Je hata humu watu waandamane?

Je hata humu watu waandamane?

Mohammed Hamad

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
3,988
Reaction score
1,310
Habari zenu wanajf,

Nimesikitishwa sana na mods kuitoa thread jadid ya ndugu Mohamed Said bila sababu ya msingi. Nasema bila sababu ya msingi kwakuwa hoja zilizoletwa mbele yetu tuzijadili hazikupata mchango mkuwa. Tumeona wanaoleta hoja hafifu dhidi ya "waislam" na "uislam" zimekuwa zikiachiwa na kujadiliwa mpaka kufika pages 40! mfano ni https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...waislamu-na-uislamu-wenyewe-kwa-tanzania.html thread hii sio kuwa inawalakini lakini ilifikia hata baadhi ya tunao waona ni wenzetu kwenye imani kudiriki kusema kuwa lugha tunayoitumia waislam ni moja ya wabaya wa uislamu! Astaghafirullah, hii ni sawa na kuikataa Quraan na kuukataa Uislam.

Lakini kwakuwa thread ile hakuwa na ukweli mchungu iliachiwa hii ya ndugu Mohamed Said imefungiwa kimya kimya! Uhuru wa kujieleza upo wapi? Au humu jf we dare to choose what to talk openly kwenye mambo yanayowafurahisha wachache kama ya chama na mambo ya kikubwa?

Mods nashindwa kuelewa sababu ni nini? Je sababu ni moja ya paragraph inayosema....

"Chama Cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) seemingly under the tutelage of Catholic Church out to oust a Muslim president, Mrisho Jakaya Kikwete, which broke the camel’s back. The Catholic Church prior to election issued an Election Manifesto and a document of guidance on how Christians should vote. The presidential candidate for CHADEMA was a former Roman Catholic priest. That said it all."

Au

"Although there were four presidential aspirants nationwide the battle would have narrowed down to only the two of them, which are Prof. Malima and Benjamin Mkapa. Retired President Julius Nyerere had seen the danger of such a confrontation and asked Prof. Malima not to resign from CCM. Nyerere knew for Prof. Malima to resign on a Muslim agenda that would make him a hero to his people and Muslims would rally behind him. The country would be split and polarised."


Au


"In order to appreciate the impending danger we need to agree that Muslims are a majority[1] in Tanzania and in any civil upheaval large numbers carry psychological advantages. The government has over the years been making deliberate efforts to conceal this fact and to portray to the world that Muslim-Christian religious distribution is more or less the same and at times to give an impression that Tanzania is a Christian nation and Muslims are a minority

[1] As if sensing danger the Catholic Church has in place a committee responsible for armed forces. This was revealed in a report to the Pope when he visited Tanzania in 1990. Muslims have requested the government to make a statement on Catholic Church Committee on Armed Forces but so far the government has not responded."


Tukiacha hivi kila sehemu mkatuminya basi hali itakuwa tete nadhani ikija mada ijadiliwe wote mashahidi nimetumia jukwaa lile kuweka baadhi ya mambo sawa na kuelezea wapi tuanzie na sio kufanya fujo! Wengi wamenipongeza kwa kuiminya ile hoja wengi hawataona mchango wangu! ambao ni kuleta mshikamano kwenye jamii yetu.

Mods kuweni fair haiingii akilini mnayo yafanya ni ya bahati mbaya ila kuna agenda ndani yake.


Mohammed Shossi
 
Kaiangalie kule jukwaa la dini mkuu Mohammed Shossi. Na kukwambia hivyo siyo kuwa mimi nimeiona au nimekwenda ila ushauri tu go and try.
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu hata wa humu JF wana maslahi na mgongano wa kidini wa Watanzania.
Mmojawapo ni huyu Mohammed Shossi.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwanini upo duniani wakati allah wenu amewapa njia rahisi tu.... Jitoe muhanga tuuu mabikra wanakusubiri ukawabikiri....
 
