Je hata humu watu waandamane?

Je hata humu watu waandamane?

Chama Cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) seemingly under the tutelage of Catholic Church out to oust a Muslim president, Mrisho Jakaya Kikwete, which broke the camel's back. The Catholic Church prior to election issued an Election Manifesto and a document of guidance on how Christians should vote. The presidential candidate for CHADEMA was a former Roman Catholic priest. That said it all.
Sasa kauli kama hii mnataka MODS wafanyeje? Ni wazi kauli haina ushahidi wowote zaidi ya Mohamed Said, kama kawaida yake kutumia 'mazingira' ili kuchochea magomvi na matengamano kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe. MODS fanyeni kazi yenu na wala msitishwe na yeyote! Sisi waona ukweli tupo nyuma yenu na maandishi haya hata vizazi vyetu vije vione nani ni mwanga na nani msemakweli.
 
Mada hailalamiki.

Inaeleza historia ya Waislam na mambo yaliyojiri katika nchi yetu.
Wahindu na Wapagani hawajapata kuwa tatizo Tanzania.

Kuelezea mambo ya kuonewa kudhulimiwa na kusema mfumo uliopo unakandamiza tabaka fulani kama sio kulalamika ni kufanya nini ?, umekatazwa au haujapewa fursa ya kutafuta kile unachosema unayimwa ?, hivi na wengine wakianza kuja juu kuhusu historia ya nchi yetu, utumwa na jinsi waarabu walivyowakandamiza na kukiambia kizazi cha sasa kwamba walionewa na waarabu hii inajenga au kuharibu ?, ni kweli historia inabidi isomwe na iwepo ila sio kujenga hoja kwa present na future.., hata kama ni kweli usemayo Nyerere alikuwa anawanyanyasa waislamu Je hii inasaidia nini ya sasa na yajayo.., waarabu waliowatesa mababu zetu.., je hii dhambi ni ya wajukuu na watoto zao pia tunaoishi nao vizuri sasa ?


Chukua wakati kujielimisha kiasi unapoandika watu wapende kukusoma.
Ondokana na vitu visivyo na maana katika kujenga hoja zako.

Jifunze kufikiri kwa ubongo wako usiupe moyo nafasi.

Ukifanya hivyo mengi yatakupita.

Sasa kati yangu mimi na wewe hapo juu ni nani anayoongea yasiyo na maana

Mada hii na nyingine nilizoandika mfano wa hizi zimehifadhiwa kwingi
na ni rejea kwa wanafunzi wa African history katika vyuo vingi.

Huwezi kufahamu lakini wajuzi wanasema sehemu ambayo inaweza kulipuka katika Afrika ni
Tanzania.

Wenzetu washaziona dalili.

Hayo ya wewe kuandika mengi na mengine kuhifadhiwa mimi hayanihusu mimi nilichofanya ni kujibu post yako uliyotoa hapa, Ni kweli Tanzania inaweza kulipuka.., na huku kutasababishwa na watu wanaoleta mbegu za chuki kama wewe.., watu wanaotumia historia kusema kwamba tabaka fulani halifai au kuingiza serikali katikati wakati serikali haina dini wala hakuna anaekatazwa kutafuta au kuamini anavyotaka kwa wakati wake.., kwahio ni kweli serikali inabidi ifanye kazi yake kuhakikisha hakuna watu wanaopanda mbegu za chuki ambapo hapo mwanzo zilikuwa hazipo


Askari polisi na JWT weshaingia mitaani kupambana na Waislam.

Magari ya deraya, helikopta zinaruka kuwadhibiti Waislam...
Tumefika vipi hapa?
Sasa wewe unataka watu wakikiuka mamlaka na sheria waachiwe tu wafanye wanachotaka ?, tumefika hapa sababu ya kuchekeana kwa muda mrefu.., tumefika hapa sababu ya kuacha huu ugonjwa sasa umekua na unatuumbua (to put it plainly sasa mchicha ushakua mbuyu) inabidi kukata mizizi kabla hali haijawa mbaya zaidi

Kwa nini mada yangu inaogopesha kwa hiyo inatolewa JF isisomwe?
Mkuu sio mada yako tu ni nyingi huwa zinafutwa kutokana na Mods wenyewe kuona kwamba hii habari either inapotosha au inaleta chuki au mada nzuri lakini wachangiaji wanaleta matusi..., mkuu hio ndio kazi ya Mods kama unaona hawafanyi kazi yao au wanachemsha nadhani jaribu labda kuomba kazi ya kuwa Moderator na wewe au anzisha blog yako where everything goes..

