Je Gaddafi hakuwahi kuwatendea mabaya walibya?

Safety last

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
4,227
1,389
Kuna hali inajitokeza kama walibya wamekosea kumuua gadafi na kuicha maiti yake uchi ukizingatia sio taratibu za kiislam na kwa mtu kama gadafi aliyeupigania uislam hata kukebehi imani zingine kwa yale wanayomfanyia gadafi sasa inaonekana kuna UBAYA anao gadafi!naomba kujuzwa mabaya ya Gadafi ndani na nje ya libya, Mabaya tu!
 
Marekani na mawifi zake wamekua wakijaribu kupoteza kila ishara inayoelekea kuwaletea maendeleo watu wa chini ili kuendeleza utegemezi kwake,ni ukweli usiopingika kwamba Gadaf alikua mtetezi pekee aliebaki kwa nchi za kiafrika na Libya kwenyewe.
Hatatokea mtu ambae atawafanya walibya waishi kama marehem alivowafanyia.
Waafrika tunamkumbuka kwa mema mengi aliyoyafanya ambayo Umoja wa Afrika utamkumbuka sana hata kama umemgeuka.
Hakuna mlibya mwenye akili timamu angemkosea adabu Gadaf,tunachokifaham ni kwamba nchi za magharibi ndio zilizomdhalilisha Gadaf.
Hawakua na sabab ya kuivamia Vietnam,Afghanistan,Iraq na hata Libya,hawakua na sabab ya kumuua Sadam,hawana sabab ya kumuua mheshimiwa Gadaf.
Hizo ndo tabia za FREEMASONS,waabudia mifupa,ma-BLOOD THIRSTY.
 
Marekani na mawifi zake wamekua wakijaribu kupoteza kila ishara inayoelekea kuwaletea maendeleo watu wa chini ili kuendeleza utegemezi kwake,ni ukweli usiopingika kwamba Gadaf alikua mtetezi pekee aliebaki kwa nchi za kiafrika na Libya kwenyewe.
Hatatokea mtu ambae atawafanya walibya waishi kama marehem alivowafanyia.
Waafrika tunamkumbuka kwa mema mengi aliyoyafanya ambayo Umoja wa Afrika utamkumbuka sana hata kama umemgeuka.
Hakuna mlibya mwenye akili timamu angemkosea adabu Gadaf,tunachokifaham ni kwamba nchi za magharibi ndio zilizomdhalilisha Gadaf.
Hawakua na sabab ya kuivamia Vietnam,Afghanistan,Iraq na hata Libya,hawakua na sabab ya kumuua Sadam,hawana sabab ya kumuua mheshimiwa Gadaf.
Hizo ndo tabia za FREEMASONS,waabudia mifupa,ma-BLOOD THIRSTY.

hivi umesoma thread au unakurupuka tu? Mijitu mingine bwana, miafrika ndivyo ilivyo!
 
kuna gazeti moja asubuhi nimesoma mbele zinasema alikuwa mwema sana na mwovu sana kwa walibya. kwa mema mengi aliyowafanyia gazeti hilo nimemuhtasarisha kuwa ilikuwa ukiwa mpinzani wa kisiasa wewe na ikiwezekana na ukoo wako wote mnateketezwa. hiyo imenitisha sana!!
 
NAFIKIRI JIBU LAKO UTALIPATA KWENEY ARTICLE HII HAPA ISOME UTAFAIDIKA NA KUFUNGUKA UBONGO
The Gaddafi love-in ends | Al Jazeera Blogs
The Gaddafi love-in ends | Al Jazeera Blogs
NATO Secretary General Anders Fogh Rasmussen has said that 'there is no military solution to the Libya conflict' [EPA]

After six months of defiant resistance, countless fiery speeches, chilling threats, and blood-curdling brutality, Gaddafi has finally fallen on his sword. His collapse, however, is far from the end of the story. Instead, it heralds the start of a more complicated chapter in his country's history. As tanks surround Gaddafi's last outposts in Sirte, the cold war over the country's future gathers pace. As the common enemy is forced out of the scene, the vast differences between those he had brought together return to occupy centre stage.