Na kama una uchungu sana nenda ukale maharage na ponda lumande
 
Tanzania's population is 31 percent Muslim and 54 percent Christian, although church attendance is only about eight percent (Operation World 7th Edition). According to the Catholic Bishop of Kondoa Diocese, Bernadin Mfumbusa, Islamisation is advancing. Since the mid-1980s, itinerant preachers from Saudi Arabia and the Sudan have been entering the country and spreading intolerant, fundamentalist Islam. Consequently, Muslims are becoming more assertive with their political demands and more aggressive with their verbal attacks. Demands are growing louder for Sharia Law and Kadhi (Islamic) Courts, for Fridays to be public holidays and for Tanzania to join the Organisation of Islamic Co-operation (OIC). Bishop Mfumbusa recently told the Catholic Charity, Aid to the Church in Need, that there has been a marked increase in veiled women and Qur'anic schools (madrassas), adding, 'In the church schools, which are also attended by Muslim children, we must be very sensitive and cautious to avoid any undesirable incidents.'
[FONT=arial,helvetica]
Tanzania: Christians threatened by Islamisation

By Elizabeth Kendal

As in Kenya, US-mandated anti-terror laws enacted post 9/11 have fuelled division along religious lines. Christians are generally supportive and Muslims strongly object, claiming the laws purposely target them. In the lead-up to the 2005 elections the Christian-dominated Revolutionary Party, Chama Cha Mapinduzi (CCM), successfully wooed the Muslim vote by promising to establish Kadhi (Islamic) courts. However, after winning the election CCM shelved its promise. Religion has since come to dominate Tanzanian politics. Tensions are rising.
On 10 October Zakaria Hamisis Mbonde (12) was walking home from Qur'anic school, carrying his Qur'an, when he came across his Christian friend, Emmanuel Mwinuka (13). When Emmanuel asked Zakaria if he could see his Qur'an, Zakaria warned him that the Qur'an had the power to turn anyone who defiled it into a dog or a snake. An argument ensued, prompting Emmanuel to disprove Zakaria's claim by urinating on his Qur'an. Naturally Zakaria's parents wanted to know what had happened to his Qur'an. As word spread through the Mbagala Ward of Dar es Salaam, Tanzania's largest city, tensions soared.

To appease the mobs police arrested Emmanuel, taking him to the police station for questioning and keeping him there for his own safety. After Friday prayers on 12 October masses of enraged Muslims laid siege to the police station, demanding Emmanuel be handed over to them so they could behead him. When the police refused, the Muslims rioted, setting fire to Mbagala's Agape Church and the Evangelical Lutheran Church of Tanzania. Over the next few days more churches, including an Anglican and a Church of Christ, were attacked: two in Kigoma and one in Zanzibar. Cars were also smashed and burnt. Subsequently, 86 were arrested for rioting and 32 for destroying church properties. Sheikh Ponda Issa Ponda, the secretary general of the Council of Islamic Organisations, was arrested for inciting the violence which he blamed on the police, saying that if the police had given the matter 'its due weight' then Muslims would not have felt so 'sidelined'.

But is it a crime in Tanzania to blaspheme, defile a Qur'an or hurt a Muslim's feelings? I don't think so! Yet on 23 July 2012 a judge in the coastal town of Bagamoyo sentenced Christian teen Eva Abdullah (17) to two years in prison after Islamic fundamentalists falsely accused her of defiling the Qur'an. Eva, who had been driven from her home after converting to Christianity, had been resisting pressure from Islamic fundamentalists to return to Islam. After falsely accusing her, these radicals allegedly bribed the judge to punish Eva. Fear of the Muslims reportedly has kept local Christians from getting involved. Eva thanks the Lord that he has provided her with kind and sympathetic prison guards who are caring for her and protecting her.

PLEASE PRAY SPECIFICALLY THAT GOD WILL --

  • convict, motivate and embolden Tanzanian leaders, so they will rise to defend human rights, liberty and rule of law rather than appease the belligerent for false peace and short-term gain; may they clearly understand what is at stake.
  • bring revival to the Tanzanian Church, so she might 'wake up, and strengthen what remains' (Revelation 3:2), and take the life-transforming gospel of grace to Muslims before Muslims impose repressive Islam on Tanzania.
  • comfort and protect Emmanuel Mwinuka (13) and his family as they face mass Islamic wrath over a childish prank, as well as Eva Abdullah (17) as she suffers purely because of her love for the Lord Jesus; may God supply their every need.
[/FONT]
 