Kwa nini kitabu "Mwembecha Killings..." kinawatisha watawala na hivyo
kukipiga marufuku kisisomwe?
Kama walikipiga marufuku lazima waliona either kuna upotoshaji au kinaweza kuleta fujo / chuki (binafsi sijui sababu sijakisoma wala sijawahi kukisikia) nadhani hata leo nikiandika kitabu kuhusu waarabu walivyo wabaya au walivyotesa babu zetu hivyo kupelekea wananchi wengine kuwachukia waarabu serikali ikikifungia itakuwa imefanya vyema.., nadhani ndio sababu hata vitabu kama Satanic Verses vilifungiwa.., au unataka kuniambia vitabu vyako kufungiwa ndio inaonyesha conspiracy dhidi ya uislamu ?

Jiulize anaetishwa na maandishi haya ni nani na kwa nini?
Maandishi kama haya ndio yanatufikisha hapa tulipo chuki dhidi ya sisi na sisi kwa imani ambayo Babu zetu hata walikuwa hawazitambui, hata kama sio wewe uliechoma makanisa au kufanya fujo au kupelekea watu waone waislamu ni wafanya fujo lakini indirectly maneno kama yako ndio yanayoleta chuki, hakuna tofauti na mimi kuanza kupiga debe na kuandika uovu wa waarabu zamani au labda wahindi wananyonya watu.., ni hizi hizi propaganda alizotumia Hitler against Jews..

Baada ya uhuru wametaka kujenga Chuo Kikuu lakini kikahujumiwa na
Nyerere na Kanisa Katoliki.

Miaka ya 1990 Waislam wametaka kujenga Chuo Kikuu cha Kiislam serikali ikahujumu chuo hicho
kikajengwa Mbale, Uganda.
Ndio yale yale unaleta historia za kuunga unga.., wewe ungetaka kufanya cha maana hizo nguvu unazotumia ungekusanya watu wenye imani kama wewe mkachanga pesa na kutafuta msaada na kujenga hata vyuo vikuu hata mia mbili au kila kata uone kama kuna mtu angekukataza

PS:
Nimekuona unatia maneno ya Kiingereza katika uandishi wako.
Mimi nina Merit Pass (First Class) English Oral, Cambridge Examination.

Nimetihaniwa lugha ya Kiingereza nazungumza na kusikilizwa na walimu wa Kiingereza.
Wamenipasisha ngazi ya kwanza.

Again who cares ?, wewe elimu yako au kujua kwako mimi kunanihusu nini?, you are just a mere comment in this forum siangalii ni nani kasema nini bali ni nini kimesemwa.., wala huwa siangalii mchangiaji ni comment zake.., siangilii sura bali character ya mtu.., ninajibu comment na sio mtu.., kwahio your personal status has no merit whatsoever if your comments leave a lot to be desired
 
Ni ajabu unafiki majungu, alafu unajiita msomi, unatoa mada za kuwatenga wa tz, nilisha sema kama fungu ulilopokea wewe na makafiri wenzako linatosha nenda kanunue kisiwa ukaishi wewe na hao mabwana zenu
 
hivi hawa viongozi wa kislam hawanaga their official media za kuwaelezea waislam wenzao habari zinazowahusu wao na mambo yao mpaka walete humu jf ambapo at the end of the day wanapata maudhi kejeli dhihaka na dharau kwa wao na imani yao hivi mlishamsikia padre mchungaji au kiongoz yeyote wa kikristo akija kujibizana/kubwabwaja hapa jf kwa maslahi ya imani yake sio kwamba hawataki lakini kwa maslahi na heshima ya kanisa na wao wenyewe sio mahali pazuri pakufanya hivyo na ndio mana wanaheshimika na wengi nafkiri mngewaiga eventhough mnamengi sana ya kuwaiga lakini tuanzie na this type of cheap amoung the huge wise of them!
 
Sasa unakuja vizuri ingawa kidogo kuna chembechembe za hamaki, kibri na jeuri.