The vacuum created by Gaddafi's departure is now filled by a sharp polarisation between two camps. The first camp is the National Transitional Council, made up largely of ex-ministers and prominent senior Gaddafi officials who had jumped from his ship as it began to sink. These enjoy the support of NATO and derive their power and influence from the backing of western nations. The second camp is composed of local political and military leaders who have played a decisive role in the liberation of the various Libyan cities from Gaddafi's brigades, including the capital. The thousands of fighters and activists they command are now convened within local military councils, such as the Tripoli council, which was founded following the liberation of the capital and which recently elected as its head Abdulkarim Bel Haj. Ironically, this hero of Tripoli's liberation is the same man who, a few years back, had been deported, along with other Libyan dissidents, by MI6 and the CIA to Gaddafi, who was their close ally at the time.

There could be no more striking indication of the rift between the two sides than the words of Mustafa Abdul-Jalil, the head of the council and ex-justice minister, on the eve of Tripoli's conquest. Amid the jubilation and euphoria, a downbeat Abdul-Jalil emerged to warn that there exist "extremist fundamentalists within the ranks of the rebels" threatening to resign if they did not hand over their weapons.

Abdul-Jalil's colleague, Ibrahim Chalgham, who still presides over the Libyan delegation to the UN and who had served as foreign minister under Gaddafi for years, criticised Bel Haj, dismissing him as "a mere preacher and not a military commander", statements reiterated by NTC member Othman Ben Sassi, who said of the elected military council president, “He was nothing, nothing. He arrived at the last moment and organised some people".

The war of words went on as Ismail Sallabi, head of the Bengazi military council who commanded the famous February 17 brigade, called on the NTC to resign, castigating its members as "remnants of the Gaddafi era" and as "a bunch of liberals with no following in Libyan society".

Many fighters, such as Sallabi, are insisting that they played a key role in toppling Gaddafi. Some go further, claiming that their swift capture of Tripoli had taken the NTC by surprise and that they had defeated NATO's alleged plans to partition the country into East and West. NATO's strategy, they maintain, was to freeze the conflict in the West, effectively turning Brega into a dividing line between the liberated East and Gaddafi's West. Although there is no concrete evidence for such allegations, they are understandable given NATO's failure to advance into the West or move beyond Misrata for months. The late Abdulfattah Younes, the rebels' military commander, once declared at a news conference in Benghazi, "Either NATO does its work properly or we will ask the Security Council to suspend its work. Misrata is being subjected to a full extermination. NATO blesses us every now and then with a bombardment here and there and is letting the people of Misrata die every day. NATO has disappointed us". Reports of NATO planes bombing rebels on many occasions in Abjadia and Misrata and declarations by NATO Secretary General Anders Fogh Rasmussen that "there is no military solution to the Libya conflict" have only deepened mistrust of the organisation and its designs for the country.

Such speculations have been further corroborated by recent revelations that some US officials advised the Gaddafi regime on how to undermine Libya's rebel movement, with the potential assistance of foreign intelligence agencies. For example, David Welch, an Assistant Secretary of State under George W Bush, met with senior Gaddafi aides as late as three weeks before the fall of Tripoli at the Four Seasons Hotel in Cairo, just a few blocks from the US embassy.

It is clear that two legitimacies are confronting each other today in Libya: armed struggle and liberation versus the de facto legitimacy of a self-appointed leadership derived from western support. The two are locked in a cold (and potentially hot) conflict over Libya's future, the nature of its political order, and its foreign policy. It is a contest between a strategy directed by an internal agenda on the one hand; and one defined from the outside, by NATO and western powers, on the other.

These conflicts are part of the wider scene in the region, which is characterised by polarisation between the internal dynamics of the revolution and the foreign powers' logic of containment and control, of calculated, limited, and monitored change. These foreign powers' strategy is to swap the old players with new ones while keeping the rules of the game intact, using proxy wars manned via allied local elites, thus working to recycle the old regime into the new order in Libya, as they have been doing in Tunisia and Egypt.

