Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,811
- 110,060
Ningaliwapa ufafanuzi bahati mbaya hapa sio jukwaa husika...
Ila kama Imani yenu ndio hiyo basi na muendelee kuamini hivyo...
Ila kama Imani yenu ndio hiyo basi na muendelee kuamini hivyo...
MKUU hiyo sio mpya hicho ni kipimo tosha
wanawake wanashida sana ya kutaka kuolewa
ila basi tu
Wala sio mpya kama unavyodhani ni kawaida tu..ndoa ya mke mmoja ni matunda ya kutekwa kwa imani ya kikristo na utamaduni wa wazungu kubana matumizi..unakumbuka ya Taurati na Zaburi si bible pia? Lakini mitume kama Suleiman, Daudi, Ayubu walikuwa na wake zaidi ya mmoja lakini hakukua na sheria za sasa za uzunguni katika agano jipya..nampa pongezi huyo bwana kwa kutukuza AGANO...