Tuanze na suala la historia ya utumwa na Waarabu.

Je unaifahamu historia ya Cross Atlantic Slave Trade?
Kama huijui anza kuisoma sasa kabla hatujaaingia hii historia ya utumwa uliyozoeleka huku kwetu iliyopepewa sana na wamishionari.

Kwa kuanzia tu nitakujuza kuwa katika Cross Atlantic Slave Trade kulikuwa na meli ya watumwa ikiitwa "Jesus."

Kuhusu neno "kulalamika" ikiwa wewe unaelewa kueleza dhulma maana yake ni kulalamika basi hata wazee wetu katika Vita vya Maji Maji walipoanza kuhamasishana kunyanyua silaha dhidi ya Wajerumani walikuwa wanalalamika.

Halikadhalika miaka ya 1950 wazee wangu hapa Dar es Salaam walipoaanza kusambaza vikaratasi kuhamasisha watu waingie TAA kwa wingi ili waunde TANU walikuwa wanalalamika.

Ikiwa ndiyo hivyo hata TAA Political Sub Committee iliyoandika memorundum kwenda kwa Gavana Edward Francis Twining 1950 hawa wazalendo walikuwa wanalalamika.

Hata Japhet Kirilo alipohutubia Baraza la Udhamini la Umoja wa Mataifa 1952 allikuwa analalamika kuhusu kudhulumiwa ardhi yao na wakoloni walikuwa wanalalamika.

Naweza kukupa mifano lukuki.

Kuwa mimi nazungumza mambo yasiyo na maana hebu angalia hapa chini:

BOOKS
1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

2. Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi 2006

3. Contributing author African Anthology, The Mermaid of Msambweni, Oxford University Press, 2008 Nairobi

4. Uamuzi wa Busara, Abantu Publications, Dar es Salaam, 2009

5. Broken Dreams: The Life of Ally Sykes, Phoenix Publishers, Nairobi forthcoming

PART OF RESEARCH PAPERS/ARTICLES

1. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London)

2. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

3. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

4. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam)

5. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam)

6. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

7. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15[SUP]th[/SUP] – 17[SUP]th[/SUP] 2003)

8. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27[SUP]th[/SUP] February – 4[SUP]th[/SUP] March 2004)

9. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11[SUP]th[/SUP] April 2004)

10.Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8[SUP]th[/SUP] - 10th February 2006)

11. The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (Paper Presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa, University of Johannesburg 1 - 3 September, 2006 (the paper was again presented to Islamic Propagation Centre International, Durban)


12. Visiting Scholar, University of Iowa, Iowa City and Northwestern University, Chicago, Illinois, USA, Presented paper "Islam and Politics in Tanzania," April 2011

13. Visiting Researcher Zentrum Moderner Orient, Berlin Germany, Presented Paper Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania, July 2011.

Je bado unaamini naandika mambo yasiyokuwa na maana?
 
hivi hawa viongozi wa kislam hawanaga their official media za kuwaelezea waislam wenzao habari zinazowahusu wao na mambo yao mpaka walete humu jf ambapo at the end of the day wanapata maudhi kejeli dhihaka na dharau kwa wao na imani yao hivi mlishamsikia padre mchungaji au kiongoz yeyote wa kikristo akija kujibizana/kubwabwaja hapa jf kwa maslahi ya imani yake sio kwamba hawataki lakini kwa maslahi na heshima ya kanisa na wao wenyewe sio mahali pazuri pakufanya hivyo na ndio mana wanaheshimika na wengi nafkiri mngewaiga eventhough mnamengi sana ya kuwaiga lakini tuanzie na this type of cheap amoung the huge wise of them!

Ikiwa JF ilikusudiwa Wakristo na isemwe.
 