Libya is set to be a scene of multiple battles: conflicts between NATO's men and the fighters and their supporters on the ground, and conflicts between the foreign forces that have invested in the war on Gaddafi: the French, who are determined to have the upper hand politically and economically; the Italians, who regard Libya as their back garden; the British, who are determined to safeguard their contracts; and the Turks, keen to revive their influence in the old Ottoman hemisphere. Then there are the losing players in the new equation: the Chinese and the Russians
 
Je ubaya gadafi ni upi?

Kwa upande wangu ningependa kusema kitu kidogo ila kiuchumi ni kikubwa sana. Marehemu Gadafi alikuwa mstari wa mbele kusaidia nchini zingine kivita, kwa mfano wakati tunapigana na Idd Amin, Gadafi alituma askari wake pamoja na vifaa vya kijeshi kwa ajili ya kumsaidia Idd Amin ushahidi huo upo, pia vita kati ya Sudan ya Kusini Na Sudan ya Kaskazini, Gadafi alituma majeshi na vifaa vya kijeshi kwenda kusaidia Al Bashir, ushaidi huo upo.
Kwa kawaida kwa yule aliyesaidiwa atamuona Gadafi kama mtu mwema sana, lakini kwa upande wa pili Gadafi anaonekana kama mtu mbaya sana alietumia mali ya Walibya kwenda kusaidia vita ambayo haikuwa na tija kwa Walibya.
 
1. The price of *petrol* in Libya is $0.14 per liter.
2. Libya has *no external debt* and its reserves amount to $150 billion – now frozen globally.




3. If a Libyan is unable to get *employment* after graduation the state would pay the average salary of the profession as if he or she is employed until employment is found.




4. A portion of Libyan *oil sale* is, credited directly to the bank accounts of all Libyan citizens.




5. A mother who *gave birth* to a child receive US$5,000


NITAKAYE MKWAZA NDUGU ZANGU NAOMBA ANISAMEHE.MIMI NI MTANZANIA NA SI MLIBYA.LAKINI BADO

NAAMNINI KUWA GADDAF HAKUSITAHILI KUCHINJWA KAMA KUKU.NAFSI YANGU HAITAKOMA KUILAANI

MAREKANI NA UFARANSA MILELE NA MILELE YOTE!!!!!

RIPOTI KAMILI : <<BOFYA HAPA>>


 
UKOLONI MAMBOLEO NA UBEPARI uliokithiri ukitamalaki matokeo yake ndiyo kama hayo....Mabeberu wanatufunga gavana ili tufikiri kwa kutumia vinywa vyao, tutende kwa kutumia mikono yao, na tucheke kwa kutumia midomo yao huku tukishangilia kama mazuzu kuwa tunashadidia demokrasia ya kweli na kujiweka huru kutoka kwa ugandamizaji!!

Kumwangamiza Gaddafi ni utangulizi tu lakini sinema yenyewe bado kabisa kuanza; na ikianza dunia itashuhudia jinsi raslimali za libya zitakavyokuwa zinagombewa kama mpira wa kona na mabeberu waliowalaghai mahayawani waliojiita NTC, huko 'wakombozi' feki hao wakiwa hawaamini wanachokiona.

Isitoshe umoja wa vikundi vya waasi ulioungwa kwa gundi ya mate na NATO utasambaratika wakati kila kundi litakapotafuta mwanya wa kujiweka katika kiti cha enzi bila mafanikio.

Na kwa upande mwingine wananchi watakumbuka kwa kusaga meno maisha ya dezo na ya kuthaminiwa waliyozoea kuyapata wakati wa enzi za gaddafi baada ya kuanza awamu mpya ya maisha ya kibepari ambayo watatakiwa wayagharimie kwa jasho lao na watazidi kuchanganyikiwa wakibaini kuwa ile raslimali ya mafuta waliyozoea kuiona kuwa ni urithi wao na hivyo ni mali yao waliyobarikiwa na mja wao kuwa si mali yao tena baada ya kuporwa na walewale waliojinasibisha kuwa ni wakombozi wao.

