Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,631
Ninakiri na wengi mnajua namna nilivyokuwa ninamsapoti Diamond Platnumz,
Ila kutokana na maujinga yake nilipunguza rasmi ushabiki wangu kwake labda baadaye sana kama itatokea atabadirika na kujitambua kama ilivyokuwa hapo awali.
Ninakiri pia mwaka huu hapa Tanzania hakukuwa na uchaguzi bali uchafuzi .
Sasa ipo hivi, wengi tunajua baba levo ni mtu wa kujikomba ila kwenye kujenga hoja si haba si haba sio mweupe kihivyo na pia possibility ya kupewa uwaziri ipo maana wabunge walipita awamu hii ukimtoa professor Palamagamba Kabudi na Joyce Ndalichako asilimia kubwa waliobaki ni weupe sana.
Uwezekano wa baba levo kupewa uwaziri wa michezo upo ,iwe kwa kutumia ushawishi wa Diamond au yeye mwenyewe maana uwezo wa kujieleza anao.
Sasa swali langu lipo hivi, je Diamond anaweza akawa chawa rasmi wa baba levo kama itatokea baba levo akaukwaa uwaziri?
Ila kutokana na maujinga yake nilipunguza rasmi ushabiki wangu kwake labda baadaye sana kama itatokea atabadirika na kujitambua kama ilivyokuwa hapo awali.
Ninakiri pia mwaka huu hapa Tanzania hakukuwa na uchaguzi bali uchafuzi .
Sasa ipo hivi, wengi tunajua baba levo ni mtu wa kujikomba ila kwenye kujenga hoja si haba si haba sio mweupe kihivyo na pia possibility ya kupewa uwaziri ipo maana wabunge walipita awamu hii ukimtoa professor Palamagamba Kabudi na Joyce Ndalichako asilimia kubwa waliobaki ni weupe sana.
Uwezekano wa baba levo kupewa uwaziri wa michezo upo ,iwe kwa kutumia ushawishi wa Diamond au yeye mwenyewe maana uwezo wa kujieleza anao.
Sasa swali langu lipo hivi, je Diamond anaweza akawa chawa rasmi wa baba levo kama itatokea baba levo akaukwaa uwaziri?