me huwa sipend kuwasujudia wazungu eti kisa wao ndo wameplay role kubwa katika kusambaza neno hata hivyo imani ya kikristo ni ya kidemokrasia sana mfano mtu unauwezo wa kumsifu mungu kikwenu ndo mana unaona biblia za kichaga kipare n.k utasikia nyimbo kwa kiluga au ibada inaweza kuendeshwa kwa kisukuma mwanzo mwisho utapata gospel miusic kwa hiphop rege country sebene rn'b kwaito bongo fleva unaweza kuvaa mavazi ya kikwenu mpaka kanisani mf. kaniki jeans hijab yani unamsifu mungu bila vikwazo vya kiutamaduni vilivyo na staha tofauti na uislam ni kuridhi mila za kiarabu kwanza huwezi kuitwa mwislam kama hujui kiarabu pale unapotaka kuongea na allah hasiki lugha tofaut na kiarabu kama we ni maiti ukiwa mwanandani pale wanadai kuna malaika atakayekuja kukuoji juu ya matendo yako ungali hai na anatumia kiarabu usipojibu unapigwa rungu alafu unaenda motoni sa kama mtindo ndo hu ni wangapi wataenda ahera majority hawajui hata maana ya bismillah!
My take dini ya kislam ni ya kiarabu (kitabaka) na tunajua waarabu wana migogoro na wazungu sa we mzaramo inakuhusu nini na mingi ni maslahi tu kama mafuta sa we mtz hata wakipatana utaata faida gani sa mtazamo wa waarabu kwa wazungu wakibez kwenye dini na wewe mndengereko unamchukulia mndengereko mwenzio kisa mkristo hiyo ni vita kati ya ishmail na isaka biblia ilishatabiri siku nyingi na watapatana ikiwa hivyo sijui nyinyi mnaochukia wa asili yenu kisa dini mtafanyaje!
 
Kuelezea mambo ya kuonewa kudhulimiwa na kusema mfumo uliopo unakandamiza tabaka fulani kama sio kulalamika ni kufanya nini ?, umekatazwa au haujapewa fursa ya kutafuta kile unachosema unayimwa ?, hivi na wengine wakianza kuja juu kuhusu historia ya nchi yetu, utumwa na jinsi waarabu walivyowakandamiza na kukiambia kizazi cha sasa kwamba walionewa na waarabu hii inajenga au kuharibu ?, ni kweli historia inabidi isomwe na iwepo ila sio kujenga hoja kwa present na future.., hata kama ni kweli usemayo Nyerere alikuwa anawanyanyasa waislamu Je hii inasaidia nini ya sasa na yajayo.., waarabu waliowatesa mababu zetu.., je hii dhambi ni ya wajukuu na watoto zao pia tunaoishi nao vizuri sasa ?




Sasa kati yangu mimi na wewe hapo juu ni nani anayoongea yasiyo na maana



Hayo ya wewe kuandika mengi na mengine kuhifadhiwa mimi hayanihusu mimi nilichofanya ni kujibu post yako uliyotoa hapa, Ni kweli Tanzania inaweza kulipuka.., na huku kutasababishwa na watu wanaoleta mbegu za chuki kama wewe.., watu wanaotumia historia kusema kwamba tabaka fulani halifai au kuingiza serikali katikati wakati serikali haina dini wala hakuna anaekatazwa kutafuta au kuamini anavyotaka kwa wakati wake.., kwahio ni kweli serikali inabidi ifanye kazi yake kuhakikisha hakuna watu wanaopanda mbegu za chuki ambapo hapo mwanzo zilikuwa hazipo



Sasa wewe unataka watu wakikiuka mamlaka na sheria waachiwe tu wafanye wanachotaka ?, tumefika hapa sababu ya kuchekeana kwa muda mrefu.., tumefika hapa sababu ya kuacha huu ugonjwa sasa umekua na unatuumbua (to put it plainly sasa mchicha ushakua mbuyu) inabidi kukata mizizi kabla hali haijawa mbaya zaidi


Mkuu sio mada yako tu ni nyingi huwa zinafutwa kutokana na Mods wenyewe kuona kwamba hii habari either inapotosha au inaleta chuki au mada nzuri lakini wachangiaji wanaleta matusi..., mkuu hio ndio kazi ya Mods kama unaona hawafanyi kazi yao au wanachemsha nadhani jaribu labda kuomba kazi ya kuwa Moderator na wewe au anzisha blog yako where everything goes..


Kama walikipiga marufuku lazima waliona either kuna upotoshaji au kinaweza kuleta fujo / chuki (binafsi sijui sababu sijakisoma wala sijawahi kukisikia) nadhani hata leo nikiandika kitabu kuhusu waarabu walivyo wabaya au walivyotesa babu zetu hivyo kupelekea wananchi wengine kuwachukia waarabu serikali ikikifungia itakuwa imefanya vyema.., nadhani ndio sababu hata vitabu kama Satanic Verses vilifungiwa.., au unataka kuniambia vitabu vyako kufungiwa ndio inaonyesha conspiracy dhidi ya uislamu ?