Wakombozi jana sasa ni waporaji wa leo! Mungu ibariki Afrika hususan kwenye vinnchi vichache vilivyobakiwa na viongozi wazalendo wasiokubali viini macho vya magharibi km kurubuniwa kuwa wanasaidiwa kutokomeza malaria kwa KUNUNULIWA CHANDARUA ZA NGAO ili wananchi wawe ni bidhaa ya biasharaBADALA ya kusaidiwa dawa kuua vimelea vya mbu kwenye mazalia yake km ilivyofanikiwa Unguja na Pemba.!
 
hivi zamani kwenye mchakamchaka tulikuwa tukiomba Idi amin akifa nitamtupa mto kagera aliwe na mamba. Gaddafi akifa nitamtupa mto kagera aliwe na mamba. Leo gaddaf amekuwa lulu kwa watanzania
 
Watu waote wanaoshabikia gadafi kuuwawa nadhani hawajui nini kinaendelea!gadafi ni mtu kama wewe, he was not perfect, hakuna raisi ambaye hajaua, na katika ukombozi na harakati zake lazima watu wafe hiyo ipo given, sacrife must be there bandugu, tunachojaribu kuangalia ni je, nato nia yao ni nini?

Kwa nini ni benghazi na sio serte,na je ni libya tu waliona kuna shida?kwanini ni ukanda wa watu wenye mambo sawa kimfanano?kwanini somalia hawaendi?

Kwa nini israel na parestina, je yanayotokea yemen hawayaoni? Kwa nini Sadam alishukiwa kuwa na siraha za maangamizi na hawakuziona? Je marekani wameua wangapi kuanzia afghanistan, Iraq, Kongo, Sudan, namibia,hata misri wapo nyuma ya hawa vibaraka waliopandikizwa mbegu za chuki??marekani sio watu, uingereza sio haki!

msimamo wa gadafi kukataa kuingia mkataba nao kuchimba mafuta, kukataa unyonyaji kwenye mikataba nchini kwake, kuonekana kuwa na nguvu sana barani afrika na kuwa na nia ya kutuunganisha waliona tutakuwa na nguvu ya maamuzi yetu,sio walibya wote wanaompinga gadafi ni kijisehem cha vibaraka wa magharibi!

Na hii ni somalia mpya imetengenezwa afrika lengo ni kuona sisi sio wamoja ili wachume mali zetu zote!je watoto wetu wataishi vipi kama hali ndo hii? Utumwa unarudi polepole watu wasio na maono wanashangalia kuuawawa kinyama kwa gadafi!ipo siku magahribi watajutia tabia zao ambazo tushazijua na libya watamkumbuka sana gadafi, kwanza walipe deni la nato alafu tuanzie hapo ndani ya mwaka utaona!mungu katupa akili tupamnanue mambo na sio kuchukulia mambo kijuujuu!

USITEGEMEE UTASOMA AU KUANGALIA TV ZA MAGHARIBI KAMA CNN,BBC NA ZINGINE UONE MAZURI YA GADAFI!! MARA MIA MUNGU AKUPE AKILI KULIKO SURA!!!!!
 
1. There is *no electricity bill* in Libya; electricity is free for all its citizens.

2. There is *no interest on loans*, banks in Libya are state-owned and loans given to all its citizens at 0% interest by law.

3. *Home* considered a human right in Libya &#8211; Gaddafi vowed that his parents would not get a house until everyone in Libya had a home. Gaddafi's father has died while him, his wife and his mother are still living in a tent.

4. All newlyweds in Libya receive *$60,000 Dinar* (US$50,000) by the government to buy their first apartment so to help start up the family.

5. Education and medical treatments are free in Libya. Before Gaddafi only 25% of Libyans are literate. Today the figure is 83%.

6. Should Libyans want to take up *farming* career, they would receive farming land, a farming house, equipments, seeds and livestock to kick-start their farms &#8211; all for free.