Habari zenu wanajf,

Nimesikitishwa sana na mods kuitoa thread jadid ya ndugu Mohamed Said bila sababu ya msingi. Nasema bila sababu ya msingi kwakuwa hoja zilizoletwa mbele yetu tuzijadili hazikupata mchango mkuwa. Tumeona wanaoleta hoja hafifu dhidi ya "waislam" na "uislam" zimekuwa zikiachiwa na kujadiliwa mpaka kufika pages 40! mfano ni https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...waislamu-na-uislamu-wenyewe-kwa-tanzania.html thread hii sio kuwa inawalakini lakini ilifikia hata baadhi ya tunao waona ni wenzetu kwenye imani kudiriki kusema kuwa lugha tunayoitumia waislam ni moja ya wabaya wa uislamu! Astaghafirullah, hii ni sawa na kuikataa Quraan na kuukataa Uislam.

Lakini kwakuwa thread ile hakuwa na ukweli mchungu iliachiwa hii ya ndugu Mohamed Said imefungiwa kimya kimya! Uhuru wa kujieleza upo wapi? Au humu jf we dare to choose what to talk openly kwenye mambo yanayowafurahisha wachache kama ya chama na mambo ya kikubwa?

Mods nashindwa kuelewa sababu ni nini? Je sababu ni moja ya paragraph inayosema....

"Chama Cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) seemingly under the tutelage of Catholic Church out to oust a Muslim president, Mrisho Jakaya Kikwete, which broke the camel's back. The Catholic Church prior to election issued an Election Manifesto and a document of guidance on how Christians should vote. The presidential candidate for CHADEMA was a former Roman Catholic priest. That said it all."

Au

"Although there were four presidential aspirants nationwide the battle would have narrowed down to only the two of them, which are Prof. Malima and Benjamin Mkapa. Retired President Julius Nyerere had seen the danger of such a confrontation and asked Prof. Malima not to resign from CCM. Nyerere knew for Prof. Malima to resign on a Muslim agenda that would make him a hero to his people and Muslims would rally behind him. The country would be split and polarised."


Au


"In order to appreciate the impending danger we need to agree that Muslims are a majority[1] in Tanzania and in any civil upheaval large numbers carry psychological advantages. The government has over the years been making deliberate efforts to conceal this fact and to portray to the world that Muslim-Christian religious distribution is more or less the same and at times to give an impression that Tanzania is a Christian nation and Muslims are a minority

[1] As if sensing danger the Catholic Church has in place a committee responsible for armed forces. This was revealed in a report to the Pope when he visited Tanzania in 1990. Muslims have requested the government to make a statement on Catholic Church Committee on Armed Forces but so far the government has not responded."


Tukiacha hivi kila sehemu mkatuminya basi hali itakuwa tete nadhani ikija mada ijadiliwe wote mashahidi nimetumia jukwaa lile kuweka baadhi ya mambo sawa na kuelezea wapi tuanzie na sio kufanya fujo! Wengi wamenipongeza kwa kuiminya ile hoja wengi hawataona mchango wangu! ambao ni kuleta mshikamano kwenye jamii yetu.

Mods kuweni fair haiingii akilini mnayo yafanya ni ya bahati mbaya ila kuna agenda ndani yake.


Mohammed Shossi

Ahsante Sheikh Mohammed,

Ukweli katika madhila wanayofanyiwa Waislam unatisha sana.
Sioni mtu katika JF ambae anaweza kusimama kujibu hayo niloandika.

Benjamin Mkapa alitaka ushahidi wa dhulma kwa Waislam.
Prof. Njozi akaandika kitabu kizima "Mwembecha Killings..."

Serikali haikuweza kustahamili.
Ikakipiga marufuku kitabu.

Huu ndiyo mwendo wa mfumokristo.
Sasa wanatumia jeshi la polisi kupambana na Waislam.

Mimi naamini Insha Allah ipo siku watatuita katika meza ya mazungumzo.
 
thread za udini zinachoshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....

Kuna kiwanda cha wachina kwa miaka 5 wamekuwa wakiiba umeme wa tanesco, watumishi mishahara duni wanalipwa sh 5300 hamjadili kuja na solution aaaargh.......
 
barua ya mwisho aliyoiandika sheikh ponda kwa mufti ina suluhisho la tatizo!kosa ni govt kusema vikundi vidogovidogo
 
thread za udini zinachoshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....