Maandishi kama haya ndio yanatufikisha hapa tulipo chuki dhidi ya sisi na sisi kwa imani ambayo Babu zetu hata walikuwa hawazitambui, hata kama sio wewe uliechoma makanisa au kufanya fujo au kupelekea watu waone waislamu ni wafanya fujo lakini indirectly maneno kama yako ndio yanayoleta chuki, hakuna tofauti na mimi kuanza kupiga debe na kuandika uovu wa waarabu zamani au labda wahindi wananyonya watu.., ni hizi hizi propaganda alizotumia Hitler against Jews..


Ndio yale yale unaleta historia za kuunga unga.., wewe ungetaka kufanya cha maana hizo nguvu unazotumia ungekusanya watu wenye imani kama wewe mkachanga pesa na kutafuta msaada na kujenga hata vyuo vikuu hata mia mbili au kila kata uone kama kuna mtu angekukataza



Again who cares ?, wewe elimu yako au kujua kwako mimi kunanihusu nini?, you are just a mere comment in this forum siangalii ni nani kasema nini bali ni nini kimesemwa.., wala huwa siangalii mchangiaji ni comment zake.., siangilii sura bali character ya mtu.., ninajibu comment na sio mtu.., kwahio your personal status has no merit whatsoever if your comments leave a lot to be desired
Mkuu sun wu, mzee Mohamed Saidi ni mtu mwenye hila na chuki dhidi ya amani ya watanzania, anasema walio choma makanisa sio waislam bali ni wahuni, lakini anakuja kusahau na kudai Polisi na JWTZ wanawakabili na kuwanyanyasa waislamu! kwahiyo kwa Mohamed Saidi, wale waliokuwa wanaandamana bila kufuata sheria za nchi sio wahalifu ila ni waislam! Mohamedi Saidi ni mtu wa kujisifu mno kuwa ni msomi aliyebobea na anayekubalika kimataifa eti tu kwakuwa ameandika makala za kumtukana na kumkejeri Nyerere! Ukweli ni kwamba hakuna mchango wowote wa kisomi uliowahi kutolewa na huyu mtu zaidi ya kupandikiza chuki isiyo na maana katika nchi yetu! hizi vurugu zakipuuzi zinazotokea sasa hivi kwa huyu mzee muovu ni mafanikio. Mzee huyu hafai kabisa.Bora kuishi nyumba moja na shetani kuliko huyu mzee muovu.
 
Ikiwa JF ilikusudiwa Wakristo na isemwe.
Na hilo ndilo tatizo lako wewe! huna uwezo wa kufikiri nje ya chuki zako dhidi ya imani nyingine. Unapenda sisi tuwe tunapokea upuuzi wako kama tupo kwenye mihadhara yako ya kichochezi. Ndio maana Sekione Kitojo alipuuza uzandiki wako kwenye redio ya wajeremani.
 
Sasa unakuja vizuri ingawa kidogo kuna chembechembe za hamaki, kibri na jeuri.

Tuanze na suala la historia ya utumwa na Waarabu.

Je unaifahamu historia ya Cross Atlantic Slave Trade?
Kama huijui anza kuisoma sasa kabla hatujaaingia hii historia ya utumwa uliyozoeleka huku kwetu iliyopepewa sana na wamishionari.

Kwa kuanzia tu nitakujuza kuwa katika Cross Atlantic Slave Trade kulikuwa na meli ya watumwa ikiitwa "Jesus."
Mkuu Again you are missing my point entirely na umeshaingiza mambo ya Imani hata kwenye point yangu ya role ya waarabu kwenye utumwa.., my main point ni kwamba haya mambo ya kutumia historia kuonyesha kwamba tabaka fulani la watu fulani ni baya sababu walifanya A, B, C, D..., hayana tofauti na propaganda alizoendesha Hitler against Jews.., ndio maana nikasema anaweza akatokea mtu leo akaanza kupiga propaganda against arabs wa leo just because of the role played by their forefathers.., to what advantage..?, (none whatsoever) bali ni kuendeleza chuki baina ya watu na watu..

