Je, George Floyd ni mtume?

Nawajua sana na katika hao watano hawa wapo.
Waislam wameambiwa katika kitabu chao kuwa wako wengi,wanne wamepewa vitabu wawaongoze binaadamu kutokana na Amri za Mungu

Mitume 125.wametajwa kwenye vitabu na wengine hawajulikani lakini wapo
 
Amufikishaje huo ujumbe ? Kwa ufupi umekosea kumlinganisha na mtume na hii imetokana na kutokuwa na maarifa ya kutosha juu ya utumd na mitume.
Sawa Mkuu, George ametumwa kujitolea muhanga Kama alivyojitolea muhanga Yesu,ili liwe fundisho kwa Binaadamu

Kifo George na Yesu hakina tafauti
 
Mcheza picha za ngono hawezi kuwa mtume wa Mungu labda hizo dini mnazoanzisha za kujipatia kipato.
 
Mcheza picha za ngono hawezi kuwa mtume wa Mungu labda hizo dini mnazoanzisha za kujipatia kipato.
Hamna Kaka,sio.hivyo hao ni mawazo yako binafsi

Yesu hakuwahi kuowa, Muhamad kaowa zaidi ya wake kumi moja,aliwahi kuowa mtoto mdogo..

Kila Kitu kimeletwa na Mungu hapa Duniani,ila inategemea utakichukulia vipi

Kucheza filam za ngono haina tafauti na kucheza unyago katika baadhi ya Makabila hapa Tanzania

Madhumuni ya Unyago na Filam za Ngono ni kuielisha jamii kuhusu NGONO
 
Ila kusema ukweli ubaguzi unaofanyika huko majuu umenifanya niichukie hii tittle ya kujiita 'diaspora'. Bora tu kunyuti huku huku 'nyumbani' Africa, madiaspora mnisamehe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkataa kwako mtumwa hi kauli and ilikuwa na maana saana
 
Mungu ni Mjuzi wa kila Kitu,kila anachokifanya anakifanya kwa sababu zake wakati wake..

Kuna aliowambia amtoe kafara mtoto wake kwa kumchinja

Kuna aliwaweka msalabani

Kuna aljowazamisha baharini wakaliwa samaki

Kuna waliozalowa bila Mama

Kuna waliozalowa bila Baba

Kuna waliombwa kwa udongo no

Hakika Acha MUNGU aitwe MUNGU
 
Waislam wameambiwa katika kitabu chao kuwa wako wengi,wanne wamepewa vitabu wawaongoze binaadamu kutokana na Amri za Mungu

Mitume 125.wametajwa kwenye vitabu na wengine hawajulikani lakini wapo
Unaweza kuwataja hao mitume 125 au kutupa ushahidi tunapata wapi hiko ulichotuandikia ?

Kwahiyo tunakubaliana ya kuwa mtume lazima apewe muongozo, hasa kitabu ? Sasa huyu sasa huyu uliyemzungumzia mbona hana sifa zote hizi ?
 
Nachoona Floyd atazidi kuonyesha kuwa Lockdown kwa marekani sio muhimu tena hili swala likiisha watu hawata rudi ndani tena.
 
Sawa Mkuu, George ametumwa kujitolea muhanga Kama alivyojitolea muhanga Yesu,ili liwe fundisho kwa Binaadamu

Kifo George na Yesu hakina tafauti
Simchenzo hii kauli nawaachia wakristi wenyewe watakuja kukujibu. Ila kwetu sisi tunaamini hafanani kwa lolote na Mtume Issa isipokuwa tu waote ni binadadamu,na mtume Issa/Yesu kwa mujibu wetu sisi Waislamu ni kuwa hajafa wala hakusulubiwa.

Ahsante.
 
Hapana.
Kile kifo chake kinasikitisha.
Maana amewekewa GOTI shingoni.
Kifo chake kilikuwa ni hatua kwa hatua.
Huku analalamika 'SIWEZI KUPUMUA".
bora angepigwa risasi kidogo tungesema ni bahati mbaya lakini kifo chake kinaonyesha muuaji alidhamiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…