MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,057
- 1,371
Mtu anapata ajali, au anapigwa vibaya katika hali yoyote ile, Wasamaria (Wema), wanamuokota na kumpeleka hospitali au kituo cha afya ili kupata huduma ya kwanza na matibabu akiwa bado yupo hai. Akifika huko, anarudishwa akalete Fomu ya PF3, kutoka kituo cha polisi kabla ya huduma. Wakati urasimu huu unatekelezwa mpaka unakamilika Mgonjwa anakata roho.
Je? Utaratibu huu unamaslahi kwa mwanachi kweli?? Au ni nini?
Je? Utaratibu huu unamaslahi kwa mwanachi kweli?? Au ni nini?