Kuhusu neno "kulalamika" ikiwa wewe unaelewa kueleza dhulma maana yake ni kulalamika basi hata wazee wetu katika Vita vya Maji Maji walipoanza kuhamasishana kunyanyua silaha dhidi ya Wajerumani walikuwa wanalalamika.

Halikadhalika miaka ya 1950 wazee wangu hapa Dar es Salaam walipoaanza kusambaza vikaratasi kuhamasisha watu waingie TAA kwa wingi ili waunde TANU walikuwa wanalalamika.

Ikiwa ndiyo hivyo hata TAA Political Sub Committee iliyoandika memorundum kwenda kwa Gavana Edward Francis Twining 1950 hawa wazalendo walikuwa wanalalamika.

Hata Japhet Kirilo alipohutubia Baraza la Udhamini la Umoja wa Mataifa 1952 allikuwa analalamika kuhusu kudhulumiwa ardhi yao na wakoloni walikuwa wanalalamika.

Naweza kukupa mifano lukuki.

Hivi hao TAA, Maji Maji et al walikuwa wanaendesha kudai haki na usawa kwa kuelezea historically mababu zao walivyoteswa au walikuwa wanadai opportunities sawa na bila kupendelewa ?, haki yao as individuals na groups kuweza kufanya mambo yao kama wengine na sio kutengwa just because ni tabaka fulani..

Sasa nikuulize wewe kama muislamu ulishanyimwa kufanya nini au kuanzisha nini just because ya dini yako? (tena hapa usiniletee habari za allegations za miaka hio sijui nani alifanya nini ?) wewe kama wewe kuna opportunity gani ukitaka kuipata kesho utanyimwa just because ya imani yako ? ambayo mpagani atapewa ?

Kuwa mimi nazungumza mambo yasiyo na maana hebu angalia hapa chini:

BOOKS
1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
Je bado unaamini naandika mambo yasiyokuwa na maana?

Again unaonyesha a one track mind way of thinking...

Hivi wewe kuandika point au kuongea point jana kunafanya chochote unachoandika leo kiwe point ?, au kutoa comment ambayo ni pumba leo inamaanisha kwamba wewe kila siku unatoa pumba ?, Mkuu uzuri mimi I don't judge people according to what they did or said yesterday.., pia kama nilivyosema hapa ninajibu hoja zako wala sikujadili wewe wala maisha yako.., hivyo I might agree with your next comment ingawa it does not mean all of your comments are brilliant.., au sababu Shivji ni Gwiji wa Katiba haimaanishi kila atakachosema kuhusu Katiba tukubaliane nae...
 
Na hilo ndilo tatizo lako wewe! huna uwezo wa kufikiri nje ya chuki zako dhidi ya imani nyingine. Unapenda sisi tuwe tunapokea upuuzi wako kama tupo kwenye mihadhara yako ya kichochezi. Ndio maana Sekione Kitojo alipuuza uzandiki wako kwenye redio ya wajeremani.

Bahati mbaya umekasirika na unatoa matusi.
Ukitulia na hasira zikesha tutaweza kuendelea na mjadala katika njia ya kistaarabu.

Hutoweza kufanya mjadala wa maana ukiwa katika hali ya kuhemkwa.
 
Mkuu Again you are missing my point entirely na umeshaingiza mambo ya Imani hata kwenye point yangu ya role ya waarabu kwenye utumwa.., my main point ni kwamba haya mambo ya kutumia historia kuonyesha kwamba tabaka fulani la watu fulani ni baya sababu walifanya A, B, C, D..., hayana tofauti na propaganda alizoendesha Hitler against Jews.., ndio maana nikasema anaweza akatokea mtu leo akaanza kupiga propaganda against arabs wa leo just because of the role played by their forefathers.., to what advantage..?, (none whatsoever) bali ni kuendeleza chuki baina ya watu na watu..



Hivi hao TAA, Maji Maji et al walikuwa wanaendesha kudai haki na usawa kwa kuelezea historically mababu zao walivyoteswa au walikuwa wanadai opportunities sawa na bila kupendelewa ?, haki yao as individuals na groups kuweza kufanya mambo yao kama wengine na sio kutengwa just because ni tabaka fulani..

