanisa,kwanin wasichome siku zote waislam hadi waje wachome juzi? Think out of the box usiwe mtu wa kuamini propaganda kirahisi. Ishughulishe akili yako kidogo
 
Watu wamechoma makanisa wakitokea msikitini, watu wameua askari huko visiwani, wamechoma makanisa kwa sababu ambayo ingeweza kumalizwa bila vurugu. Sasa askari mnataka wakae kimyaaaaa? Nyi mlikuwa mnataka wafanye nini? Nani kaanza matatizo?
Hii si sumu iliyowekwa/pandikizwa kwa muda mrefu
We unadhani reaction ya askari ni solution? Angalia dunian kote majibu utapata. Kama ikija kutolewa kauli moja tu kwa viongozi wa dini basi hata askari watoke nchi jiran hapatashikika na siombei tufike huko! La msingi kila mtu apewe haki yake na watu waheshimiane basi.
 
Mfumo kristu ukiongozwa na askofu Kikwete, askofu msaidizi gharibu Bilali, mchungaji kiongozi Chande na Chande yaani jaji mkuu na ndugu yake usalama wa taifa, mchungaji saidi mwema, na hapa dar mchungaji mdogo said meck na mchungaji kova ndoo wanawatesa waislam. Acheni kuota anzeni kufikiri na muwe mnabadilika kutokana na mazingira. Tanzania sasa viongozi wake ni waislam ila SIONI kama wanawasaidia waislam zaidi ya kuharibu nchi kwa kupachika wengine kwenye nafasi wasio na sifa. Mpaka nitakapoona muslimu university ina maprofesa wengi, hospital kwenye maeneo ya waislam na shule ndiyo nitaamini kuwa sasa wameanza udini sio uhuni wa siku hizi huu.
Ngoja tukimpa nchi Padre Silaah na mbaguz wa kanda Mtwei tutakuwa namba moja kiuchumi duniani.
 
Hivi inakuwia tabu kuandika bila kuchomeka maneno ya Kizungu.
Mie nakijua vyema Kizungu lakini si unaona nikiandika naandika Kiswahili kitupu?

Ahsante kwa mchango wako.

kwahio sasa tumetoka kwenye mada husika na tumeingia kwenye matumizi ya lugha ? lugha yoyote ni kwa ajili ya mawasiliano sasa wapi hujaelewa ili uweze kujibu hoja au tueleweshane?, Pia mkuu humu kumejaa mimi nimefanya hiki au nimesoma kile ambacho hakina uhusiano na maswali au mjadala uliopo hapa sasa wewe kujua kwako kingereza au kutokukitumia kwenye huu mjadala kunahusiana nini na huu uzi kama sio kuongea out of point na kujaza uzi mambo ambayo yapo nje ya hoja...., kama unataka fungua uzi wa matumizi ya lugha na ujuzi wako wa kingereza tukajadili huko
 
Back
Top Bottom