7. If Libyans cannot find the education or medical facilities they need in Libya, the government funds them to *go abroad* for it &#8211; not only free but they get US$2,300/mth accommodation and car allowance.

8. In Libyan, if a Libyan buys a *car*, the government subsidized 50% of the price.

9. The price of *petrol* in Libya is $0.14 per liter.


10. Libya has *no external debt* and its reserves amount to $150 billion &#8211; now frozen globally.

11. If a Libyan is unable to get *employment* after graduation the state would pay the average salary of the profession as if he or she is employed until employment is found.

12. A portion of Libyan *oil sale* is, credited directly to the bank accounts of all Libyan citizens.

13. A mother who *gave birth* to a child receive US$5,000

14. 40 loaves of *bread* in Libya costs $ 0.15

15. 25% of Libyans have a *university degree*

16. Gaddafi carried out the world's largest *irrigation* project, known as the Great Man-Made River project, to make water readily available throughout the desert country.

Which other dictator has done much good to his people besides.

*P.S. If this is the dictator Gaddafi is, then give us one like him here in Bolehland

Source: Global Publisher.
 
Watu waote wanaoshabikia gadafi kuuwawa nadhani hawajui nini kinaendelea!gadafi ni mtu kama wewe, he was not perfect, hakuna raisi ambaye hajaua, na katika ukombozi na harakati zake lazima watu wafe hiyo ipo given, sacrife must be there bandugu, tunachojaribu kuangalia ni je, nato nia yao ni nini?kwa nini ni benghazi na sio serte,na je ni libya tu waliona kuna shida?

Kwanini ni ukanda wa watu wenye mambo sawa kimfanano? Kwa nini Somalia hawaendi?kwa nini israel na parestina, je yanayotokea yemen hawayaoni??kwanini sadam alishukiwa kuwa na siraha za maangamizi na hawakuziona? Je marekani wameua wangapi kuanzia afghanistan, iraq, kongo,sudan, namibia, hata Misri wapo nyuma ya hawa vibaraka waliopandikizwa mbegu za chuki??

Marekani sio watu, uingereza sio haki!msimamo wa gadafi kukataa kuingia mkataba nao kuchimba mafuta, kukataa unyonyaji kwenye mikataba nchini kwake, kuonekana kuwa na nguvu sana barani afrika na kuwa na nia ya kutuunganisha waliona tutakuwa na nguvu ya maamuzi yetu,sio walibya wote wanaompinga gadafi ni kijisehem cha vibaraka wa magharibi!

Na hii ni somalia mpya imetengenezwa afrika lengo ni kuona sisi sio wamoja ili wachume mali zetu zote!je watoto wetu wataishi vipi kama hali ndo hii??utumwa unarudi polepole watu wasio na maono wanashangalia kuuawawa kinyama kwa gadafi!ipo siku magahribi watajutia tabia zao ambazo tushazijua na libya watamkumbuka sana gadafi, kwanza walipe deni la nato alafu tuanzie hapo ndani ya mwaka utaona!mungu katupa akili tupamnanue mambo na sio kuchukulia mambo kijuujuu!

USITEGEMEE UTASOMA AU KUANGALIA TV ZA MAGHARIBI KAMA CNN, BBC NA ZINGINE UONE MAZURI YA GADAFI!!!!!!!!!!

MARA MIA MUNGU AKUPE AKILI KULIKO SURA!!!!!
 
Mungu wangu i really pity people of libya because they had more than they needed i wish he could be our president, but they say you dont know the value of what you have until you loose it they will remember him as they are starting to pay nato life will get them a good suprise. katika maisha yangu nasemaga hakuna mtu mbaya kama aliyekosa shukrani yeye kila siku ni kuona ubaya tu na kutokuridhika,nchi gani africa iko hivi?
 
Sijui wenzetu wazungu walitumia kigezo gani cha kumfanya, Mugabe na Kikkwete waendelee kuwa hai ila Gadaff auawe?? ni fumbo gumu sana kwangu
 
Back
Top Bottom