Sasa nikuulize wewe kama muislamu ulishanyimwa kufanya nini au kuanzisha nini just because ya dini yako? (tena hapa usiniletee habari za allegations za miaka hio sijui nani alifanya nini ?) wewe kama wewe kuna opportunity gani ukitaka kuipata kesho utanyimwa just because ya imani yako ? ambayo mpagani atapewa ?



Again unaonyesha a one track mind way of thinking...

Hivi wewe kuandika point au kuongea point jana kunafanya chochote unachoandika leo kiwe point ?, au kutoa comment ambayo ni pumba leo inamaanisha kwamba wewe kila siku unatoa pumba ?, Mkuu uzuri mimi I don't judge people according to what they did or said yesterday.., pia kama nilivyosema hapa ninajibu hoja zako wala sikujadili wewe wala maisha yako.., hivyo I might agree with your next comment ingawa it does not mean all of your comments are brilliant.., au sababu Shivji ni Gwiji wa Katiba haimaanishi kila atakachosema kuhusu Katiba tukubaliane nae...

Hivi inakuwia tabu kuandika bila kuchomeka maneno ya Kizungu.
Mie nakijua vyema Kizungu lakini si unaona nikiandika naandika Kiswahili kitupu?

Ahsante kwa mchango wako.
 
Mkuu sun wu, mzee Mohamed Saidi ni mtu mwenye hila na chuki dhidi ya amani ya watanzania, anasema walio choma makanisa sio waislam bali ni wahuni, lakini anakuja kusahau na kudai Polisi na JWTZ wanawakabili na kuwanyanyasa waislamu! kwahiyo kwa Mohamed Saidi, wale waliokuwa wanaandamana bila kufuata sheria za nchi sio wahalifu ila ni waislam! Mohamedi Saidi ni mtu wa kujisifu mno kuwa ni msomi aliyebobea na anayekubalika kimataifa eti tu kwakuwa ameandika makala za kumtukana na kumkejeri Nyerere! Ukweli ni kwamba hakuna mchango wowote wa kisomi uliowahi kutolewa na huyu mtu zaidi ya kupandikiza chuki isiyo na maana katika nchi yetu! hizi vurugu zakipuuzi zinazotokea sasa hivi kwa huyu mzee muovu ni mafanikio. Mzee huyu hafai kabisa.Bora kuishi nyumba moja na shetani kuliko huyu mzee muovu.

Hakika majisifu si uungwana.
Ikiwa kukupa taarifa ni majisifu nakuomba radhi.

Ila jifunze kuandika bila kutukana.
Epuka maneno kama "upuuzi."

Kuhusu Nyerere.
Nimeandika kitabu kizima kuiweka sawa historia ya uhuru.

Ikiwa imemkwaza Nyerere kwa kuvunja ile historia iliyozoeleka uwanja uko wazi
wa kuandika kitabu kingine kukipinga changu.

Milango ya tafiti huwa haifungwi.
 
Bahati mbaya umekasirika na unatoa matusi.
Ukitulia na hasira zikesha tutaweza kuendelea na mjadala katika njia ya kistaarabu.

Hutoweza kufanya mjadala wa maana ukiwa katika hali ya kuhemkwa.
Mohamed Saidi, hakika huna uwezo wakujadili hata kidogo. Unachokijua na kukiweza wewe ni kusema uwongo, kuchochea vurugu na kubeza uwezo wa waislam kujiletea maendeleo! kwa kuwa umri wako umesha vuka "life expectancy" ya mtanzania tulitegemea ungekaa kutetea amani na utulivu katika nchi hii badala ya kuchoche vita vya kidini kama unavyo fanya wewe!Tunashukuru kujua kuwa ni kikundi cha wahuni wachache wanao unga mkono uhuni wako.
 
Hakika majisifu si uungwana.
Ikiwa kukupa taarifa ni majisifu nakuomba radhi.

Ila jifunze kuandika bila kutukana.
Epuka maneno kama "upuuzi."

Kuhusu Nyerere.
Nimeandika kitabu kizima kuiweka sawa historia ya uhuru.

Ikiwa imemkwaza Nyerere kwa kuvunja ile historia iliyozoeleka uwanja uko wazi
wa kuandika kitabu kingine kukipinga changu.