Kuna kiwanda cha wachina kwa miaka 5 wamekuwa wakiiba umeme wa tanesco, watumishi mishahara duni wanalipwa sh 5300 hamjadili kuja na solution aaaargh.......
mambo ya nchi hawa hayawahusu, kinachowahusu ni Mfumo Kristo, period, Mr. Mohamed Said and Mohamed Shossi, am I right?
 
Ahsante Sheikh Mohammed,

Ukweli katika madhila wanayofanyiwa Waislam unatisha sana.
Sioni mtu katika JF ambae anaweza kusimama kujibu hayo niloandika.

Benjamin Mkapa alitaka ushahidi wa dhulma kwa Waislam.
Prof. Njozi akaandika kitabu kizima "Mwembecha Killings..."

Serikali haikuweza kustahamili.
Ikakipiga marufuku kitabu.

Huu ndiyo mwendo wa mfumokristo.
Sasa wanatumia jeshi la polisi kupambana na Waislam.

Mimi naamini Insha Allah ipo siku watatuita katika meza ya mazungumzo.
Wewe mzee kwa nini unapenda sana udini na kupindisha mambo?
 
Kaiangalie kule jukwaa la dini mkuu Mohammed Shossi. Na kukwambia hivyo siyo kuwa mimi nimeiona au nimekwenda ila ushauri tu go and try.

Hii catalogue yake katika Library of Congress Washington DC ni Islam/Politics.
Hakuna catalogue "udini."

Post kama hiyo yako na mfano huo inashusha hadhi na heshima ya JF mahali ambapo zinakutana "great minds"
achilia mbali wewe mwenyewe.

Hapa ni mahali pana nafasi kubwa sana na nzuri ya mtu kuelimika.
Binafsi nimechuma elimu nyingi sana hapa ukumbini.

Hata post kama hiyo yako na nyingine za mfano wa yako kwangu
mimi ni darasa.
 
Wewe mzee kwa nini unapenda sana udini na kupindisha mambo?

Ukiianza mjadala kwa namna hiyo yako ya "We fulani..." tayari ushampoteza unaejadiliananae.
Kwa nini?

Umeanza na tusi.
Sasa ana khiyari yake kukupuuza au kukujibu.

Mimi nimeamua kukujibu huenda ukawaidhika na ukawa msomi wa maana.

Huu ni ukumbi tu wa majadiliano.
Hatutukanani hapa.

Ni hoja inashindanishwa na hoja nyingine.
 
Hii catalogue yake katika Library of Congress Washington DC ni Islam/Politics.
Hakuna catalogue "udini."

Post kama hiyo yako na mfano huo inashusha hadhi na heshima ya JF mahali ambapo zinakutana "great minds"
achilia mbali wewe mwenyewe.

Hapa ni mahali pana nafasi kubwa sana na nzuri ya mtu kuelimika.
Binafsi nimechuma elimu nyingi sana hapa ukumbini.

Hata post kama hiyo yako na nyingine za mfano ya yako kwangu
mimi ni darasa.

Mohamed Said ulikuwa na maana gani wakati sekion kitojo anakuhoji kupitia DW swahili uliposema kuwa makanisa hayakuchomwa na waislam ili hali wao ndio waliochoma na walianzia pale uwanja wa zakhem wakitokea kituo cha polisi.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said ulikuwa na maana gani wakati sekion kitojo anakuhoji kupitia DW swahili uliposema kuwa makanisa hayakuchomwa na waislam ili hali wao ndio waliochoma na walianzia pale uwanja wa zakhem wakitokea kituo cha polisi.

Nileleza kuwa waliochoma makanisa ni wahalifu waliopata upenyo katika kadhia ile.
 
Ukiianza mjadala kwa namna hiyo yako ya "We fulani..." tayari ushampoteza unaejadiliananae.
Kwa nini?

Umeanza na tusi.
Sasa ana khiyari yake kukupuuza au kukujibu.

Mimi nimeamua kukujibu huenda ukawaidhika na ukawa msomi wa maana.

Huu ni ukumbi tu wa majadiliano.
Hatutukanani hapa.

