Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

Hapana bhn hicho ni kichaka
Kuna models wengi anaweza kuwavalisha mawigi wakatangaza.
Kwaiyo akiuza bikini atavaa mwenyewe, akiuza sumu atalamba tuone kama inaua
Wala sio kichaka ni wewe na mtazamo wako, mawigi sioni kama ni tatizo kwake kuvaa na kutangaza kwa muda..!!

Kama angekuwa anayavaa anazunguka nayo hapo tungesikiliza hoja yenu..!!

Kwani Joti hawezi kumuweka mwanamke akaigiza mpaka ajiweke yeye??
Hivi ushawahi kuona content za Joti?

Wanaume wanafki sana hebu anzeni na Joti. Huyu ndo kinara wa kuharibu desturi.

Watoto wanaharibika vipi? Kwamba wewe unawapa simu wamtazame Anko T akiuza mawigi yake??
Basi tukuchape viboko kama unaruhusu watoto washike simu wawatazame watu uliowafollow mitandaoni..!!
 
Wala sio kichaka ni wewe na mtazamo wako, mawigi sioni kama ni tatizo kwake kuvaa na kutangaza kwa muda..!!

Kama angekuwa anayavaa anazunguka nayo hapo tungesikiliza hoja yenu..!!

Kwani Joti hawezi kumuweka mwanamke akaigiza mpaka ajiweke yeye??
Hivi ushawahi kuona content za Joti?

Wanaume wanafki sana hebu anzeni na Joti. Huyu ndo kinara wa kuharibu desturi.

Watoto wanaharibika vipi? Kwamba wewe unawapa simu wamtazame Anko T akiuza mawigi yake??
Basi tukuchape viboko kama unaruhusu watoto washike simu wawatazame watu uliowafollow mitandaoni..!!
Una point mkuu asiekuelewa ameamua kutokukuelewa
 
Wala sio kichaka ni wewe na mtazamo wako, mawigi sioni kama ni tatizo kwake kuvaa na kutangaza kwa muda..!!

Kama angekuwa anayavaa anazunguka nayo hapo tungesikiliza hoja yenu..!!

Kwani Joti hawezi kumuweka mwanamke akaigiza mpaka ajiweke yeye??
Hivi ushawahi kuona content za Joti?

Wanaume wanafki sana hebu anzeni na Joti. Huyu ndo kinara wa kuharibu desturi.

Watoto wanaharibika vipi? Kwamba wewe unawapa simu wamtazame Anko T akiuza mawigi yake??
Basi tukuchape viboko kama unaruhusu watoto washike simu wawatazame watu uliowafollow mitandaoni..!!
Anaweza akafanya biashara zake za wigs na Bado akalinda maadili ya jamii.
Kuishi kishoga, kupaka wanja au lip stick 🍡🏒 sio utamaduni wetu.

Kuhusu watoto kumwona mitandao ipo wazi na juzi alihojiwa. Wasafi Tv
 
Huyo Anko T anasapotiwa na Taasisi za Mashoga wala hatangazi biashara yake wala nini ,kama alikuwa anataka kutangaza angetumia Warembo/Wanawake kumtangazia ,sasa yeye anavyofanya anavyoavaa ni wazi anapromote ushoga ,watoto wataona ushoga unalipa hivyo atakuwa kama role model wao ,huyo Anko T kama anataka Ushoga aende kwa Trump au UK akakae huko ila kwa TZ maadili hayaruhusu ,wapite naye kama UPEPO au Aende Kupigwa MITI huko USA au UK.
Duuh! Sio mchezo
 
Anaweza akafanya biashara zake za wigs na Bado akalinda maadili ya jamii.
Kuishi kishoga, kupaka wanja au lip stick 🍡🏒 sio utamaduni wetu.

Kuhusu watoto kumwona mitandao ipo wazi na juzi alihojiwa. Wasafi Tv
Akasemaje?
 
Back
Top Bottom