Milango ya tafiti huwa haifungwi.
Mohamedi, huna mamlaka yoyote ya kunichagulia maneno ya kuandika humu, kwa sababu ya uchochezi wako. Kwenye DVD zako nyingi za kichochezi umewaita watu wasiofungamana na imani yako kuwa ni makafiri! vipi kuita uchochezi wako kuwa ni upuuzi liwe neno baya? Saidi, hakika huitakii mema nchi hii. Tuache tufe kwa njaa na maradhi lakini sio kwa majambia ya kiarabu na bunduki za wazungu.
 
Ahsante Sheikh Mohammed,

Ukweli katika madhila wanayofanyiwa Waislam unatisha sana.
Sioni mtu katika JF ambae anaweza kusimama kujibu hayo niloandika.

Benjamin Mkapa alitaka ushahidi wa dhulma kwa Waislam.
Prof. Njozi akaandika kitabu kizima "Mwembecha Killings..."

Serikali haikuweza kustahamili.
Ikakipiga marufuku kitabu.

Huu ndiyo mwendo wa mfumokristo.
Sasa wanatumia jeshi la polisi kupambana na Waislam.

Mimi naamini Insha Allah ipo siku watatuita katika meza ya mazungumzo.

hakuna lolote , etii madhila kwa waislamu, kweli ukachome makanisa ya watu wasiwakamate kisaaa, Kuna Upunguani katika maswala haya, kuna watu wanayafanya yaonekane kuwa waislamu wanaonewa, UJINGA mtupu.
Rais , Makamu wake , mkuu wan POlisi, mkuu wa TISS wote Waislamu, wanakuoneeni nini ?
Ni vyema na Haki kuwadhibiti wahuni, wanahamu ya kumwaga damu, wamejaa hamu ya kuua !
 
mohamedi said huitakii mema nchi hii hata kidogo, elimu uliyoipata haisaidii jamii bali inakusaidia wewe ti na tumbo lako huku ikihatarisha maisha ya watanzania wengi
 
Last edited by a moderator:
barua ya mwisho aliyoiandika sheikh ponda kwa mufti ina suluhisho la tatizo!kosa ni govt kusema vikundi vidogovidogo
kwa sababu serikali ina dini na hiyo dini ndio inawaamulia kina mufti nini wafanye.. Ndio maana Wakristo wakienda kwenye hafla za serikali kuna maaskofu wasiopungua watano wa makanisa tofauti huku waislamu wakiwakilishwa na Bakwata pekee.. inasahaulika kwamba kuna madhebebu mengine yamesajiliwa kama ilivyosajiliwa Bakwata!!! Kwa sasa inavyoonekana Bakwata imeshindwa kukidhi matakwa ya walioiunda na inaelekea kufa wanawajibika kuilinda kwa nguvu zote lakini je ni mpaka lini?

Nikirudi kwenye mada; HAYA YA KUONDOA MADA HAPA NA KUZIPELEKA KWENYE JUKWAA LA DINI HUSUSAN ZA WAISLAMU ni katika MWENDELEZO uleule wa KUFUNIKA MOSHI ILI MOTO USIONEKANE...
 
mohamedi said huitakii mema nchi hii hata kidogo, elimu uliyoipata haisaidii jamii bali inakusaidia wewe ti na tumbo lako huku ikihatarisha maisha ya watanzania wengi
Tatizo si Mohamed Said ndugu, tatizo ni mfumo wa serikali usiotaka kukosolewa na si Mohammed Said anaetuma POLISI kwenda KUPIGA MABOMU MSIKITINI.. na matendo haya yaliokwisha fanyika yameweka kidonda kwenye kovu ambalo lilielekea kusahaulika...

Na mengineyo yatakayofuata SITOYASHANGAA kwa sababu badala ya kuzima moto watu wanahangaikia moshi...
na kusukumia matatizo yasikokuwa wakinyoosheana vidole vya macho. Matatizo yalipo panajulikana na chanzo chake kinajulikana. Ila kwa sababu ya upofu wa nafsi na mapenzi tukijumlisha na udini uliobobea wa watawala wa nchi hii na wenye kudhani wao ndio wenye haki ya kula mkate wa uhuru huku "wahuni wakiwa hawastahili" zamani waliitwa "waswahili" Heri kusema kuliko kunyamaza..
 
Back
Top Bottom