Je enyi wadada wa kibongo mwaweza hii!!

Je enyi wadada wa kibongo mwaweza hii!!

weusi ni dawa tu lakini mwenzangu weupe unalipa....
wapi kalorite na maji ya ndimu, lol!
Sijui.Kila mtu na anachoamini, wengine hatuvutiwi sana na weupe kama tuonavyo pelekwa puta na rangi ya maji ya kunde.
 
Sijui.Kila mtu na anachoamini, wengine hatuvutiwi sana na weupe kama tuonavyo pelekwa puta na rangi ya maji ya kunde.
ha haaa, wewe tu na macho yako.......
ngoja niendelee na mkorogo wangu, lol!
 
hii labda ilifungwa kwa mkuu wa wilaya
 
Nadhani hiyo Bible iliyotumika itakuwa of their own version...

lol..hata kama Bible inaruhusu asee..
hii headache aliyonunua jamaa hapa sio ya kawaida..
kuwa na mmoja tu apishane na dadako au mamako mara kwa mara ni kazi nzito..seuze watatu?!?!?
 
Dunia ina mambo au walimwengu ndo tuna vijimambo...makubwa..!!
 
[URL="http://www.edmarker.com/" said:
Edmark[/URL];6164800]JAMAA AFUNGISHWA NDOA YA WAKE WATATU





Anikulapo Kuti akiwa na wake zake watatu wakati wa ndoa yao.

FELA Anikulapo Kuti, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ametoa mpya kwa walimwengu kwa kufunga ndoa na wanawake watatu.
Mtu huyo ambaye anatumia jina la mwanamuziki aliyevuma zamani wa Nigeria, hayati Fela Anikulapo Kuti, amefunga ndoa hiyo kufuatia mchungaji wa kanisa lake nchini humo kuwaambia waumini wake kwamba wanaweza kuoa wanawake wengi, jambo ambalo limeleta mkanganyiko mkubwa kwa waumini wa madhehebu ya Kikristo barani Afrika.
Ndoa hiyo ilifungwa kama kawaida, ambapo watu hao wanne waliapa kuwa mume na wake zake, wakishuhudiwa na watu kibao huku kiongozi aliyeifungisha ndoa hiyo akinukuu vifungu vya Biblia ambavyo hutumiwa na Wakristo wote.


Hii hakuna Mwanamke hata mmoja nchini Tanzania atakaye kubali ndoa ya namna hii ni ya kipekee anastahili hongera Anikulapo kuti.@Edmark
 
Jamani fela anikulapo kuti ni mwanamuziki wa Nigeria na sio congo! aliye kuwa anapiga muziki kwa kutumia mtindo wa Afro beat ni miongoni mwa wanamuziki mashuhuri waliopata kutokea katika bara hili alifariki mwaka 1997, mwanae femi anikulapo kuti ni mwanamuziki wa style Kama baba yake, ni wanamuziki wanaonivutia sana kwa kuthamini utamaduni wa kiafrika na kujivunia kuwa waafrika hiyo picha sio picha ya baba wala mtoto! Japokuwa alikuwa na wake wengi.
 
Back
Top Bottom