Ni hoja inashindanishwa na hoja nyingine.

Mzee wangu nisamehe , sikuwa na maana ya kuwa nakutusi, inawezekana hujui ila nakuheshimu sana na nasoma sana makala zako, na mara nyingi nimekusikiliza hata wakati wanapokualika hapo redio iman. So naomba unisamehe sikutaka unielewe vibaya.
 
Ahsante Sheikh Mohammed,

Ukweli katika madhila wanayofanyiwa Waislam unatisha sana.
Sioni mtu katika JF ambae anaweza kusimama kujibu hayo niloandika.

Benjamin Mkapa alitaka ushahidi wa dhulma kwa Waislam.
Prof. Njozi akaandika kitabu kizima "Mwembecha Killings..."

Serikali haikuweza kustahamili.
Ikakipiga marufuku kitabu.

Huu ndiyo mwendo wa mfumokristo.
Sasa wanatumia jeshi la polisi kupambana na Waislam.

Mimi naamini Insha Allah ipo siku watatuita katika meza ya mazungumzo.
Baada ya kitabu cha Mwembechai killings kupigwa marufuku na thread yako imepigwa marufuku hapa jf. I smell something fishy here hawaja jamaa zetu wanaitukana sanaaaaa Serikali na kuwasifiwa madoctor wa ukweli wakali sana wanasema Serikali inawadhulum "raia" etc etc lakini Waislam wa jf wakiinyooshea vidole Serikali na kuiamsha kuwa kuna "tatizo" wenzetu wajf including mods wanachukia! Wengine wanakuja na dhihaka za "mabikra" "kujitoa muhanga" ili kufanya mtu ujibu nje ya mada.

Napenda niwaweke sawa mimi binafsi sikubaliani na njia zinazotumiwa na kina Ponda kuelezea matatizo ya waislam. Njia kama za maandamano ambazo huzaa fujo zinaenda kinyume na. Mafundisho yetu! Yule anaesema na mimi nikale maharage na mods lao moja ila hamuwezi kuziba midomo ya watu! Tutaongea ukweli kama nyie mnavyoongea kuhusu chama chenu!
 
Nileleza kuwa waliochoma makanisa ni wahalifu waliopata upenyo katika kadhia ile.

Waliochoma makanisa ni waislam safi na ndio maana baadaye Sheikh Ponda alivisifia vitendo vile. Kwa hiyo unakosea sana unaposema hivyo, sisi sio watoto wadogo. Tuliona kila kitu kilichotokea .kwa hiyo badilisha kauli yako
 
Ahsante Sheikh Mohammed,

Ukweli katika madhila wanayofanyiwa Waislam unatisha sana.
Sioni mtu katika JF ambae anaweza kusimama kujibu hayo niloandika.

Benjamin Mkapa alitaka ushahidi wa dhulma kwa Waislam.
Prof. Njozi akaandika kitabu kizima "Mwembecha Killings..."

Serikali haikuweza kustahamili.
Ikakipiga marufuku kitabu.

Huu ndiyo mwendo wa mfumokristo.
Sasa wanatumia jeshi la polisi kupambana na Waislam.

Mimi naamini Insha Allah ipo siku watatuita katika meza ya mazungumzo.

Mkuu umedhurumiwa nini na unataka upewe nini ?

Unalalamika dhuluma je wapagani hindus na wenye imani nyingine za mizimu nao vipi ?

Mkuu fanya kazi hii ni land of opportunity issue zako za imani tafuta wenye imani kama wewe na mfanye kile mnachotaka (ili mradi msivunje sheria) kwa wakati wenu na hakuna atakayewasumbua.., haya mambo ya kusubiri spoon feeding au kutaka serikali ikufanyie hiki au kile utakufa kabla ya siku zako kwa stress na kuharibu vizazi vinavyokuja kwa kutangaza chuki zako na kuweka sumu ya utengano..,

Hivi kwa kutumia pesa zako, akili yako na watu wenye imani kama yako mnashindwa kufanya chochote kweli (within legal boundaries) hata kama imani yenu ni kuabudu mizimu ?, ni nani atakayewakataza ?, tafadhali ndugu imani yako isiwe kero kwa wengine..
 
Back
Top Bottom