Je, dairy queen/ Canada jobs ni kweli au matapeli?

Je, dairy queen/ Canada jobs ni kweli au matapeli?

Masai wa Town

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
6,745
Reaction score
24,653
Kuna tangazo la ajira nimeliona Facebook, wanadai ni wakala wa kuwapeleka vijana Canada na Dubai kufanya kazi. Na kwa maelezo zaidi wamedema tutembelee www.immigroup.com. Sasa Wakuu Kuna anayewafahamu vizuri hawa watu? Naambatanisha na tangazo lao hapa chini.

Screenshot_20211023-063357.png


Screenshot_20211023-063410.png
 
 
Back
Top Bottom