Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,310
Habari zenu wanajf,
Nimesikitishwa sana na mods kuitoa thread jadid ya ndugu Mohamed Said bila sababu ya msingi. Nasema bila sababu ya msingi kwakuwa hoja zilizoletwa mbele yetu tuzijadili hazikupata mchango mkuwa. Tumeona wanaoleta hoja hafifu dhidi ya "waislam" na "uislam" zimekuwa zikiachiwa na kujadiliwa mpaka kufika pages 40! mfano ni https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...waislamu-na-uislamu-wenyewe-kwa-tanzania.html thread hii sio kuwa inawalakini lakini ilifikia hata baadhi ya tunao waona ni wenzetu kwenye imani kudiriki kusema kuwa lugha tunayoitumia waislam ni moja ya wabaya wa uislamu! Astaghafirullah, hii ni sawa na kuikataa Quraan na kuukataa Uislam.
Lakini kwakuwa thread ile hakuwa na ukweli mchungu iliachiwa hii ya ndugu Mohamed Said imefungiwa kimya kimya! Uhuru wa kujieleza upo wapi? Au humu jf we dare to choose what to talk openly kwenye mambo yanayowafurahisha wachache kama ya chama na mambo ya kikubwa?
Mods nashindwa kuelewa sababu ni nini? Je sababu ni moja ya paragraph inayosema....
"Chama Cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) seemingly under the tutelage of Catholic Church out to oust a Muslim president, Mrisho Jakaya Kikwete, which broke the camels back. The Catholic Church prior to election issued an Election Manifesto and a document of guidance on how Christians should vote. The presidential candidate for CHADEMA was a former Roman Catholic priest. That said it all."
Au
"Although there were four presidential aspirants nationwide the battle would have narrowed down to only the two of them, which are Prof. Malima and Benjamin Mkapa. Retired President Julius Nyerere had seen the danger of such a confrontation and asked Prof. Malima not to resign from CCM. Nyerere knew for Prof. Malima to resign on a Muslim agenda that would make him a hero to his people and Muslims would rally behind him. The country would be split and polarised."
Au
"In order to appreciate the impending danger we need to agree that Muslims are a majority[1] in Tanzania and in any civil upheaval large numbers carry psychological advantages. The government has over the years been making deliberate efforts to conceal this fact and to portray to the world that Muslim-Christian religious distribution is more or less the same and at times to give an impression that Tanzania is a Christian nation and Muslims are a minority
[1] As if sensing danger the Catholic Church has in place a committee responsible for armed forces. This was revealed in a report to the Pope when he visited Tanzania in 1990. Muslims have requested the government to make a statement on Catholic Church Committee on Armed Forces but so far the government has not responded."
Tukiacha hivi kila sehemu mkatuminya basi hali itakuwa tete nadhani ikija mada ijadiliwe wote mashahidi nimetumia jukwaa lile kuweka baadhi ya mambo sawa na kuelezea wapi tuanzie na sio kufanya fujo! Wengi wamenipongeza kwa kuiminya ile hoja wengi hawataona mchango wangu! ambao ni kuleta mshikamano kwenye jamii yetu.
Mods kuweni fair haiingii akilini mnayo yafanya ni ya bahati mbaya ila kuna agenda ndani yake.
Mohammed Shossi
Nimesikitishwa sana na mods kuitoa thread jadid ya ndugu Mohamed Said bila sababu ya msingi. Nasema bila sababu ya msingi kwakuwa hoja zilizoletwa mbele yetu tuzijadili hazikupata mchango mkuwa. Tumeona wanaoleta hoja hafifu dhidi ya "waislam" na "uislam" zimekuwa zikiachiwa na kujadiliwa mpaka kufika pages 40! mfano ni https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...waislamu-na-uislamu-wenyewe-kwa-tanzania.html thread hii sio kuwa inawalakini lakini ilifikia hata baadhi ya tunao waona ni wenzetu kwenye imani kudiriki kusema kuwa lugha tunayoitumia waislam ni moja ya wabaya wa uislamu! Astaghafirullah, hii ni sawa na kuikataa Quraan na kuukataa Uislam.
Lakini kwakuwa thread ile hakuwa na ukweli mchungu iliachiwa hii ya ndugu Mohamed Said imefungiwa kimya kimya! Uhuru wa kujieleza upo wapi? Au humu jf we dare to choose what to talk openly kwenye mambo yanayowafurahisha wachache kama ya chama na mambo ya kikubwa?
Mods nashindwa kuelewa sababu ni nini? Je sababu ni moja ya paragraph inayosema....
"Chama Cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) seemingly under the tutelage of Catholic Church out to oust a Muslim president, Mrisho Jakaya Kikwete, which broke the camels back. The Catholic Church prior to election issued an Election Manifesto and a document of guidance on how Christians should vote. The presidential candidate for CHADEMA was a former Roman Catholic priest. That said it all."
Au
"Although there were four presidential aspirants nationwide the battle would have narrowed down to only the two of them, which are Prof. Malima and Benjamin Mkapa. Retired President Julius Nyerere had seen the danger of such a confrontation and asked Prof. Malima not to resign from CCM. Nyerere knew for Prof. Malima to resign on a Muslim agenda that would make him a hero to his people and Muslims would rally behind him. The country would be split and polarised."
Au
"In order to appreciate the impending danger we need to agree that Muslims are a majority[1] in Tanzania and in any civil upheaval large numbers carry psychological advantages. The government has over the years been making deliberate efforts to conceal this fact and to portray to the world that Muslim-Christian religious distribution is more or less the same and at times to give an impression that Tanzania is a Christian nation and Muslims are a minority
[1] As if sensing danger the Catholic Church has in place a committee responsible for armed forces. This was revealed in a report to the Pope when he visited Tanzania in 1990. Muslims have requested the government to make a statement on Catholic Church Committee on Armed Forces but so far the government has not responded."
Tukiacha hivi kila sehemu mkatuminya basi hali itakuwa tete nadhani ikija mada ijadiliwe wote mashahidi nimetumia jukwaa lile kuweka baadhi ya mambo sawa na kuelezea wapi tuanzie na sio kufanya fujo! Wengi wamenipongeza kwa kuiminya ile hoja wengi hawataona mchango wangu! ambao ni kuleta mshikamano kwenye jamii yetu.
Mods kuweni fair haiingii akilini mnayo yafanya ni ya bahati mbaya ila kuna agenda ndani yake.
Mohammed Shossi